Mch.A.Mwasapile
Member
- Mar 9, 2011
- 33
- 5
Mwenyekiti wa kamati ya bunge hesabu za mashirika ya umma ,Mhe.Zitto Kabwe ambaye ni naibu katibu mkuu wa chama cha Demokrasia na maendeleo (chadema) na mbunge wa jimbo la Kaskazini akiwahutubia wananchi wa kata ya Mdindi ambao wengi wao ni wana CCM katika mkutano wa Hadhara uliopaswa kuhutubiwa na mbunge wa jimbo hilo Mhe.Deo Filikunjombe (CCM) ambaye ni makamu wa kamati hiyo
Kabwe akiwa na mtoto wa kada wa CCM akimuonyesha utajiri wa Ludewa katika milima ya Liganga
Wananchi wakimsikiliza Mhe.Kabwe ambaye pia alitumia nafasi hiyo kumfagili mbunge wa jimbo hilo Deo Filikunjombe
Mhe.Kabwe alisema kuwa kazi kubwa kwa sasa kwa watanzania ni kuchapa kazi na kushirikiana na wale waliochaguliwa na kuwa suala la siasa kwa sasa linapaswa kuwekwa kando na sasa ni muda wa kazi
source:Francis Godwin ni mzee wa matukio daima: KABWE WA CHADEMA AWAHUTUBIA WANA CCM AMFAGILIA MBUNGE FILIKUNJOMBE WA LUDEWA