Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,712
Yani waislamu ndio wanaweza kuongoza dunia!!! kweli hiki ni kitendawili, mbona nchi zilizo na vurugu duniani ni nchi za kiislamu, au hiyo ndio maana ya kuweza kuongoza dunia, kwa kujitoa muhanga kila kukicha, somalia kila siku kupigania madaraka , huo sio ukweli, ukweli ni kwamba kama hatuthamini wengine kwa dini zao, itikadi zao, na kuwa na hiyo bias "defect in reasoning/falacy" kwamba waislamu ndio pekee wanaweza kuongoza dunia tutakuwa tunauana kama kuku... so tuheshimu kula dini, kila itikadi na kila kabila
Barubaru,hivi unaongea nini?Hivi unajua kama serikali inatoa ruzuku hiyo kwa taasisi zote za afya bila kujali ni dini gani?Hizo bil 60 sijui 91 unajua zinatolewaje na ni kwaajili ya nini?Tatizo watanzania tunapenda kusikiliza hadithi badala ya kufanya utafiti!
Nashukuru umejipambanua kwa kusema hujui. Sasa tulia nikujuze.
Napenda nikujuze kuwa kutokana na MOU ya Kanisa na Serikali ilifungwa mwaka 1992 . Kila mwaka makanisa yenu yanapata Billioni 60 (sasa hivi yanapata Billioni 91 kila mwaka. Na pesa hizo ni admin cost. Lakin vile vile hospitali hizo zinapokea madaktari na wauguzi na hata vifaa vya tiba kutoka Serikalini.
Suala la kujiuliza Je Serikali ya JMTz imeridhika kupanga katika hospitali hizo na kusahau kujenga za kwake.
Kumbuka kuwa Bilioni 91 zinaweza kujenga hospitali tano za ngazi za wilaya kama ilivyo hospital ya Amana Ilala na university moja. Je kumbuka kama Serikali ingeanza hivyo toka 1992 mpaka sasa mngekuwa na hospital ngapi na university ngapi.
Jiulize kwanini pesa hizo wapewe kanisa?
fikiri nje ya box
nimelipenda sana andiko lako, lkn fahamu tu wakisoma hili andiko hatalielewa, utasikia wakisema umetumwa. Je, unakumbuka kauli ya JK. kila siku wanalipigia kelele kanisa, hutawasikia hata siku moja wakitaja AGAHKAN, je, wajua kwanini haitaji kwa 7bu ni mwenzao...na hawataki kujishughulisha why MoU ilifanyika ktk mazingira gani. JK kawaambia wachape mzigo ili nao ikiwezekana wasaini hiyo MoU, wameishia kutapatapa kwa makelele yasio na maana. MPAKA SASA HAWANA CHUO KIKUU WALICHOJENGA KWA NGUVU ZAO HAPA TZ, HAWANA HOSPITALI YOYOTE, anayebisha ataje hapa chuo kikuu walichojenga au hospital waliyojenga zaidi ya hcs chache walizo nazo.mchango wako ni mzuri ingawa nia si lazima iwe nzuri sana.
Well, memorandum iliingiwa wakati serikali ikiwa haina njia ya haraka ya kuweza jijengea miundombinu ya hizi huduma zikiwepo shule na vituo vya afya.Nakumbuka ni kiindi ambacho rais wa bank ya dunia lisema ten akiwa nchini kama ishara kuwa anaongelea mazingira yetu.Kuwa wakati umefika ambapo kila kitu kimekuwa priority Africa yaa " kupata elimu ,unahitaji afya bora,afya bora inahitaji kuwa na chakula,elimu na hospitali bora","kupta hospital bora unahitajia hela, vifaa na mataalamu","kupata wataalamu unahitaji shule","kupata shule unahitaji hela, na ujenzi, na walimu bora" .Yote haya yaliilazimisha serikali kukata huu mzunguko usioisha.Ndio ikabidi watafunze quick fix ili taratibu waanze ktk hatamu.Na haikuwa rahisi tena kutaifisha kwani tayari walishahimiza wadau wajenge shule nyingi,hospital nyingi kwa hadi kuwa hawatazichukua tena.Wakati haya yanatokea idadi ya watu inazidi kuwa kubwa kwa haraka sana n amagonjwa mapya yanazidi kutokeza kadiri watu wanavyozidi pata kipato cha kuwawezeshesha kunywa na kula hovyo,kuwa na magari na kushindwa fanya mazoezi.magonjwa kama pressure,sukari , cancer yanahitaji gharama sana kwa taifa achilia mbali anguvu kazi inayopunguzwa.
Kwa bahati mbaya sana haya yakitokea tayari jumuia za kiislam zilikuwa zikianguka kwa kukosa umoja katk mambo ya msingi huku Bakwata ikiwa imepoteza katik vita ya kuweza washawishi waislam kuiamini na kufany anao kazi kwa pamoja.Matokeo yake waislam wakawa kama mkusanyiko wa mtu mmoja mmoja ambaye kutana na wenzio ktk Ibada na matukio mengi tuu.Waislam wengi wamefanikiwa kiuchumi kama mtu binafsi na hawakuwafanya uwekezaji binafsi katk hizo nyanja.Wengi wamewekaza katk mafuta, usafirishaji, vyakula, nguo ,madini etc.Taasisi kama Aga Khani, Ithnasheri , etc wamejiwekeza katik afya na elimu na hivyo kupata faida sana kwenye hilo.Shule nyingi za kiislam baada ya kukosa uongozi makini chini ya Bakwata wamefikia kuwa na shule, hata vituo vingine ambavyo vimekuwa na viongozi wanaozitumi akama mali yao binafsi.na Bakwata hawajapata ubavu wa kukohoa kwani hawana kujiamini kwani hawakubaliki.
Kuhusu kuhama toka katik pango hadi kuwa mwenye pango ni kazi inayohitaji umakini n amipango bora.Bahatai mbaya sana CCM hawakuweza hilo na Hata leo ukimuuliza JK hana jibu na hatokuwa na jibu kwani muda wake sasa umeshaanza ingi akatk kipindi cha lala salama.Kile kihoro ch akuondoka ikulu ndicho kitaanza mpelekesha,kwani atakuwa akijianda kuondoka, akiandaa chama chake kuingiza mtu mwingine,akijiaandalia ulinzi wa mamabo anayoona yatakauja mkuta akiingia rais mwingine.
Na itakuwa ngumu sana,kwani kama hawatengi hela,hawataweza zizuia hizo hela ili wajenge shule huku watu wanaumwa,watu wazidu umwa, watu wanakufa.Hapa wanahitajia ongeza hela, ili watakazolipa kwa Kanisa na taasis kama Aga khan, etc zitakozobaki ziongeze hospital na shule.Ingawa itachukua miaka bado kazi ipo.Shule za kata zinaweza rekebishwa,Ila zahanati na hospital za kata ni ngumu.
Pia mjue Catholics ni staborn.bado watajenga shule bora sana na wataweka bei ya juu na ubra wa juu bado watu watazisoma, na wataozisoma watakuja shikilia nafasi nzuri kila kitengo.Hiii hata kwa taifa kama U.S.A catholic wana shule ghali sana.Ingawa wengine wana shule nzuri ila za catholics zinajipambunua.Kwa leo hapa kwetu wana seminary zao.Tunaziona.
Ni kipindi cha waislam makini wajipambanue, waamu pitisha harambee kwa waislam wenye hela kam akina Baghresa,Dewji , Karamag etc wachangishe fedha zijengwe shule na hospital.Ila kabla wajenge taasisi zinazoaminika katika umma ili zianze kwa amani.Ithnasheri wameweza,kwanini wengine washindwe?
ok kaka ninachoweza kukushauri wewe na wa Tanzania kwa ujumla ni kua tujadili namna bora ya kuwafanya waislamu na wakristo kuishi pamoja kwa maelewano kwa sababu kilichopelekea hayo mlojadili kinaeleweka tangu enzi za Uhuru nyie mlilelewa mkaandaliwa mazingira sasa tukijazana kejeli na dharau tujenga kizazi cha kuigawana Tanzania ili tajiri unufaike na utajiri wako lazima ujue vya kuishi na maskini hamuoni jinsi baadhi ya mataifa makubwa pamoja na utajiri wao lakini bado Raia wao wanaishi kwa hofu kubwa saaana ?nimelipenda sana andiko lako, lkn fahamu tu wakisoma hili andiko hatalielewa, utasikia wakisema umetumwa. Je, unakumbuka kauli ya JK. kila siku wanalipigia kelele kanisa, hutawasikia hata siku moja wakitaja AGAHKAN, je, wajua kwanini haitaji kwa 7bu ni mwenzao...na hawataki kujishughulisha why MoU ilifanyika ktk mazingira gani. JK kawaambia wachape mzigo ili nao ikiwezekana wasaini hiyo MoU, wameishia kutapatapa kwa makelele yasio na maana. MPAKA SASA HAWANA CHUO KIKUU WALICHOJENGA KWA NGUVU ZAO HAPA TZ, HAWANA HOSPITALI YOYOTE, anayebisha ataje hapa chuo kikuu walichojenga au hospital waliyojenga zaidi ya hcs chache walizo nazo.
JIULIZE KWANINI WAISLAM WENGI WALIMCHUKIA DR.OMARY JUMA (marehemu sasa)
WEWE kaka yangu sikiliza maana mojawapo ya uislamu ni kusalimu amri hii ina maana kua maisha yetu yooote tumeyasalimu kwa mungu wetu ina maana tangu kuzaliwa mpaka kufa kwetu lazima tuishi kama mungu anavyotaka ikiwemo kuhukumu namna mungu alivyo agiza hizo sharia za kanisa ulizo seama (canon law) si sheria za mungu ni za mwanadamu ndo maana kila baada ya muda wnakaa kuzifanyia mabadiliko. biblia(YA KWELI) haina sheria.Hizo ni sheria zilizozingatia malengo ya kuanzisha ROMAN EMPIRE ndo maana muingereza aliposhtuka kua utawala wa malkia wake utapotea nae akajitoa akaanzisha EMPIRE yake na akaitwa mpingaji (PROTESTANT) NAE AKATUNGA sheria zake si ushangae Yesu muisrael kule ukristo kidoooogo sawa na hakuna Ulaya ndo wakampokea wapi na wapi so nyinyi mpo tayari kwa baadhi ya mda kufuata na mda mwingine kutofuata sheria zenu ndo maana baadhi ya viongoziwenu Roman imewatungia sheria wasioe (HAIMO KWENYE BIBLIA) kwa vile sio sheria ya mungu anaejua wanadamu wake vizuuuri kwa sheria awatungiazo wanazini mitaani tunawajua wana watoto halafu wanarudi kuwatolea dhambi wengine wenye dhambi kama waaaooo mfano mwingine waislaamu mda woote hata kama pombe ni faida kwa uchumi wa nchi tunatangaza mda woote mlevi ni hafai na ni haram lakini upande wa pili kwa vile inawapa faida mmeihalalisha mpaka kwenye nyumba za ibada au hamko tayari kuikemea waziwazi kwahiyo sisi waislamu sio kama ninyi ambao mnao uhuru wa kufuata kadri mjisikiavyo au kubadirisha mtakavyo iliziendane na matakwa yenuKwa mara nyingine tena hoja ya Bunge kupitisha sheria ya kurudisha ofisi ya Kadhi Mkuu linajitokeza tena huku waislamu wakitaka Bunge litunge sheria ya kutambua uwepo wake na wakristu wakipiga kelele kuwa kufanya hivyo ni kuvunja Katiba. Hoja yangu leo ni kuwa, Waislamu hawahitaji kibali cha serikali kuanzisha ofisi ya Kadhi Mkuu kushughulikia mambo yao yanayoendana na sheria za Kiislamu.
Waislamu wakae wao wenyewe wapitishe uwepo wa ofisi hiyo na kuendelea na shughuli zao. Ilimradi tu, maamuzi ya ofisi yao hiyo hayaingilii uhuru wa Mtanzania mwingine au utendaji kazi wa sheria zetu za makosa ya uhalifu na jinai. Pia waelewe ya kwamba uwepo wa ofisi ya Kadhi Mkuu ni subject ya Katiba ya Muungano na Mtanzania yeyote kimbilio lake la mwisho ni mahakama ya Kiraia. Zaidi ya yote, watakapoanzisha ofisi hiyo, wajue kuwa isiwalazimishe waislamu wote kutatua matatizo yao kupitia ofisi hiyo isipokuwa wale ambao kwa hiari yao wanataka kufanya hivyo.
Kanisa Katoliki kwa mfano linayo mahakama yake na sheria zinazoliongoza kanisa hilo (Canon Law) na mahakama yake hiyo ina ngazi za rufaa hadi Vaticano. Hata hivyo Mkatoliki ana haki ya kutumia sheria hizo kuhusu masuala mbalimbali ya kanisa lake, lakini anapofanya kosa la jinai, sheria za kiraia (civil law) zinakuwa na mamlaka. Hivyo basi, waislamu wasisubiri Bunge kupitisha ofisi ya Kadhi Mkuu bali waianzishe wao wenyewe huku wakiweka bayana kabisa kuwa ofisi hiyo haitahusika na makosa ya jinai au kupingana na Katiba ya nchi. Then, hakutakuwa na haja ya kugongana!!!
WEWE kaka yangu sikiliza maana mojawapo ya uislamu ni kusalimu amri hii ina maana kua maisha yetu yooote tumeyasalimu kwa mungu wetu ina maana tangu kuzaliwa mpaka kufa kwetu lazima tuishi kama mungu anavyotaka ikiwemo kuhukumu namna mungu alivyo agiza hizo sharia za kanisa ulizo seama (canon law) si sheria za mungu ni za mwanadamu ndo maana kila baada ya muda wnakaa kuzifanyia mabadiliko. biblia(YA KWELI) haina sheria.Hizo ni sheria zilizozingatia malengo ya kuanzisha ROMAN EMPIRE ndo maana muingereza aliposhtuka kua utawala wa malkia wake utapotea nae akajitoa akaanzisha EMPIRE yake na akaitwa mpingaji (PROTESTANT) NAE AKATUNGA sheria zake si ushangae Yesu muisrael kule ukristo kidoooogo sawa na hakuna Ulaya ndo wakampokea wapi na wapi so nyinyi mpo tayari kwa baadhi ya mda kufuata na mda mwingine kutofuata sheria zenu ndo maana baadhi ya viongoziwenu Roman imewatungia sheria wasioe (HAIMO KWENYE BIBLIA) kwa vile sio sheria ya mungu anaejua wanadamu wake vizuuuri kwa sheria awatungiazo wanazini mitaani tunawajua wana watoto halafu wanarudi kuwatolea dhambi wengine wenye dhambi kama waaaooo mfano mwingine waislaamu mda woote hata kama pombe ni faida kwa uchumi wa nchi tunatangaza mda woote mlevi ni hafai na ni haram lakini upande wa pili kwa vile inawapa faida mmeihalalisha mpaka kwenye nyumba za ibada au hamko tayari kuikemea waziwazi kwahiyo sisi waislamu sio kama ninyi ambao mnao uhuru wa kufuata kadri mjisikiavyo au kubadirisha mtakavyo iliziendane na matakwa yenu
WEWE kaka yangu sikiliza maana mojawapo ya uislamu ni kusalimu amri hii ina maana kua maisha yetu yooote tumeyasalimu kwa mungu wetu ina maana tangu kuzaliwa mpaka kufa kwetu lazima tuishi kama mungu anavyotaka ikiwemo kuhukumu namna mungu alivyo agiza hizo sharia za kanisa ulizo seama (canon law) si sheria za mungu ni za mwanadamu ndo maana kila baada ya muda wnakaa kuzifanyia mabadiliko. biblia(YA KWELI) haina sheria.Hizo ni sheria zilizozingatia malengo ya kuanzisha ROMAN EMPIRE ndo maana muingereza aliposhtuka kua utawala wa malkia wake utapotea nae akajitoa akaanzisha EMPIRE yake na akaitwa mpingaji (PROTESTANT) NAE AKATUNGA sheria zake si ushangae Yesu muisrael kule ukristo kidoooogo sawa na hakuna Ulaya ndo wakampokea wapi na wapi so nyinyi mpo tayari kwa baadhi ya mda kufuata na mda mwingine kutofuata sheria zenu ndo maana baadhi ya viongoziwenu Roman imewatungia sheria wasioe (HAIMO KWENYE BIBLIA) kwa vile sio sheria ya mungu anaejua wanadamu wake vizuuuri kwa sheria awatungiazo wanazini mitaani tunawajua wana watoto halafu wanarudi kuwatolea dhambi wengine wenye dhambi kama waaaooo mfano mwingine waislaamu mda woote hata kama pombe ni faida kwa uchumi wa nchi tunatangaza mda woote mlevi ni hafai na ni haram lakini upande wa pili kwa vile inawapa faida mmeihalalisha mpaka kwenye nyumba za ibada au hamko tayari kuikemea waziwazi kwahiyo sisi waislamu sio kama ninyi ambao mnao uhuru wa kufuata kadri mjisikiavyo au kubadirisha mtakavyo iliziendane na matakwa yenu
ok kaka ninachoweza kukushauri wewe na wa Tanzania kwa ujumla ni kua tujadili namna bora ya kuwafanya waislamu na wakristo kuishi pamoja kwa maelewano kwa sababu kilichopelekea hayo mlojadili kinaeleweka tangu enzi za Uhuru nyie mlilelewa mkaandaliwa mazingira sasa tukijazana kejeli na dharau tujenga kizazi cha kuigawana Tanzania ili tajiri unufaike na utajiri wako lazima ujue vya kuishi na maskini hamuoni jinsi baadhi ya mataifa makubwa pamoja na utajiri wao lakini bado Raia wao wanaishi kwa hofu kubwa saaana ?
Jiulize kwanini pesa hizo wapewe kanisa?
fikiri nje ya box
Wakati huu wote ambapo fedha za kununulia dawa zinatumika kujenga majengo, wagonjwa wangekuwa wanatibiwa wapi?Je kumbuka kama Serikali ingeanza hivyo toka 1992 mpaka sasa mngekuwa na hospital ngapi na university ngapi.
mchango wako ni mzuri ingawa nia si lazima iwe nzuri sana.
Well, memorandum iliingiwa wakati serikali ikiwa haina njia ya haraka ya kuweza jijengea miundombinu ya hizi huduma zikiwepo shule na vituo vya afya.Nakumbuka ni kiindi ambacho rais wa bank ya dunia lisema ten akiwa nchini kama ishara kuwa anaongelea mazingira yetu.Kuwa wakati umefika ambapo kila kitu kimekuwa priority Africa yaa " kupata elimu ,unahitaji afya bora,afya bora inahitaji kuwa na chakula,elimu na hospitali bora","kupta hospital bora unahitajia hela, vifaa na mataalamu","kupata wataalamu unahitaji shule","kupata shule unahitaji hela, na ujenzi, na walimu bora" .Yote haya yaliilazimisha serikali kukata huu mzunguko usioisha.Ndio ikabidi watafunze quick fix ili taratibu waanze ktk hatamu.Na haikuwa rahisi tena kutaifisha kwani tayari walishahimiza wadau wajenge shule nyingi,hospital nyingi kwa hadi kuwa hawatazichukua tena.Wakati haya yanatokea idadi ya watu inazidi kuwa kubwa kwa haraka sana n amagonjwa mapya yanazidi kutokeza kadiri watu wanavyozidi pata kipato cha kuwawezeshesha kunywa na kula hovyo,kuwa na magari na kushindwa fanya mazoezi.magonjwa kama pressure,sukari , cancer yanahitaji gharama sana kwa taifa achilia mbali anguvu kazi inayopunguzwa.
Kwa bahati mbaya sana haya yakitokea tayari jumuia za kiislam zilikuwa zikianguka kwa kukosa umoja katk mambo ya msingi huku Bakwata ikiwa imepoteza katik vita ya kuweza washawishi waislam kuiamini na kufany anao kazi kwa pamoja.Matokeo yake waislam wakawa kama mkusanyiko wa mtu mmoja mmoja ambaye kutana na wenzio ktk Ibada na matukio mengi tuu.Waislam wengi wamefanikiwa kiuchumi kama mtu binafsi na hawakuwafanya uwekezaji binafsi katk hizo nyanja.Wengi wamewekaza katk mafuta, usafirishaji, vyakula, nguo ,madini etc.Taasisi kama Aga Khani, Ithnasheri , etc wamejiwekeza katik afya na elimu na hivyo kupata faida sana kwenye hilo.Shule nyingi za kiislam baada ya kukosa uongozi makini chini ya Bakwata wamefikia kuwa na shule, hata vituo vingine ambavyo vimekuwa na viongozi wanaozitumi akama mali yao binafsi.na Bakwata hawajapata ubavu wa kukohoa kwani hawana kujiamini kwani hawakubaliki.
Kuhusu kuhama toka katik pango hadi kuwa mwenye pango ni kazi inayohitaji umakini n amipango bora.Bahatai mbaya sana CCM hawakuweza hilo na Hata leo ukimuuliza JK hana jibu na hatokuwa na jibu kwani muda wake sasa umeshaanza ingi akatk kipindi cha lala salama.Kile kihoro ch akuondoka ikulu ndicho kitaanza mpelekesha,kwani atakuwa akijianda kuondoka, akiandaa chama chake kuingiza mtu mwingine,akijiaandalia ulinzi wa mamabo anayoona yatakauja mkuta akiingia rais mwingine.
Na itakuwa ngumu sana,kwani kama hawatengi hela,hawataweza zizuia hizo hela ili wajenge shule huku watu wanaumwa,watu wazidu umwa, watu wanakufa.Hapa wanahitajia ongeza hela, ili watakazolipa kwa Kanisa na taasis kama Aga khan, etc zitakozobaki ziongeze hospital na shule.Ingawa itachukua miaka bado kazi ipo.Shule za kata zinaweza rekebishwa,Ila zahanati na hospital za kata ni ngumu.
Pia mjue Catholics ni staborn.bado watajenga shule bora sana na wataweka bei ya juu na ubra wa juu bado watu watazisoma, na wataozisoma watakuja shikilia nafasi nzuri kila kitengo.Hiii hata kwa taifa kama U.S.A catholic wana shule ghali sana.Ingawa wengine wana shule nzuri ila za catholics zinajipambunua.Kwa leo hapa kwetu wana seminary zao.Tunaziona.
Ni kipindi cha waislam makini wajipambanue, waamu pitisha harambee kwa waislam wenye hela kam akina Baghresa,Dewji , Karamag etc wachangishe fedha zijengwe shule na hospital.Ila kabla wajenge taasisi zinazoaminika katika umma ili zianze kwa amani.Ithnasheri wameweza,kwanini wengine washindwe?
ok kaka ninachoweza kukushauri wewe na wa Tanzania kwa ujumla ni kua tujadili namna bora ya kuwafanya waislamu na wakristo kuishi pamoja kwa maelewano kwa sababu kilichopelekea hayo mlojadili kinaeleweka tangu enzi za Uhuru nyie mlilelewa mkaandaliwa mazingira sasa tukijazana kejeli na dharau tujenga kizazi cha kuigawana Tanzania ili tajiri unufaike na utajiri wako lazima ujue vya kuishi na maskini hamuoni jinsi baadhi ya mataifa makubwa pamoja na utajiri wao lakini bado Raia wao wanaishi kwa hofu kubwa saaana ?
Ahsantum kwa jibu lako japo umelijibu kwa ushabiki sio tu wa iimani lakin pia wa kisiasa.
Kumbuka suala hili miminalitazama kiuchumi zaidi. Chukulia hata kwa waTz wengi hivi sasa wameondokana na ile hadha ya kupanga/kukodi nyumba na kutaka kujenga zao. sasa vipi isiwe kwa Serikali.
Nimebainisha wazi kuwa pesa hizo wanazolipwa kanisa kwa mwaka wangeweza kujenga hospital zaidi ya tatu na university moja. kama wangefuata na kulitazamasuala hilikiuchumi nafikiri kusingekuwa na shida ya hospital na university huko tanzania.
Kwani kikubwa katika hospital ni kuwa na waganga na vifaa vya hospital ambavyo Serikali ya JMTz inavyo ukilinganisha na kanisa. Kinachokosekana namajengo,
Acheni ushabiki katika uchumi kuweni serious kujenga uchumi wenu kwa haki. STOP THAT BUSNESS WITH hayomakanisa na jengeni vyenu sasa kama taifa.
Okay pamoja na kwamba una point ila unakosa nia njema wala kuwa na misingi ya fikra ambayo ina base ktk "universal values" and this is a problem Arabs face.wana mitazamo iliyojaa Arabism, religious view and framework, hate and negative competition.Kwa hiyo wanajikuta wakitazama wengine kujiona wao huku wakidhani wengine wapo hivyo.
Ndugu yangu hadi kufikia hapa nimepitia vitu vingi sana ktk imani ,katk mitizamo na nimeona hasara ya kutokuw ana well established rules ambazo zitamfanya mtu kitu akiaminicho basi kiwe hivyo.Ni vigumu sana wewe kuthibitisha kuwa mimi nimeongea kitu kisiasa au kishabiki na nashabikia nini.
Kwa taarifa yako si kila mara kukodisha ni hasara.Kama uliwahi fanya kazi ktk cmpuny ya usafirishaji yenye magari mengi hata kati ya 100-200,utaona shida wanzopata kurun workshop pamoja na maintenance ya hayo magari bila kumeza faida inayotokana na core business ambayo ni transportation na si maintenance.wengine huweza adopt na kuwa na vyote kama seperate companies, na wanaondwa hupata hasara sana workshopo ikiwa imechanganywa na dore business.Hilo ni somo na si pahala pake hapa.Kwa ujumlasioni huo uchumi kam ahujaweza sema nini kimewekwa vizuri kiasi cha kufanya serikali iwe na hiyo jeuri?
Kumbuka kuendesha hospital kwa kupanga hakuna tofauti na mpangaji anayetumia 96% yamtaji kutengeneza faida, na wewe kumuambia akajenge jengo jipya la biashara ni kichkesho.Umewahi jiuliza itakuweje kama kama unafanya biashara kwa mtaji wa mil 30, halafu ukajenga nyumba inayopaswa ifikie 25mil hadi kufaa itwa nyumba ya kufanyia business unachobaki nacho kinaweza kuwa nauli ya mali na si kununua mali?serikalikutumia hiyo hela ya kulipa kanisa inamaanisha raia watakaokufa kwa kukosa huduma ni janga.Serikali inatakiwa itafute hela pembeni na kujenga hizo hospitals huku ikiendelea na pango kwa kanisa.Si rahisi kama uanvyotaka fikira ndugu yangu ,kwa fikra zo biased.Wapo wahindi mabillionea bado wamepanga National house.n awnegi wana obvious and reasons.Kujenga ni gharama kupindukia nareturns zake ni miaka kuanzia 30,miaka 30 kwa hospitala ni watu wangapi watakuwa wamekosa hayo,pia usisahau maintenance cost.Serikali sio nzuri kuangalia fedha zifujwazo katk maintenance.
Mheshimiwa umeingia katika anga ambazo si zako.WEWE kaka yangu sikiliza maana mojawapo ya uislamu ni kusalimu amri hii ina maana kua maisha yetu yooote tumeyasalimu kwa mungu wetu ina maana tangu kuzaliwa mpaka kufa kwetu lazima tuishi kama mungu anavyotaka ikiwemo kuhukumu namna mungu alivyo agiza hizo sharia za kanisa ulizo seama (canon law) si sheria za mungu ni za mwanadamu ndo maana kila baada ya muda wnakaa kuzifanyia mabadiliko. biblia(YA KWELI) haina sheria.Hizo ni sheria zilizozingatia malengo ya kuanzisha ROMAN EMPIRE ndo maana muingereza aliposhtuka kua utawala wa malkia wake utapotea nae akajitoa akaanzisha EMPIRE yake na akaitwa mpingaji (PROTESTANT) NAE AKATUNGA sheria zake si ushangae Yesu muisrael kule ukristo kidoooogo sawa na hakuna Ulaya ndo wakampokea wapi na wapi so nyinyi mpo tayari kwa baadhi ya mda kufuata na mda mwingine kutofuata sheria zenu ndo maana baadhi ya viongoziwenu Roman imewatungia sheria wasioe (HAIMO KWENYE BIBLIA) kwa vile sio sheria ya mungu anaejua wanadamu wake vizuuuri kwa sheria awatungiazo wanazini mitaani tunawajua wana watoto halafu wanarudi kuwatolea dhambi wengine wenye dhambi kama waaaooo mfano mwingine waislaamu mda woote hata kama pombe ni faida kwa uchumi wa nchi tunatangaza mda woote mlevi ni hafai na ni haram lakini upande wa pili kwa vile inawapa faida mmeihalalisha mpaka kwenye nyumba za ibada au hamko tayari kuikemea waziwazi kwahiyo sisi waislamu sio kama ninyi ambao mnao uhuru wa kufuata kadri mjisikiavyo au kubadirisha mtakavyo iliziendane na matakwa yenu