mzee wa mawe
Senior Member
- Aug 2, 2011
- 151
- 15
Akiongea Leo katika msikiti wa Idrissa Imam mkuu ALLy Basaleh amesema hakushangaa na majibu aliyotoa Rais jakaya mrisho kikwete kwani ndio uwezo wake ulipoishia, amesema kuwa alikutana na maaskofu na walimwambia kuwa suala la waislam kuwa na kadhi ni jambo zuri la ni bora suala hilo liendeshwe na waislam wenyewe na kwa gharama zao wenyewe, na hata mwenyekiti wa kurekebisha sheria Prof Ibrahim Juma amesema kuwa ni bora suala hilo lisimamiwe na waislam wenyewe, na serikali imekubaliana haitahusika katika masuala ya kadhi waanzishe na waihudumie wenyewe, je? mh Rais alishindwa kwenda viongozi wa waislam, je? waislam wanaposema nchi hii inaongozwa na MFUMO KRISTO wanakosea?