X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Ndio kitu gani hii mkuu, Kifua kikuu ama...!?Heheheheh! Ich bin PM, und ich komt aus TB! hahahhah! kazi unayo mtani, mbona watu wako poa tu hao! wasikuvunje nguvu akina DA!
Ndio kitu gani hii mkuu, Kifua kikuu ama...!?Heheheheh! Ich bin PM, und ich komt aus TB! hahahhah! kazi unayo mtani, mbona watu wako poa tu hao! wasikuvunje nguvu akina DA!
anapagawa na utumbo? akitengenezewa maini je?
Wasiliana na mwanachama mmoja wa JF, anaitwa Kipala...! Atakusaidia mawazo.Dunia haiishi vya kushangaza,mwenzenu jana nimepata mgeni mtoto wa kijerumani,na kwa kuwa tulipanga anitembelee nikamwambia nitakupikia chakula cha kiafrika.Na kweli mtoto wa kiume nikapitia kwa mchina nikachukua utumbo wa mbuzi na ndizi matoke.Nikaandaa utumbo kwa ufundi wangu wote, nikaweka vitunguu swaumu,tangawizi,limao,pilipili mbuzi kwa mbali,kitunguu maji,nyanya ya kopo,pilipili hoho na mazagazaga kibao ya kiafrika.Mgeni wangu alipofika nikamkaribisha na alifurahia akasema tangu azaliwe hajawahi kula chakula kitamu kama hicho na ameniomba akanitambulishe kwa wazazi wake kama mchumba mwenye sifa ya upishi.Sasa wandugu naombeni ushauri nikubali kutambulishwa au huo ndio utakuwa mwanzo wa kugeuzwa hausi boi.
Ndio kitu gani hii mkuu, Kifua kikuu ama...!?
Wasiliana na mwanachama mmoja wa JF, anaitwa Kipala...! Atakusaidia mawazo.
Mimi ni PM na ninatokea TB
Wa Makanza! Kuna watu naona umeweza wafungisha tela na hadithi za Homeboy Eric Shigongo
Ndio anaitwa Kipala!Mh....,,!! Kipala tena,,,,,???????:confused2::confused2::A S-smoking:
Mchungaji nawe sasa hutaki?Lakini hakuna shida najua anga zako ni zile zinazozungumzia tiGo tu hapo utaamini bila wasiwasi.NIKUMBUKE TU KATIKA SALA ZAKO.
What...!!?Mchungaji nawe sasa hutaki?Lakini hakuna shida najua anga zako ni zile zinazozungumzia tiGo tu hapo utaamini bila wasiwasi.NIKUMBUKE TU KATIKA SALA ZAKO.
Paka wee huishi vituko haha haha u ulimpa madhiwa moto mhh!
Hahahahahahah haya bwana nimeanza kuamini! Hebu jaribisha hiyo uone itakuwaje maeneo ya shemeji
hahahah paka mweusi mbona huishi vituko,naomba na me uje unipikie utumbo wa mbuzi na kisusioDunia haiishi vya kushangaza,mwenzenu jana nimepata mgeni mtoto wa kijerumani,na kwa kuwa tulipanga anitembelee nikamwambia nitakupikia chakula cha kiafrika.Na kweli mtoto wa kiume nikapitia kwa mchina nikachukua utumbo wa mbuzi na ndizi matoke.Nikaandaa utumbo kwa ufundi wangu wote, nikaweka vitunguu swaumu,tangawizi,limao,pilipili mbuzi kwa mbali,kitunguu maji,nyanya ya kopo,pilipili hoho na mazagazaga kibao ya kiafrika.Mgeni wangu alipofika nikamkaribisha na alifurahia akasema tangu azaliwe hajawahi kula chakula kitamu kama hicho na ameniomba akanitambulishe kwa wazazi wake kama mchumba mwenye sifa ya upishi.Sasa wandugu naombeni ushauri nikubali kutambulishwa au huo ndio utakuwa mwanzo wa kugeuzwa hausi boi.
hahahah paka mweusi mbona huishi vituko,naomba na me uje unipikie utumbo wa mbuzi na kisusio
Merry Christmass:whoo::whoo::whoo:
Nitaufikiria ushauri huu.