Black Jesus
JF-Expert Member
- Mar 7, 2008
- 256
- 9
Au anategemea kuna ndege itanguka wakiwemo viongozi ndani yake ?
??!!! ???Kaa Mkao wa Kula,kiongozi wa Nchi Kutekwa akiwa angani: Utabiri.
Hivi huyu ni Sheikh kweli au namna gani?
Sheikh, also rendered as Sheik, Shaykh, Shaikh, Cheikh, and other variants (Arabic: شيخ‎, shaykh; pl. شيوخ‎ shuyūkh), is a word or honorific term in the Arabic language that literally means "elder". It is commonly used to designate an elder of a tribe, a revered wise man, or an Islamic scholar. Although the title generally refers to a male person, there existed in history also a very small number of female sheikhs.
Kama ni hivyo basi tuite kazi yake guess work badala ya prophecy. Au unaonaje mkuu? By the way mkuu kuna tofauti kati ya prophesies na forecasts. TMA forecast the whether.
Anachofanya huyu kibabu ni kinyume na mapenzi ya Mungu. Ni chukizo na dhambi kufanya utabiri au kupiga ramli au kusoma viganja. Na yeyote therefore anayefanya mambo hayo yanawezekana kwa kushirikiana na yule mwovu shetani. Hivyo yeye bondage na lucifer. Nchi yetu haiendelei kwa sababu ya watu kama hawa pamoja na mafisadi hawampendezi Mungu.