Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 2,998
unavyosikia jeshi wataingia mtaani kukagua sare zao unadhani polisi hawatuwepo,Samahani naomba kuuliza, haya ni majukumu ya jeshi au Polisi? Kadri ya maelezo yako.
kuna muda itifaki inavunjwa kulingana na mazingira jeshi anapewa sehemu kubwa ya kufanya kazi yake