Kaaaazi kwelikweli!!

Hmaster

JF-Expert Member
Dec 27, 2010
346
86
Jamaa mmoja baada ya kuhangaika sana na kabinti fulani hatimaye akakapata na kukachapa nao. Alifurahi sana baada ya kumkuta binti yule bado alikuwa bikila. Akakaa kando ya kitanda na kumsifia kwa uaminifu wake. Yule binti akajibu kwa kusema asante kisha akamwambia: ''pamoja na hiyo sifa uliyonipa lakini umeniharibia maisha yangu kwa vile mimi ni mtoto yatima ninayeishi na virusi vya ukimwi tangu kuzaliwa kwangu, je nikipata mimba itakuwaje?'' Jamaa alipiga pekupeku!
 
Ahh! jamaa bila shaka alidata hapo hapo kwahiyo ngoma imeingia kwakwe kula si kula ila unakula nini ndio tatizo
 
mmmh ulevi nooma yaani hata ulevi wa kupenda chini ni noma mara mbili pole kijana
 
Kama mzee kaikuta b*kra poa tu, kwani kuna wa kuishi milele bana? Siku hizi mpaka vigori mseleleko tu. Hilo ndo zali la mentali.
 
sa kwann hakutumia ndomu au kwa vile kitu kilikua sealed mshtuko mwingine unaweza upata kitu kisisimame tena hadi unadanji
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom