Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
Wakati wa kuwachukulia poa watu umeisha, Yanga wame break the rule, uwezi kuendelea bila ya kubreak the rule. Hata Nyerere alibreak the rule ili kudai uhuru na ndio maana alichukuliwa kama muarifu na watawala wa kikoloni. Ni bora watu waseme yaani tunaenda uwanjani uwanja unajaa mapato ni zaidi ya milioni 100 kwa mechi halafu timu inaambulia milioni nane tena inaambiwa ni privelege.
Pongezi Yanga kwa kuchukua hatua, manake maamuzi magumu kuchukuliwa bongo ni adimu. CECAFA na TFF wajifunze kuwa mpira uwanufaishe zaidi wachezaji kuliko viongozi wa vyama. Mbona Yanga walishawahi kuchukua ubingwa na zawadi mpaka leo wanadai USD 30,000 karibu miaka 10.
Lion share siku zoke inaenda kwa Lion, itakuwaje watu wagawane sawa wakati kuna ambao wanachangia zaidi? Mpira ni biashara sasa hivi, kama charity kwanini watu wasiingie bure uwanjani na tulilalamika viingilio ni vikubwa lakini si TFF wala CECAFA waliochukua hatua stahili na bado kuna sponsors wa mashindano.
Bravo Yanga kwa kufanya maamuzi magumu, lazima kuna watu wa kawaida sana watawapinga lakini eventually watawaelewa nini mnamaanisha. Heshima kama kupotea haiwezi kupotea, ni sawa sawa na wabongo wanavyotawaliwa kwa nyimbo ya amani na utulivu ili wasiwachague wapinzani. Ni swala la muda tu, msg sent kwa Musonyi na wenzake wanaonufaika kwa expenses za vilabu.
Pongezi Yanga kwa kuchukua hatua, manake maamuzi magumu kuchukuliwa bongo ni adimu. CECAFA na TFF wajifunze kuwa mpira uwanufaishe zaidi wachezaji kuliko viongozi wa vyama. Mbona Yanga walishawahi kuchukua ubingwa na zawadi mpaka leo wanadai USD 30,000 karibu miaka 10.
Lion share siku zoke inaenda kwa Lion, itakuwaje watu wagawane sawa wakati kuna ambao wanachangia zaidi? Mpira ni biashara sasa hivi, kama charity kwanini watu wasiingie bure uwanjani na tulilalamika viingilio ni vikubwa lakini si TFF wala CECAFA waliochukua hatua stahili na bado kuna sponsors wa mashindano.
Bravo Yanga kwa kufanya maamuzi magumu, lazima kuna watu wa kawaida sana watawapinga lakini eventually watawaelewa nini mnamaanisha. Heshima kama kupotea haiwezi kupotea, ni sawa sawa na wabongo wanavyotawaliwa kwa nyimbo ya amani na utulivu ili wasiwachague wapinzani. Ni swala la muda tu, msg sent kwa Musonyi na wenzake wanaonufaika kwa expenses za vilabu.