idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,314
Yap!! Hapa arusha kipo na ni maarufu kabisa(kiruo cha field force)
Mkuu majukumu yake ni yapi hicho kituo.?
Yap!! Hapa arusha kipo na ni maarufu kabisa(kiruo cha field force)
FFU wanavituo vyao rasmi.?
Bila shawa ww ni FFU maana imekuuma kweli ila na mpigwe tu maana hamtumiagi akili
Yale yale usichopenda kutendewa ,usimtendee mwenzako,maana siku ya kutendwa huijui.Poleni FFU mjifunze kutokana na makosa yenu.Inawezekama walijua ni raia wa kawaida kumbe matatizo.
Ndicho walichokpata hao
hawa wanajeshi wa kuvunja tofari za kuchoma kwa kichwa teh teh wabongo tuna vioja kwel.
Ndicho walichokpata hao
halafu jeshi liki-extend vibano usilalamikeHao ffu wapigwe tu maana wameoea kuwapiga wananchi bila kosa lolote nao lazima waonje radha ya kipondo nasema WAPIGWE TU maana tumechoka.
BACK TANGANYIKA
Safi sana Jwtz....
Hao ffu wapigwe tu maana wameoea kuwapiga wananchi bila kosa lolote nao lazima waonje radha ya kipondo nasema WAPIGWE TU maana tumechoka.
BACK TANGANYIKA