Kafulila awalipua mawaziri akaunti ya Escrow

Huujui ukweli wewe ungekuwa unaujua ukweli kamwe usingethubutu kusimama upande mmoja na mafisi na mapanya wanaoiangamiza Tanzania siku zote ungekuwa unasimama mstari wa mbele kutetea maslahi ya Tanzania na Watanzania wenzako badala ya hao majambazi wanaokwapua karibu kila wiki huku nchi ikikosa maendeleo ya kweli.

Hawa mapanya wa CCM wanaudhi na wanakera sana....wameiguguna nchi tangu mwaka 1961 na bado wanatamani waendelee kuifilisi! Hawa mafisi dawa yao ipo jikoni na muda si mrefu wataumbuka.
fisi.jpg
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu tpaul sasa hivi hata woga hawana tena maana wanajua tutawafanya nini? Wanaiba mapesa chungu nzima hakuna anayekamatwa kupandishwa kizimbani au kufukuzwa kazi. Mafisi na Mapanya yameiteka nchi na kufanya yatakavyo bila kujali maslahi ya Watanzania.

Hawa mapanya wa CCM wanaudhi na wanakera sana....wameiguguna nchi tangu mwaka 1961 na bado wanatamani waendelee kuifilisi! Hawa mafisi dawa yao ipo jikoni na muda si mrefu wataumbuka.
View attachment 189081
 
Last edited by a moderator:
Nalijua hilo Mkuu lakini wanakasirika sana wanapoona bado tunalijadili hapa. Si unaona juhudi zao kubwa ya kupotosha ukweli kuhusiana na wezi huu? Ni kawaida yao kukaa kimya wakijua Watanzania tutasahau, mfano mabilioni ($579 million)ya Uswiss leo ni karibu miaka miwili na nusu bado tangu uchunguzi uanze "uchunguzi bado unaendelea"

Mkuu tusitegemee mwendelezo wa hili jambo.
 
  • [h=2]
    icon1.png
    Tuhuma za ufisadi ESCROW account, ukweli wote wawekwa wazi[/h]
    Taarifa zaidi kuhusu akaunti ya Escrow

    TAARIFA zaidi zimezidi kupatikana kuhusu sakata la Escrow, linalohusisha makubaliano baina ya serikali, Kampuni ya kufua umeme ya Independet Power Tanzania Limited (IPTL) na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kama wakala wa Escrow kuwa yalikuwa ni makubaliano ya kisheria.

    Makubaliano hayo yalilenga kumaliza mgogoro wa kimaslahi baina ya wabia, ambao ni Kampuni ya VIP na Mechmar kutoka nchini Malaysia, ambapo VIP ilikuwa inamlalamikia mbia mwenzake kuhusu thamani ya hisa zake.

    Hali hiyo ilisababishwa na mkataba wao, ambao ulikuwa ikimtaka kampuni ya VIP kufanya kazi za utekelezaji ikiwemo misamaha ya kodi, ofisi itakayofungwa mtambo huo wa uzalishaji umeme megawati 100, ambapo mtambo huo ulifungwa Tegeta.

    Taarifa zaidi kuhusu mkataba huo, ilieleza kazi zitazofanywa na Kampuni ya VIP ni asilimia 30 ya
    hisa zote huku Mechmar ikibaki na hisa ya asilimia 70 kutokana na kutoa mtaji wa uzalishaji umeme.

    Kutokana na hali hiyo, VIP haikuwa tayari kuanzisha mgogoro wa kimaslahi baina yake na Mechmar, wakati kesi yao ikiendelea Mahakama Kuu ndipo VIP ikatoa pendekezo la kuzuia kulipwa kwa IPTL hadi mgogoro wao utakapoisha.

    Pendekezo liliungwa mkono na serikali, ambaye ni mnunuzi wa umeme kupitia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), na kutengeneza makubaliano kisheria ya pamoja yaliyoitwa ‘Escrow Agreement’ yaliyosainiwa na pande zote tatu ikiwemo serikali, IPTL na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ambayo ilikuwa kama wakala wa Escrow Julai 5, 2006.

    Ilisema makubaliano hayo ya kisheria ilipelekea kufunguliwa kwa akaunti maalumu ya pamoja baina ya serikali, IPTL na BoT ili kutunza fedha zote za malipo ambazo IPTL walipaswa kulipwa kutokana na mauzo ya umeme waliokuwa wakiyafanya Tanesco kipindi chote cha mgogoro.

    Katika makubaliano hayo, serikali iliingia kama mnunuzi wa umeme kupitia Tanesco na ilikuwa na wajibu wa kupeleka fedha katika akaunti ya Escrow badala ya kuwalipa IPTL moja kwa moja kama ilivyokuwa awali.

    Ilieleza zaidi BoT wao walikuwa wakala wa Escrow na kazi yao ni kupokea, kutunza fedha na kutoa taarifa kwa pande zote zilizosaini makubaliano hayo huku IPTL yenyewe ikiwa ndio wazalishaji wa umeme.

    Makubaliano hayo yalieleza kwamba, pindi mgogoro utakapoisha BoT itapaswa kutoa fedha hizo kwa IPTL ndani siku 60, baada ya pande zote kuafikiana.

    Akizungumzia kuhusu Escrow, Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa IPTL/PAP, Joseph Makandege alisema wapo mbioni kuweka kila kitu katika wazi ili Watanzania wapate ukweli kuhusu Escrow.

    Alisema Escrow lilikuwa jambo la kisheria baina ya wabia na serikali kama mpokea huduma, ambalo walilimaliza wao wenyewe kwa makubaliano yao ya kisheria.

    “Hakuna kitu chochote ovu hapa, mengi yanayozungumzwa katika mitandao ni ya zamani na si mapya, ambayo yamemalizika kisheria,’’ alisema.

    Hivyo, alisema IPTL/PAP ni kampuni makini isiyokuwa na chembe ya kifisadi na imefika hapo baada ya kupita hatua zote za kisheria, ikiwemo kununua hisa za VIP na Mechmar.

    Alisema wanazidi kuwaomba watanzania, wawaamini na kuendelea kuwaamini kwa kuwa hakuna vitendo vya ufisadi.


    You, Pasco, massange and 1 others like this.



    Send PM



“Si kweli kwamba ESCROW akaunti ilifunguliwa
kutokana na maombi ya TANESCO kuhusiana na
mgogoro wa capacity charge, Kesi ya TANESCO
iliisha 2001, na akaunti ya ESCROW
ilifunguliwa kwa hukumu ya 2006,’’alisema.
Aliongeza; “VIP ndio waliomba kufunguliwa kwa
ESCROW, hivyo kusema kwamba TANESCO na IPTL
kuna kesi ni upotoshaji unaopaswa
kukemewa,’’.
Makandege, alisema kesi iliokuwepo kwa sasa
ni ya mgogoro wa umiliki kati PAP/IPTL na
benki ya Standard Chartered ya Hongkong
inayodai kununua deni la Kampuni ya Mechmar
ya Malaysia.
“Kesi kati ya Standard Chartered na IPTL/PAP
haihusiani na TANESCO na wawaache TANESCO
watimize wajibu wao na sisi tuyatimiza wajibu
wetu kwa Watanzania na tutapambana
mahakamani,’’alisema Makandege kwa kujiamini.
Hivyo, alisema wanaolalamika kwamba PAP/IPTL
imelipwa kwa makosa wao ndio wanafanya makosa
ya kupotosha ukweli wa suala hilo au labda
waeleze kwamba Standard Chartered ni Shirika
la Umma.
 
Basi Sawa

“Si kweli kwamba ESCROW akaunti ilifunguliwa
kutokana na maombi ya TANESCO kuhusiana na
mgogoro wa capacity charge, Kesi ya TANESCO
iliisha 2001, na akaunti ya ESCROW
ilifunguliwa kwa hukumu ya 2006,’’alisema.
Aliongeza; “VIP ndio waliomba kufunguliwa kwa
ESCROW, hivyo kusema kwamba TANESCO na IPTL
kuna kesi ni upotoshaji unaopaswa
kukemewa,’’.
Makandege, alisema kesi iliokuwepo kwa sasa
ni ya mgogoro wa umiliki kati PAP/IPTL na
benki ya Standard Chartered ya Hongkong
inayodai kununua deni la Kampuni ya Mechmar
ya Malaysia.
“Kesi kati ya Standard Chartered na IPTL/PAP
haihusiani na TANESCO na wawaache TANESCO
watimize wajibu wao na sisi tuyatimiza wajibu
wetu kwa Watanzania na tutapambana
mahakamani,’’alisema Makandege kwa kujiamini.
Hivyo, alisema wanaolalamika kwamba PAP/IPTL
imelipwa kwa makosa wao ndio wanafanya makosa
ya kupotosha ukweli wa suala hilo au labda
waeleze kwamba Standard Chartered ni Shirika
la Umma.
 
Si rahisi kupambana na mafisadi, hata hivyo mwisho wa siku ufisadi hushindwa kwa nguvu ya uma na baadaye utaanza kujijenga tena na mapambano huanza tena. Hakuna mwisho wa mapambano dhidi ya ufisadi.
Raia wema wanatakiwa kuendeleza mapambano dhidi ya mafisadi na mbwa wao!
Kwa kipindi hiki uzao wa mbwa wa mafisadi (vibaraka) umeongezeka sana, wapo wanaofugwa na wa kujitolea. Mtandao wao ni mkubwa, kuanzia ofisi za uma, taasisi binafsi na hata mitandao ya jamii.
“Si kweli kwamba ESCROW akaunti ilifunguliwa
kutokana na maombi ya TANESCO kuhusiana na
mgogoro wa capacity charge, Kesi ya TANESCO
iliisha 2001, na akaunti ya ESCROW
ilifunguliwa kwa hukumu ya 2006,’’alisema.
Aliongeza; “VIP ndio waliomba kufunguliwa kwa
ESCROW, hivyo kusema kwamba TANESCO na IPTL
kuna kesi ni upotoshaji unaopaswa
kukemewa,’’.
Makandege, alisema kesi iliokuwepo kwa sasa
ni ya mgogoro wa umiliki kati PAP/IPTL na
benki ya Standard Chartered ya Hongkong
inayodai kununua deni la Kampuni ya Mechmar
ya Malaysia.
“Kesi kati ya Standard Chartered na IPTL/PAP
haihusiani na TANESCO na wawaache TANESCO
watimize wajibu wao na sisi tuyatimiza wajibu
wetu kwa Watanzania na tutapambana
mahakamani,’’alisema Makandege kwa kujiamini.
Hivyo, alisema wanaolalamika kwamba PAP/IPTL
imelipwa kwa makosa wao ndio wanafanya makosa
ya kupotosha ukweli wa suala hilo au labda
waeleze kwamba Standard Chartered ni Shirika
la Umma.
 
kafulila.jpg

Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila akichangia mjadala bungeni mjini Dodoma jana. Picha na Edwin Mjwahuzi



KWA UFUPI

  • Asema kashfa ya Fedha za Akaunti ya Escrow ni kubwa kuliko ya EPA, ataka iundwe tume ya Bunge, Pinda kutoa majibu leo

Dodoma. Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila jana aliibua tuhuma nzito bungeni akiwahusisha mawaziri wawili na Sh200 bilioni zilichotwa katika Akaunti ya Escrow, iliyokuwa inamilikiwa kwa pamoja kati ya Tanesco na Kampuni ya kufua umeme ya IPTL.

Katika tuhuma hizo, alimuunganisha pia Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini na vigogo wengine, wakiwamo wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na wa Serikali, wote akiwataja tu kwa vyeo bila majina.

Mawaziri waliotajwa ni Waziri wa Nishati na Madini, Waziri wa Fedha na Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco).

Ingawa Kafulila hakutaja kwa majina, Waziri wa Nishati ni Profesa Sospeter Muhongo, wa Fedha ni Saada Mkuya, Katibu Mkuu wa wizara hiyo (Nishati) ni Eliakim Maswi na AG ni Frederick Werema.

Kafulila alitoa tuhuma hizo bungeni alipokuwa akichangia hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka wa Fedha 2014/15.

Mbunge huyo alisema fedha zilizoibwa katika Akaunti ya Escrow ni nyingi kuliko zile zilizoibwa katika kashfa ya Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ya BoT mwaka 2005.

“Pamoja na hilo, Watanzania wamekuwa wakisikia kwenye vyombo vya habari kwamba Tanesco wakati ilipokuwa na mgogoro na IPTL walifika mahali wakafungua akaunti ya Escrow,” alisema.

Mbunge huyo alisema akaunti hiyo ilifunguliwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), mwaka 2004 na hadi jana, akaunti ile ilishafikia Dola za Marekani 122 milioni,” alisema Kafulila.

Alisema fedha hizo ziliwekwa kwa lengo maalumu kutokana na mgogoro uliokuwapo kati ya IPTL na Tanesco ili ziweze kusaidia malipo baada ya mgogoro kuisha katika Baraza la Usuluhishi wa Kibiashara la ISCID.

Alitaka jambo hilo liingie kwenye rekodi kwa kuwa linahusu BoT na vigogo akiwamo Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Waziri wa Nishati na Madini pamoja na Katibu wake na pia Waziri wa Fedha.

Alisema wakati Tanesco ikidaiwa madeni zaidi ya Sh400 bilioni, viongozi hao wameidhinisha kugawanywa kwa fedha hizo kihuni jambo alilosema halivumiliki hata kidogo.

Kafulila alisema fedha hizo zilichotwa na Kampuni ya PAP aliyosema ya “Singasinga na ya kitapeli” ambayo iliidhinishiwa kuchota fedha hizo kinyume na utaratibu. Alisema fedha hizo hazikupaswa kuchukuliwa kwa

kuwa kulifanyika udanganyifu mkubwa kwamba PAP ilikuwa imenunua IPTL wakati jambo hilo si la kweli.
Alisema IPTL ilikuwa na makubaliano ya kufanya kazi kwa kampuni mbili ambazo ni VIP Engineering ya Tanzania iliyokuwa na hisa asilimia 30 na Mecmer ambayo ilikuwa na asilimia 70 ya hisa.

Hata hivyo, alidai kuwa anao ushahidi kuwa PAP ilikuwa imenunua hisa za VIP na hakukuwa na vielelezo vya kununua Mecmer kwa kuwa kampuni hiyo tayari ilishapoteza uhalali wake kwa kuwa ilikuwa chini ya muflisi nchini Malaysia.

Aliliambia Bunge kuwa wakati wa uchukuaji wa fedha hizo kutoka BoT, ilipaswa kulipiwa kodi lakini zilichukuliwa kinyemela bila hata ya kulipiwa kodi.

Alisema TRA iliiandikia Hazina na nakala kwa BoT kwamba wakati wa kulipa fedha hizo lazima kodi ikatwe, lakini cha ajabu hilo halikufanyika licha ya kukumbushwa.

“Kwa mfano, tulimwita Gavana katika kikao chetu cha Kamati ya Uchumi pale Bagamoyo na alikiri kuwa alibanwa na viongozi wa juu kiasi cha kushindwa kufurukuta, kwa hali kama hiyo Naibu Spika unategemea nini?” alihoji.

Kafulila alisema, Gavana katika kikao hicho alikiri kuwa, kulikuwa na presha (shinikizo) ambazo asingeweza kuzizuia na kuwa alikuwa amejitahidi kwa kiasi kikubwa hadi kufikia alipofika.

Alisema ISCID lilitoa hukumu ndogo Februari, mwaka huu kuwa Tanesco na IPTL wakae pamoja na kupitia hesabu zao namna watakavyogawanya fedha hizo na walipewa siku 60 ambazo mwisho wake ulikuwa jana.

Aliituhumu Tanesco kuwa katika makubaliano hayo ilikataa kukaa meza moja na kufanya hesabu za namna ya kulipana jambo alilosema linaonyesha ilidhamiria kufanya hivyo.

“Kwa sababu wanajua kuwa fedha ile ilishaliwa na wajanja wachache, Mheshimiwa Waziri Mkuu, hili kwa vyovyote halikubaliki na halivumiliki kwa sababu Dola122 milioni ni zaidi ya Sh200 bilioni ambazo ni nyingi kuliko za EPA, lazima litoke na mtu.”

Alisema hayuko tayari kuona fedha hizo zikitafunwa bila ya utaratibu na akashangazwa kuona Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), akishindwa kuchukua hatua. Akoleza moto jioni Katika kikao cha jioni, Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Zungu alimwita tena Kafulila kutoa ufafanuzi wa hoja yake aliyoitoa mchana, ambayo iliombewa mwongozo na Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina kwamba Gavana alishinikizwa kutoa fedha hizo.
Wakati wa mwongozo huo, Kafulila hakuwapo na ndiyo sababu ya Mwenyekiti kumpa nafasi ya kufuta kauli yake kuwa Gavana alishinikizwa. Hata hivyo, Kafulila alikazia akisema alishinikizwa kutoa fedha hizo.

“Gavana aliwahi kuniambia, mnanionea bure. Kulikuwa na presha kubwa sana kuhusu fedha hizi… ukweli ni kwamba IPTL inabadilishwa tu rangi na watendaji ni walewale.”

Baada ya Kafulila kuzungumza, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi alisimama na kusema: “Tuhuma dhidi ya Gavana wa Benki Kuu zinatolewa kwa kuwa hawezi kuingia bungeni kujitetea.

“Lakini Gavana tulimuuliza na akakanusha kuwa aliwahi kuyatamka hayo maneno na kiongozi wa shughuli za Serikali bungeni atakuja kufafanua jambo hili kesho (leo) katika hotuba yake,” alisema Lukuvi.

Hata hivyo, Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee alisimama kuomba mwongozo akisema: “Kamati ya Bunge iundwe ili tuchunguze fedha hizi za Escrow zimekwenda wapi? Kafulila ana ushahidi wa kutosha, kwa nini hamtaki athibitishe?

“Vikao vyote vya kamati vinawekewa kwenye kumbukumbu rasmi (hansard) ili kujua kama Gavana alitoa maneno hayo ama hakutoa, iundwe kamati ijulikane mbivu na mbichi na wezi wa fedha za Escrow tunao humu ndani ya Bunge.”

Chanzo:
Mwananchi


acha mas ala wewe. Nchi hii sio shamba la bibi. 2015 watanzania twamuhitaji prof. Anna tibaijuka kuikoa nchi hii kwa ufisadi na umasikni. Tusifanye ushabiki tuu wa kisiasa
 
"Si kweli kwamba ESCROW akaunti ilifunguliwa
kutokana na maombi ya TANESCO kuhusiana na
mgogoro wa capacity charge, Kesi ya TANESCO
iliisha 2001, na akaunti ya ESCROW
ilifunguliwa kwa hukumu ya 2006,''alisema.
Aliongeza; "VIP ndio waliomba kufunguliwa kwa
ESCROW, hivyo kusema kwamba TANESCO na IPTL
kuna kesi ni upotoshaji unaopaswa
kukemewa,''.
Makandege, alisema kesi iliokuwepo kwa sasa
ni ya mgogoro wa umiliki kati PAP/IPTL na
benki ya Standard Chartered ya Hongkong
inayodai kununua deni la Kampuni ya Mechmar
ya Malaysia.
"Kesi kati ya Standard Chartered na IPTL/PAP
haihusiani na TANESCO na wawaache TANESCO
watimize wajibu wao na sisi tuyatimiza wajibu
wetu kwa Watanzania na tutapambana
mahakamani,''alisema Makandege kwa kujiamini.
Hivyo, alisema wanaolalamika kwamba PAP/IPTL
imelipwa kwa makosa wao ndio wanafanya makosa
ya kupotosha ukweli wa suala hilo au labda
waeleze kwamba Standard Chartered ni Shirika
la Umma.
acha mas ala wewe. Nchi hii sio shamba la bibi. 2015 watanzania twamuhitaji prof. Anna tibaijuka kuikoa nchi hii kwa ufisadi na umasikni. Tusifanye ushabiki tuu wa kisiasa
 
"Si kweli kwamba ESCROW akaunti ilifunguliwa
kutokana na maombi ya TANESCO kuhusiana na
mgogoro wa capacity charge, Kesi ya TANESCO
iliisha 2001, na akaunti ya ESCROW
ilifunguliwa kwa hukumu ya 2006,''alisema.
Aliongeza; "VIP ndio waliomba kufunguliwa kwa
ESCROW, hivyo kusema kwamba TANESCO na IPTL
kuna kesi ni upotoshaji unaopaswa
kukemewa,''.
Makandege, alisema kesi iliokuwepo kwa sasa
ni ya mgogoro wa umiliki kati PAP/IPTL na
benki ya Standard Chartered ya Hongkong
inayodai kununua deni la Kampuni ya Mechmar
ya Malaysia.
"Kesi kati ya Standard Chartered na IPTL/PAP
haihusiani na TANESCO na wawaache TANESCO
watimize wajibu wao na sisi tuyatimiza wajibu
wetu kwa Watanzania na tutapambana
mahakamani,''alisema Makandege kwa kujiamini.
Hivyo, alisema wanaolalamika kwamba PAP/IPTL
imelipwa kwa makosa wao ndio wanafanya makosa
ya kupotosha ukweli wa suala hilo au labda
waeleze kwamba Standard Chartered ni Shirika
la Umma.

Mkuu, hivi unalipwa sh ngapi kutetea UFISADI huu?
 
Mkuu tpaul sasa hivi hata woga hawana tena maana wanajua tutawafanya nini? Wanaiba mapesa chungu nzima hakuna anayekamatwa kupandishwa kizimbani au kufukuzwa kazi. Mafisi na Mapanya yameiteka nchi na kufanya yatakavyo bila kujali maslahi ya Watanzania.
wanaolalamika kwamba PAP/IPTL
imelipwa kwa makosa wao ndio wanafanya makosa
ya kupotosha ukweli wa suala hilo au labda
waeleze kwamba Standard Chartered ni Shirika
la Umma.
 
Last edited by a moderator:
Hawa mapanya wa CCM wanaudhi na wanakera sana....wameiguguna nchi tangu mwaka 1961 na bado wanatamani waendelee kuifilisi! Hawa mafisi dawa yao ipo jikoni na muda si mrefu wataumbuka.
View attachment 189081

wanaolalamika kwamba PAP/IPTL
imelipwa kwa makosa wao ndio wanafanya makosa
ya kupotosha ukweli wa suala hilo au labda
waeleze kwamba Standard Chartered ni Shirika
la Umma.
 
acha mas ala wewe. Nchi hii sio shamba la bibi. 2015 watanzania twamuhitaji prof. Anna tibaijuka kuikoa nchi hii kwa ufisadi na umasikni. Tusifanye ushabiki tuu wa kisiasa
Kashindwa Kiongozi wa sasa kuondosha huo ufisadi je Ataweza Prof Anna Tibaijuka? kuwamaliza Ufisadi unafikiri kazi ya mchezo?
 
"Si kweli kwamba ESCROW akaunti ilifunguliwa
kutokana na maombi ya TANESCO kuhusiana na
mgogoro wa capacity charge, Kesi ya TANESCO
iliisha 2001, na akaunti ya ESCROW
ilifunguliwa kwa hukumu ya 2006,''alisema.
Aliongeza; "VIP ndio waliomba kufunguliwa kwa
ESCROW, hivyo kusema kwamba TANESCO na IPTL
kuna kesi ni upotoshaji unaopaswa
kukemewa,''.
Makandege, alisema kesi iliokuwepo kwa sasa
ni ya mgogoro wa umiliki kati PAP/IPTL na
benki ya Standard Chartered ya Hongkong
inayodai kununua deni la Kampuni ya Mechmar
ya Malaysia.
"Kesi kati ya Standard Chartered na IPTL/PAP
haihusiani na TANESCO na wawaache TANESCO
watimize wajibu wao na sisi tuyatimiza wajibu
wetu kwa Watanzania na tutapambana
mahakamani,''alisema Makandege kwa kujiamini.
Hivyo, alisema wanaolalamika kwamba PAP/IPTL
imelipwa kwa makosa wao ndio wanafanya makosa
ya kupotosha ukweli wa suala hilo au labda
waeleze kwamba Standard Chartered ni Shirika
la Umma.

massange,

BOT na serikali kupitia wizara zimeshugulikia ESCROW account, je nazo ni taasisi binafsi. Kama hazikuwa pesa za uma kwanini serikali ilihusika?
Si rahisi kwa wezi kukiri kuwa wameiba, hata hivyo hutiwa hatiani na hata kuhukumiwa wakiwa bado wakijitetea kuwa hawana kosa au hawajaiba.
Hivi mtu akisema kwa kujiamini kuwa mama yako ni nyani, wewe utakubali tu kwa sababu amesema tena kwa kujiamini?
 
massange,

BOT na serikali kupitia wizara zimeshugulikia ESCROW account, je nazo ni taasisi binafsi. Kama hazikuwa pesa za uma kwanini serikali ilihusika?
Si rahisi kwa wezi kukiri kuwa wameiba, hata hivyo hutiwa hatiani na hata kuhukumiwa wakiwa bado wakijitetea kuwa hawana kosa au hawajaiba.
Hivi mtu akisema kwa kujiamini kuwa mama yako ni nyani, wewe utakubali tu kwa sababu amesema tena kwa kujiamini?
kafulila ndivyo alivyokutuma siyo?bora utumwa wa kujituma
kuliko utumwa wa kutumiwa.pole weeh...wajinga ndio waliwao.
 
kafulila ndivyo alivyokutuma siyo?bora utumwa wa kujituma
kuliko utumwa wa kutumiwa.pole weeh...wajinga ndio waliwao.

Usitumie akili za kuazima kujadili jambo na watu wenye fikra huru kama mimi.
Jibu hoja kwa hoja bila kuangalia nani kasema nini. Akili ndogo au za kuazima ndizo zinazojadili watu.
Hata hivyo unaweza kumpongeza mtu au kumuunga mkono kwa hoja yake.
Utumwa wa fikra ni mbaya zaidi kuliko ule wa kutumia nguvu!
Kwa nini tugombane kwa ajili ya mafisadi? Ndugu yangu amka, jenga hoja unielimishe mimi na wengine kama wewe siyo mhusika katika huo ufisadi au mbwa wa hao mafisadi!
 
Kuna mtu humu anaitwa massange. Kusema kweli huyu massange ni wa kuhurumiwa na katu si wa kukebehiwa. Huenda ikawa hata hajui anatetea nini! Binafsi namhurumia na kama ningemfahamu, badala ya kumshangaa, ningefanya jitihada za kumsaidia! Yawezekana hana njia; asipokomaa kutetea huu ufisadi ndio tena...watampotezea kama Marehemu Mgimwa. Ujeuri wa wezi nchi hii hakika unatisha.
 
kafulila.jpg

Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila akichangia mjadala bungeni mjini Dodoma jana. Picha na Edwin Mjwahuzi



KWA UFUPI

  • Asema kashfa ya Fedha za Akaunti ya Escrow ni kubwa kuliko ya EPA, ataka iundwe tume ya Bunge, Pinda kutoa majibu leo

Dodoma. Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila jana aliibua tuhuma nzito bungeni akiwahusisha mawaziri wawili na Sh200 bilioni zilichotwa katika Akaunti ya Escrow, iliyokuwa inamilikiwa kwa pamoja kati ya Tanesco na Kampuni ya kufua umeme ya IPTL.

Katika tuhuma hizo, alimuunganisha pia Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini na vigogo wengine, wakiwamo wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na wa Serikali, wote akiwataja tu kwa vyeo bila majina.

Mawaziri waliotajwa ni Waziri wa Nishati na Madini, Waziri wa Fedha na Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco).

Ingawa Kafulila hakutaja kwa majina, Waziri wa Nishati ni Profesa Sospeter Muhongo, wa Fedha ni Saada Mkuya, Katibu Mkuu wa wizara hiyo (Nishati) ni Eliakim Maswi na AG ni Frederick Werema.

Kafulila alitoa tuhuma hizo bungeni alipokuwa akichangia hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka wa Fedha 2014/15.

Mbunge huyo alisema fedha zilizoibwa katika Akaunti ya Escrow ni nyingi kuliko zile zilizoibwa katika kashfa ya Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ya BoT mwaka 2005.

“Pamoja na hilo, Watanzania wamekuwa wakisikia kwenye vyombo vya habari kwamba Tanesco wakati ilipokuwa na mgogoro na IPTL walifika mahali wakafungua akaunti ya Escrow,” alisema.

Mbunge huyo alisema akaunti hiyo ilifunguliwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), mwaka 2004 na hadi jana, akaunti ile ilishafikia Dola za Marekani 122 milioni,” alisema Kafulila.

Alisema fedha hizo ziliwekwa kwa lengo maalumu kutokana na mgogoro uliokuwapo kati ya IPTL na Tanesco ili ziweze kusaidia malipo baada ya mgogoro kuisha katika Baraza la Usuluhishi wa Kibiashara la ISCID.

Alitaka jambo hilo liingie kwenye rekodi kwa kuwa linahusu BoT na vigogo akiwamo Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Waziri wa Nishati na Madini pamoja na Katibu wake na pia Waziri wa Fedha.

Alisema wakati Tanesco ikidaiwa madeni zaidi ya Sh400 bilioni, viongozi hao wameidhinisha kugawanywa kwa fedha hizo kihuni jambo alilosema halivumiliki hata kidogo.

Kafulila alisema fedha hizo zilichotwa na Kampuni ya PAP aliyosema ya “Singasinga na ya kitapeli” ambayo iliidhinishiwa kuchota fedha hizo kinyume na utaratibu. Alisema fedha hizo hazikupaswa kuchukuliwa kwa

kuwa kulifanyika udanganyifu mkubwa kwamba PAP ilikuwa imenunua IPTL wakati jambo hilo si la kweli.
Alisema IPTL ilikuwa na makubaliano ya kufanya kazi kwa kampuni mbili ambazo ni VIP Engineering ya Tanzania iliyokuwa na hisa asilimia 30 na Mecmer ambayo ilikuwa na asilimia 70 ya hisa.

Hata hivyo, alidai kuwa anao ushahidi kuwa PAP ilikuwa imenunua hisa za VIP na hakukuwa na vielelezo vya kununua Mecmer kwa kuwa kampuni hiyo tayari ilishapoteza uhalali wake kwa kuwa ilikuwa chini ya muflisi nchini Malaysia.

Aliliambia Bunge kuwa wakati wa uchukuaji wa fedha hizo kutoka BoT, ilipaswa kulipiwa kodi lakini zilichukuliwa kinyemela bila hata ya kulipiwa kodi.

Alisema TRA iliiandikia Hazina na nakala kwa BoT kwamba wakati wa kulipa fedha hizo lazima kodi ikatwe, lakini cha ajabu hilo halikufanyika licha ya kukumbushwa.

“Kwa mfano, tulimwita Gavana katika kikao chetu cha Kamati ya Uchumi pale Bagamoyo na alikiri kuwa alibanwa na viongozi wa juu kiasi cha kushindwa kufurukuta, kwa hali kama hiyo Naibu Spika unategemea nini?” alihoji.

Kafulila alisema, Gavana katika kikao hicho alikiri kuwa, kulikuwa na presha (shinikizo) ambazo asingeweza kuzizuia na kuwa alikuwa amejitahidi kwa kiasi kikubwa hadi kufikia alipofika.

Alisema ISCID lilitoa hukumu ndogo Februari, mwaka huu kuwa Tanesco na IPTL wakae pamoja na kupitia hesabu zao namna watakavyogawanya fedha hizo na walipewa siku 60 ambazo mwisho wake ulikuwa jana.

Aliituhumu Tanesco kuwa katika makubaliano hayo ilikataa kukaa meza moja na kufanya hesabu za namna ya kulipana jambo alilosema linaonyesha ilidhamiria kufanya hivyo.

“Kwa sababu wanajua kuwa fedha ile ilishaliwa na wajanja wachache, Mheshimiwa Waziri Mkuu, hili kwa vyovyote halikubaliki na halivumiliki kwa sababu Dola122 milioni ni zaidi ya Sh200 bilioni ambazo ni nyingi kuliko za EPA, lazima litoke na mtu.”

Alisema hayuko tayari kuona fedha hizo zikitafunwa bila ya utaratibu na akashangazwa kuona Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), akishindwa kuchukua hatua. Akoleza moto jioni Katika kikao cha jioni, Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Zungu alimwita tena Kafulila kutoa ufafanuzi wa hoja yake aliyoitoa mchana, ambayo iliombewa mwongozo na Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina kwamba Gavana alishinikizwa kutoa fedha hizo.
Wakati wa mwongozo huo, Kafulila hakuwapo na ndiyo sababu ya Mwenyekiti kumpa nafasi ya kufuta kauli yake kuwa Gavana alishinikizwa. Hata hivyo, Kafulila alikazia akisema alishinikizwa kutoa fedha hizo.

“Gavana aliwahi kuniambia, mnanionea bure. Kulikuwa na presha kubwa sana kuhusu fedha hizi… ukweli ni kwamba IPTL inabadilishwa tu rangi na watendaji ni walewale.”

Baada ya Kafulila kuzungumza, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi alisimama na kusema: “Tuhuma dhidi ya Gavana wa Benki Kuu zinatolewa kwa kuwa hawezi kuingia bungeni kujitetea.

“Lakini Gavana tulimuuliza na akakanusha kuwa aliwahi kuyatamka hayo maneno na kiongozi wa shughuli za Serikali bungeni atakuja kufafanua jambo hili kesho (leo) katika hotuba yake,” alisema Lukuvi.

Hata hivyo, Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee alisimama kuomba mwongozo akisema: “Kamati ya Bunge iundwe ili tuchunguze fedha hizi za Escrow zimekwenda wapi? Kafulila ana ushahidi wa kutosha, kwa nini hamtaki athibitishe?

“Vikao vyote vya kamati vinawekewa kwenye kumbukumbu rasmi (hansard) ili kujua kama Gavana alitoa maneno hayo ama hakutoa, iundwe kamati ijulikane mbivu na mbichi na wezi wa fedha za Escrow tunao humu ndani ya Bunge.”

Chanzo:
Mwananchi


Mavii matupu
 
Ujeuri walio nao wezi nchi hii hakika unatisha, muoneni huyu mimi kuruta...kweli nchi imekosa uongozi. Mwizi anakuibia halafu anatamba na kutukana, my God!

Unaushaid gani kama kaiba mkuu
au na wewe umemezeshwa na kafulila
Mkuu mmi ni tofauti sana na wengi eti sio kisa kasema yeye kafulila na mimi nikurupuke tu nianze kumshabikia lazma nianze kufanya uchunguz kwanza
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom