Hmaster
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 346
- 86
Jamaa mmoja baada ya kuhangaika sana na kabinti fulani hatimaye akakapata na kukachapa nao. Alifurahi sana baada ya kumkuta binti yule bado alikuwa bikila. Akakaa kando ya kitanda na kumsifia kwa uaminifu wake. Yule binti akajibu kwa kusema asante kisha akamwambia: ''pamoja na hiyo sifa uliyonipa lakini umeniharibia maisha yangu kwa vile mimi ni mtoto yatima ninayeishi na virusi vya ukimwi tangu kuzaliwa kwangu, je nikipata mimba itakuwaje?'' Jamaa alipiga pekupeku!