WOWOWO
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 590
- 430
Wanaharakati wa kisiasa ambao wametoswa katika vyama vyao wako katika hatua za mwisho kuanzisha chama cha kisiasa kitakachoitwa Chama cha Ukombozi wa Umma kwa lengo la kuendeleza harakati hizo.
Wanaharakati wanaotajwa kuanzisha chama hicho ni pamoja na Mbunge wa Kigoma Kusini David Kafulila ambaye amefukuzwa uanachama NCCR- Mageuzi, Hashim Rungwe ambaye aliwahi kuwa mgombea urais kupitia NCCR Mageuzi kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 na Hamad Tao aliyetimuliwa TLP.
Chama hicho kinachoongozwa na Mwenyekiti wa muda Mwalesi Mayunga kinatarajia kupata usajili wa muda kesho Jumanne Julai 3,2012
Akizungumza na Sema Usikike Tao alithibitisha uwepo wa chama hicho lakini hakutaka kuingia kwa undani.
Source: Gazeti la Sema Usikike la leo Julai 2,2012
My Take:
Huu utitiri wa vyama vya siasa utatufikisha wapi? Kafulila na Rungwe wanaweza kupima ubavu wa ushindani uliopo? Nahisi yunaongeza utitiri wa vyama vya mfukoni kama alivyosema Mh.Tendwa
Wanaharakati wanaotajwa kuanzisha chama hicho ni pamoja na Mbunge wa Kigoma Kusini David Kafulila ambaye amefukuzwa uanachama NCCR- Mageuzi, Hashim Rungwe ambaye aliwahi kuwa mgombea urais kupitia NCCR Mageuzi kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 na Hamad Tao aliyetimuliwa TLP.
Chama hicho kinachoongozwa na Mwenyekiti wa muda Mwalesi Mayunga kinatarajia kupata usajili wa muda kesho Jumanne Julai 3,2012
Akizungumza na Sema Usikike Tao alithibitisha uwepo wa chama hicho lakini hakutaka kuingia kwa undani.
Source: Gazeti la Sema Usikike la leo Julai 2,2012
My Take:
Huu utitiri wa vyama vya siasa utatufikisha wapi? Kafulila na Rungwe wanaweza kupima ubavu wa ushindani uliopo? Nahisi yunaongeza utitiri wa vyama vya mfukoni kama alivyosema Mh.Tendwa