Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Kuna mdada yuko raskazone- tanga,alikosea namba, simu ikaingia kwangu,nikapokea fresh thn me nkamwambia kakosea number,toka cku hyo mdada wa watu hapitishi cku bila kunipigia simu eti asikie tu sauti yangu...leo kanitamkia anahisi kunipenda ingawa hanijui,me nimemjibu tu asante..ivi kuna kumpenda mtu hata kama humjui jaman au ndo nimetokewa na jini?