We ben sa8 ni wa kuogopa kama ukoma.......! Mfitini sasa ni wewe!
Kama viongozi wa chadema wana busara, si wakushirikiana na wewe, na ni wa kutimua maramoja.
acha majungu, na ukigeugeu kama mwanamkeeeeeee!!!
na hao walio kutuma, we mwenyewe utakuja anika ufirauni wako hap.........!
Tunamuhitaji zitto, kwa ustawi wa wanakigoma, chadema na taifa kwa ujumla,
tunamuhitaji dr silaa, kwa ustawi wa wana karatu, chadema na taifa kwa ujumla
tunamuhitaji mbowe kwa ustawi wa chadema, wana hai na taifa kwa ujumla
acha ufitini
Kila chenye mwamzo kina mwisho wewe ucwe nduza mwache afunguke mchawi tumjue nchi hii inahitaji ukombozi kwakweli ztto ztto ztto watu wanakufa sababu ya ukombozi kwa bendera ya cdm hakika mungu yupo nasi cku zote we mwanakigoma babako akianza kubomoa ukuta wa nyumba mnayoish utamwacha kwa sababu ni mzazi wako? La! Hasha utamzuia! Kwakweli mungu na atusaidie