tomjelly
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 560
- 197
HahahahahahahahaahaNo one can tell with certainty what He was doing by then but,
Kabla shughuli nyingine hazijaanza huko peponi ilikuwa ni 'kuserebuka' tu, na Shetani ndiye aliyekuwa malaika anayegawa dozi ya burudani na mshika maiki kiongozi. Kwa sasa tungeweza kusema alikuwa na umaarufu kama mzee Komba (rip) kwenye fani ya uimbishaji mpaka pale alipoharibu na kutumbuliwa jipu...