Jamani wana JF hamjambo?. Dawa ya Wasira yapatikana!. Soma hapa chini.
Nimepata taarifa kwamba Kijana Pius Masuruli (38) mwenye picha, mkazi wa Bunda na mjasiliamali, ametangaza wazi kutaka kugombea ubunge jimbo la Bunda kupitia Chadema. Pius ameamua kumvaa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Steven Masatu Wasira iwapo atapitishwa na CCM yake kugombea tena jimbo hilo.
Kijana Pius amedhamiria kuwakomboa kimaendeleo wananchi wa jimbo la Bunda, ambalo jimbo hilo linakabiliwa na changamoto kubwa ya uduni wa maendeleo tangu nchi ipate uhuru mwaka 1961. Inaelezwa kwamba wananchi wa Bunda wamemchoka Wasira na wanataka kufanya mabadiliko ya kiuongozi.
Nimepata taarifa kwamba Kijana Pius Masuruli (38) mwenye picha, mkazi wa Bunda na mjasiliamali, ametangaza wazi kutaka kugombea ubunge jimbo la Bunda kupitia Chadema. Pius ameamua kumvaa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Steven Masatu Wasira iwapo atapitishwa na CCM yake kugombea tena jimbo hilo.
Kijana Pius amedhamiria kuwakomboa kimaendeleo wananchi wa jimbo la Bunda, ambalo jimbo hilo linakabiliwa na changamoto kubwa ya uduni wa maendeleo tangu nchi ipate uhuru mwaka 1961. Inaelezwa kwamba wananchi wa Bunda wamemchoka Wasira na wanataka kufanya mabadiliko ya kiuongozi.