Kafulila: Mahitaji ya watanzania kwa sasa yako UKAWA

Hongera sana kafulila wewe ni.smart sana kijana nakukubali sana. Mh machali ni jembe letu pia tatizo kimempata sijui nini mpaka anenda kule..okay lakini vyama ni taasisi tu cha msingi mtu. Pamoja sana
 
Mbona hata machali naye aliulizwa akakana kwambe hajaenda act na sasa ndo kaeenda. Hawa jamaa hawaeleweki kabisa
 
Clinton kakanusha, Kafulila na Mkosamali wamekanusha, basi mtoa habari ana mtindio wa ubongo au ni kuadi wa mabwana zake tumsamehe bure!
 
Mbona hata machali naye aliulizwa akakana kwambe hajaenda act na sasa ndo kaeenda. Hawa jamaa hawaeleweki kabisa

Bunge lishavunjwa naamini kukana kwake itakuwa kweli make wabunge kama shibuda, machali na arfi hawakukiri kuhama kwa sababu za kulinda ubunge wao.
 
kumuondoa Mkolon mweusi sio Kaz ndogo vita hii sio nyepes wanaotumia akilizao vizur kufikir nakupanga watajua niwapi pakusimama ila kwawavivu wakufikir watatumia mawazo yawengine
 
Clinton kakanusha, Kafulila na Mkosamali wamekanusha, basi mtoa habari ana mtindio wa ubongo au ni kuadi wa mabwana zake tumsamehe bure!

ACT walisema wabunge 'kama wanne' watajiunga nao, Machali kashaingia...watu wanatafuta hao wengine watatu maana ukizingatia kauli ya Zitto aliwatishia wabunge wa Kigoma ambao sio ACT kutokurudi bungeni bila kujiunga ACT...nadhani hiyo tarehe 21/07/2015 tutawaona wote wanaohama watakaposimamishwa na ACT kama walivyosema....
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Hongera sana kafulila wewe ni.smart sana kijana nakukubali sana. Mh machali ni jembe letu pia tatizo kimempata sijui nini mpaka anenda kule..okay lakini vyama ni taasisi tu cha msingi mtu. Pamoja sana
Hali jimboni kwake ni tete. Kasulu ccm bado wana nguvu kubwa, nadhani Machali anafikiri nguvu na umaarufu wa zito vinaweza kumbeba. Tusubiri, Oktoba si mbali, lakini hali inaonyesha jimbo la Kasulu mjini kurudi ccm.
 
jimbo kurud ccm si rahisi ila machali akienda ACT yani atapigwa asubuhi. hii itanipa picha kuwa waha mna tamaa ya madaraka. kitakachompata machali hatasahau siasa. Aya diwan mke mwems issa nae keshakimbilia ccm. wote hawa akina ruturi, mshita wanapashwa wasirudi kwenye udiwan. issa kaharibu nccr na alikuwa anajificha kwenye koti la ccm sasa ni wakati wa kumnyoa
 
ACT walisema wabunge 'kama wanne' watajiunga nao, Machali kashaingia...watu wanatafuta hao wengine watatu maana ukizingatia kauli ya Zitto aliwatishia wabunge wa Kigoma ambao sio ACT kutokurudi bungeni bila kujiunga ACT...nadhani hiyo tarehe 21/07/2015 tutawaona wote wanaohama watakaposimamishwa na ACT kama walivyosema....

hawa AGIZO LA CHAMA TAWALA(ACT) mbona ni kigeugeu Mfalme wao alisikika akisema mikoani kuwa wabunge 50 watajiunga na sasa wameshuka na kuwa wabunge 4 nimeamini hiki chama kina laana!
 
Machali ameni disappoint sana. Huyu Mh. Nilimwona MTU mwenye msimamo ila kwa hili la kuhamia chama alichotambulisha Zitto kama cha Waha nimeshindwa kumwelewa.
 
Machali ameni disappoint sana. Huyu Mh. Nilimwona MTU mwenye msimamo ila kwa hili la kuhamia chama alichotambulisha Zitto kama cha Waha nimeshindwa kumwelewa.
Kiukweli mimi sijawahi kumkubali huyu machali. Sorry guys
 
Bavicha mtu akijiunga nanyi ndio mnamuona wa maana akiondoka mnamuona msaliti. mimi naamini baada ya uchaguzi mkuu na ACT kupata wabunge kaddhaa mtakikubali chama hiki. Hilo nawaambieni mark my words. ni vema tukaweka akiba ya maneno.
 
Hali jimboni kwake ni tete. Kasulu ccm bado wana nguvu kubwa, nadhani Machali anafikiri nguvu na umaarufu wa zito vinaweza kumbeba. Tusubiri, Oktoba si mbali, lakini hali inaonyesha jimbo la Kasulu mjini kurudi ccm.

CCM nako hali si shwari, sidhani kama wana uwezo tena ku out source hayo majimbo kwa vyama vingine wala sidhani kama wana nguvu na uwezo wa kutumia chama kingine kifanye kazi zake.
 
Back
Top Bottom