Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Devil advocate :tatizo la uzinzi na ulawiti si la katoliki tuu.Uliza Zanzibar, madrasat watoto kinawakuta nini(wakiwa wanaitafuta ilimu ahera), mpaka serikali imeamua shughulikia sheria ya haki za watoto, kaulize ni kwanini.Waulize wafilipino na wapakistani nini kinawakuta wakienda saudi arabia kk vibarua vya msimu majumbani au kusoma ilimu ahera.Wanageuzwa na hayao hayasemwi ktk jamii za kiislam hasa linapohusu watu wenye nguvu kidini.Uliza magerezani dunia nzima, mashuleni etc wanyonge wanafanyiwa nini? Biandamu asipowajibika ,na pia si kweli kwamba kanisa kunyima watu singizia condom km kigezo cha ngono zembe ndio kuchangia maambukizi.Watu wengi hawapendi condom. Kuanzia wanawake hadi wanaume. Watajisingizia baada ya kuzoeanza, wengine nanihii ni za kushtua, sasa ikitoke imesimama kupoteza muda na condom kunaweza ilaza tena, wengine wakianzisha stim, wanaoan tendo la kuanza fungua na kuvaa ni kuweka usiku.Wengine hawavai kabisa by nature, na mkiahimiza wanaichukua ila huko ndani haendi vaa na akivaa somewhere anachomoa.Sasa huyu kuna haja gani ya kumwambia avae? si bora kumambia ajitume kuacha uzinzi.Si kila mpiga debe wa kizungu ana cha maana.Wenyewe wanachukua magonjwa kibao na kuambukiza kila mtu.Mademu wa kizungu kibao wanaishia uliza maswali kidogo ya kuwapa imani kuwa mtu hajawahi pata maambukizi then wanajiaminisha na kuanza onja shughuli za mbantu..Kwa mnaojua wabantu kwa sababu mbalimbali uongo unaweza usiwe issue...linapokuja suala la ngono na mzungu au demu yoyote.Kwanza mademu wa kwetu wanapenda danganywa na wanaume wa kwetu ni waongo mpaka mwisho.