babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,235
- 16,234
we mtu bado upo?umerudi kwenu au bado uko ukimbizini?rudi kawasalimie nduguzo
Wakuu hakuna rais muuwaji wa demokrasia kama Kagame tv 1 tu ya serkali wapinzani wanauwawa kimyakimya na ukiandika tofauti na anavyotaka umekwenda na maji. Kaua wengi na anaendelea.
kakorofishana na akina Kayumba, Rudasingwa, Karejea, Rudasingwa wote hao ni ma general walio chukua nchi. Yeye alituma wa2 kumuua Kayumba South Africa, ikashindikana baada ya kumpiga.
Wana mpango kurudi kulipa kisasi vita kubwa inanuka Rwanda. Hii sio ya ukabila tena bali ya ndugu walio lala pango moja wakati wa mapinduzi leo wamekua maadui wakuu.
Na mbaya zaidi major general Kayumba anakubalika sana jeshini ya Kagame. Mtoa mada humjui Kagame na nenda Kigali uone watu walivyo waoga. Hakuna jf kule.
Ukijaribu tu umekwenda na maji. Kajamaa ni kama Hitla kana ua watu usiku na mchana.
Du kuna watu wana mawazo tofauti...... yaani Kagame mnamuona ndiye baba wa ea wakati anatisha watu wa nchi yake..... muuaji yule.... anafanya nchi isiwe mahali salama kwa watu wenye mawazo mbadala.... anawaua..... na ndiyo maana ana mpango wa kutawala rwanda milele kama shemeji yake m7.... maana akiachia tu madaraka..... watamng'ang'ania kama mpira wa penalty iliyotemwa na kipa.
Kuna vugu vugu la chini kwa chini....
Mkuu uko sahihi kabisa. Hakuna uhuru wa kukosoa dola nchini Rwanda. Upinzani hukumu yake ni kifo tu. Kila kitu huko ni NDIYO MZEE. Ila namkubali Kagame kwa kupunguza sana masuala ya Rushwa, kukuza uchumi na kuongeza uwajibikaji kwa watendaji wa serikali.
Ni kweli kabisa mkubwa. Jamaa ukimkosoa tu anakumaliza....
...tutajie mpinzani mmoja tuu aliyehukumiwa kifo kwa ajiri ya kuwa upande wa upinzani,and pls dont come with propaganda BS za kwenye net zinazosambazwa na mafisadi or genocidals walioua milions sasa wanaoogopa kurudi kwao,FYI theres no death penalty in Rwanda
Mkuu uko sahihi kabisa. Hakuna uhuru wa kukosoa dola nchini Rwanda. Upinzani hukumu yake ni kifo tu. Kila kitu huko ni NDIYO MZEE. Ila namkubali Kagame kwa kupunguza sana masuala ya Rushwa, kukuza uchumi na kuongeza uwajibikaji kwa watendaji wa serikali.
...wewe bantugro hayo matope yako unayowaza yanaanza kunipa wasiwasi kama uko sawa huko juu,kuna ubaya kukubali jirani yako anafanya vizuri na kujifunza?
Tumekuhifadhi leo unaleta matusi, ndio fadhila zako! we kweli ndio mende (Inyenzi). Kagame mwenyewe anajua ni MUUAJI MKUBWA we leo unamtetea nini?, huyo hafai hafai hata kidogo!, kwanza vyombo vya habari ulivyotaja huwa vinamfagilia kwa sababu pale ndio mlango wa wizi Congo! Nani hajui kama kagame amesoma marekani na amesaidiwa na marekani na anaendelea kulindwa nao ili asishitakiwe? Subili kidogo utaona, watamnyonga kama alivyofanywa Sadam Husein. Hawana rafiki hao, ohoo!Hujui hata unenalo. Unachoandika umesikia kwenye cnn, bbc, aljazeera, na vyombo vingine vya habari vya magharibi. Ndiyo maana nakusamehe kwa kuandika upupu mtupu huu.
Niulize mimi au watz wengine waliotembelea na kuishi Rwanda tukueleze kuhusu ukweli. Kwa kifupi ni kwamba hizo ni propaganda dhidi ya Kagame! Jamaa yupo committed na maendeleo ya nchi na wananchi wake kwa ujumla.
Miaka 15 ijayo Kigali kutakuwa kitovu cha maendeleo na jiji la biashara katika africa. Wakati huo ninyi mtaendelea kutembeza bakuli lenu la misaada na magamba yenu.
...tutajie mpinzani mmoja tuu aliyehukumiwa kifo kwa ajiri ya kuwa upande wa upinzani,and pls dont come with propaganda BS za kwenye net zinazosambazwa na mafisadi or genocidals walioua milions sasa wanaoogopa kurudi kwao,FYI theres no death penalty in Rwanda
Wakuu hakuna rais muuwaji wa demokrasia kama Kagame tv 1 tu ya serkali wapinzani wanauwawa kimyakimya na ukiandika tofauti na anavyotaka umekwenda na maji. Kaua wengi na anaendelea.
kakorofishana na akina Kayumba, Rudasingwa, Karejea, Rudasingwa wote hao ni ma general walio chukua nchi. Yeye alituma wa2 kumuua Kayumba South Africa, ikashindikana baada ya kumpiga.
Wana mpango kurudi kulipa kisasi vita kubwa inanuka Rwanda. Hii sio ya ukabila tena bali ya ndugu walio lala pango moja wakati wa mapinduzi leo wamekua maadui wakuu.
Na mbaya zaidi major general Kayumba anakubalika sana jeshini ya Kagame. Mtoa mada humjui Kagame na nenda Kigali uone watu walivyo waoga. Hakuna jf kule.
Ukijaribu tu umekwenda na maji. Kajamaa ni kama Hitla kana ua watu usiku na mchana.
Hujui hata unenalo. Unachoandika umesikia kwenye cnn, bbc, aljazeera, na vyombo vingine vya habari vya magharibi. Ndiyo maana nakusamehe kwa kuandika upupu mtupu huu.
Niulize mimi au watz wengine waliotembelea na kuishi Rwanda tukueleze kuhusu ukweli. Kwa kifupi ni kwamba hizo ni propaganda dhidi ya Kagame! Jamaa yupo committed na maendeleo ya nchi na wananchi wake kwa ujumla.
Miaka 15 ijayo Kigali kutakuwa kitovu cha maendeleo na jiji la biashara katika africa. Wakati huo ninyi mtaendelea kutembeza bakuli lenu la misaada na magamba yenu.
Ni kijana mwenye akili ya maendeleo na hari ya kuwatumia wananchike. Kwa kuwa tanzania kila kitu tunabinafsisha na kwakua Kagame ameleta maendeleo kwake.
Kwa nini basi taasisi ya ikulu isibinafsishwe? Ili Kagame atusaidie kwa miaka mitano. Kama aliomba bandari hope ata madini tukimpa atafanya vizuri zaidi.
...wewe nilishakueleza hiyo elimu yako ya madrasa haikukusaidia,halafu acha kuja humu JF na kujifanya everything analyst na unajua kila kitu with zero facts!