Kabadilika ghafla, sijui nifanyeje?

Mwasango

Senior Member
Aug 8, 2016
155
69
Kimsingi nimepata msichana mzuri ndani ya wiki hii yaani j3 kitambo nimekamendea toka December sasa kajileta ofisini kwangu nikamwomba namba ya SIMU nikampa SIMU yangu nikashanga Mara ya kwanza KUOMBA namba mwanamke akanipa na kuzisevu kabisa line zote.

Katoka pale tukaanza kuchati mpaka J4 ilikuwa tumeshapanga hadi kula tunda ikashindikana Jumanne, Jumatano, Alhamis, Ijumaa leo ilikuwa nikale mzigo, mpaka mchana nimemwita tumeongea fresh.

Kufika saa 10 jioni story zikanzaa ohhh subiria. Mara nipe muda kidogo mara nataka kuja kwako ok! Nikamwambia twende lodge leo ila J2 uje kwangu kushinda, kazingua sasa nimemwambia twende kwangu basi
nalo kazingua sasa. Jioni hii ananiambia anataka kuwa mke wangu in second, usiku mwema, bila explanation yoyote.

Nimfanyeje, nina hamu balaa na yeye.
 
unanyege mkuu ujala papuchi toka lini mana sio kwa mihemuko iyo.....madem nawo wajanja ttz umemkazia sana unatakiwa unapotezea kama utak vile kumbe unatak akikupa tu unawasha moto
 
hata mimi namfahamu huyo demu asee, alinizngua hivohvo mwishoni akaingia kwenye 18
 
Wanaume heshima yetu itaendelea kupungua mpaka tutakapoangalia ni wapi genes zetu zilichafuliwa na tuanze kusafisha
Ishu kama hiyo ya kuja kuanzisha uzi kweli? Umeganda kwenye keyboard unauliza maswali kama haya?

Kwamba hauwezi kufikiria au siyo?
 
huyo demu aache mambo ya hovyo hovyo kwani we ndio wa kwanza kumgegeda mpaka akupe masharti yote hayo kama kakipata mwaka mpya
Si ndogo hapo utazani kuna natoa slid.. Kumbee..
 
Hata ndani hujaona ushaanza kulia....we vipi
Sikia na haraka ila mwenyewe ndo alianzisha sms za kawaida ananiambia na mtia nyege so kumwomba ikawa Poa ila ndo hivyo kabadilika ghafla kwani hata mi si kupanga mapema hivi sema yye kanipanga hivi.. Sasa nimejianda siku nzima kisaikolojia then unanipa shit zisizo na sababu at the last point..
 
Back
Top Bottom