CV Mbona iko wazi wadau! kwamba hiyo BBA not completed? au hamuoni hapo? ndiyo BBA Programme ni miaka 3 pale UDSM. Na hii programme inasomwa na watu wengi wanaotoka makazini, na kwasababu hiyo kuna wengi tu ambao wanahairisha miaka kwasababu mbalimbali. Na kama alikuwa anasoma BBA, kama alifuata taratibu zote za kuhairisha masomo hiyo inaruhusiwa. Japo sijajua ni kwa kipindi gani wanaruhusiwa kuhairisha masomo yao kutokana na sababu mbalimbali.