Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

CCM inawatumia Waislam vibaya,inawaahidi kwa kuwadanganya then inawatosa...
 
Mkuu na mimi naona nina kila sababu ya kulijadili hili sakata mahakama ya kadhi na OIC kwa kusema ukweli bila unafiki ni kwamba kwa mwenye akili na anyeitakia mema nchi hii ya TZ na ambaye ni mtafiti na mfuatiliaji wa mambo hawezi kuamini kuwa tz haina dini kama wengi wetu wanavyoamini na kuhubiri kwa manufaa ya kuhalalisha hali halisi iliyopo kwa manufaa yao.Ukweli ni kwamba waislamu nchi hii ni wengi sana na wanaendelea kuwa wengi na wataendelea kuwa wengi kwa sababu kwanza wao katika imani yao hawatumii uzazi wa mpango kama huu unaotumika wa vidonge na n.k.

nafikiri utafiti wako uko wrong sana, hivi wewe umefanya utafiti na kugundua kuwa Tanzania waislamu ni wengi kuliko Wakristo? are you sure na unachokiandika? you are wrong man, unaweza kuniambia Tanzania hii ni sehemu ipi yenye watu wengi na hao watu ni dini gani?, usituletee research zako za uongo hapa kwenye jamvi hili, waislamu ni sehemu ndogo ya WATANZANIA NA tANZANIA KWA UJUMLA
 
Tanzania is secular country and will remain that way, hata kama mnadanganywa na hao tusiowajua man hapo imegonga mwamba, hamtaweza kubadilisha hilo, hata kama kuna sijui MOU kati mahdehebu ya kikrissto na serikali the truth will remain there, hao wenyewe waislamu wenu wamesoma shule za kikristo na ndo maana wako hapo walipo, wangebinywa sasa hii labda kungekuwa na wasomi wawili waislamu, so thank God wakristo hawabagui, ingemkuwa nyie pasingeeleka hata kidogo, hiyo mahakama haitaundwa labda mtume afufuke, period!
 
sielewi kwa nini waisalm wanapenda ku make a meal out of even minor things, si waanzishe tu kama wakristo mbona wanazakwao na hawazitangazi wala kutaka serikali iitambue! nadhan shida hapa wanataka shuhuli za uendeshaji zifanyike kwa cost ya serikali!
 
dini ya kiislam sio sawa na yenu
.
YENU MAANA YAKE NINI? Kweli wewe huna hoja kabisa. Si ajabu hata maana ya uislam hujui, umedandia tu kwa sababu ya kuazaliwa kwenye familia ya Kiislam.....Soma ujue kabla hujawa kuwadi wa kitu usichokijua....
 
mwanakijiji. mbona husemi kuhusu ubalozi wa vatican, hutoi hoja kuhusu ubalozi huo?

Ubalozi wa Vatican unahusiana nini na sheria na katiba ya Tanzania? Uwepo wa ubalozi wa Vatican Tanzania au uwepo wa ubalozi Saudi Arabia unaathiri vipi sheria na katiba ya Tanzania? Kama waislamu wanataka kuanzisha mahakama ya kadhi kutokana na hasira ya Tanzania kuwa na uhusiano na Vatican waseme wazi Tanzania ivunje uhusiano na Vatican. Uhusiano kati ya Tanzania na Vatican has nothing to do with our laws and customary rules. Kuna nchi nyingi pia ambazo ni "Kafir" kama wakitaka tuvunje uhusiano nazo waseme tu.
 
Tanzania is secular country and will remain that way, hata kama mnadanganywa na hao tusiowajua man hapo imegonga mwamba, hamtaweza kubadilisha hilo, hata kama kuna sijui MOU kati mahdehebu ya kikrissto na serikali the truth will remain there, hao wenyewe waislamu wenu wamesoma shule za kikristo na ndo maana wako hapo walipo, wangebinywa sasa hii labda kungekuwa na wasomi wawili waislamu, so thank God wakristo hawabagui, ingemkuwa nyie pasingeeleka hata kidogo, hiyo mahakama haitaundwa labda mtume afufuke, period!

Mkuu kweli inasikitisha sana, i wonder where these comes from. Siku zote tumekuwa watanzania lakini sasa tunaanza kuwa waislamu na wakristo. Even worse kuna watu ambao ni wajinga wanuchafua uislamu, wanatumia weaknesses zilizopo kwenye usilamu kupitisha ajenda zao ovu. I can not believe that kuna mkristo mpumbavu anayweza kuwa na MOU na serikali yenye lengo la kufanya hali ya watanzania iwe duni. The so called MOU it is a stupid document ambayo viongozi wengi wa madehebu ya wakristo (ambao wamesoma) wasigeweza hata kuisaini. Inaonekana kama iliandaliwa na mhuni mmoja kwa lengo la kuleta mgawanyo Tanzania, and it seem that anafanikiwa slowly.

Hata kama mahakama ya kadhi ikija leo, sina hakina kama itafanya wasiamu wawe better. I would suggest that waanzishe shule zaidi, hospitali zaidi na kupigania hayo. mahakama ya kadhi is of no use to waislamu na watanzania wote kwa ujumla. Huyu mtu aliyelta hii kitu anawapotosha waislamu watanzania, ana wadunisha na sio kuwandeleza, ujanja ni kupigania kuanzisha shule.
 
uislaam unataka tufuate sheria za Mungu,tuhukumu kwa sheria za Mungu na tuishi kutokana na mafundisho ya kitabu cha mungu.

katiba ya waislaam ipo wazi. lkn kwa upande wa dini nyengine wao sheria wanazopanga watu ndio zao, hakuna matatizo kwao kutunga sheria za kuzifuata

kuna jamaa mmoja Uganda anaitwa Joseph Kony, naye anasema anataka tufuate sheria za mungu kuhukumu na kuishi. Vitendo anavijua mwenyewe.
 
kila mtu anaaminini kwamba kile anachoamini ni kweli, hivyo kila mtu yuko sawa kuamini anachoamini lakini si sawa kumlazimisha mtu kuamini asichoamini UUNGWANA ni KUMSHAWISHI AMINI INACHOAMINI.
Uhuru ni pamoja na uhuru wa imani bila kuvunja sheria na ndio maana akitokea mtu ambaye yeye imani yake ni kuua watu anafungwa.
Yatupasa kuwa makini sana tunapochangia hoja kuhusu dini zisizotuhusu ili kuepuka kujengeana chuki bila sababu.Tukijua kuwa kila mtu anachokiamini yuko sawa bila kuvunja sheria,tutaheshimu IMANI za wengine.


.




UHURU
 
ubalozi wa saudia ni nchi kamili, verican sio nchi, ni sehemu ya kanisa katoliki
hakuna kitu kibaya kama kudandia gari kwa mbele, tumekwisha sasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hivi malaria sugu kumbe mpaka leo hii hujui kuwa vatican ni nchi. Na kuhusu mahakama waislamu hawazuiliwi kuianzisha na kuiendesha mbona wakristo wanafanya hivyo na hawaombi msaada serikalini jamani au wenzetu wanataka waajiriwe na serikali?
 
Muanzishaji wa hoja hii simfagilii.Ila naomba nichangie ifuatavyo;
1.Waisilamu wanapotaka kuanzisha mahakama yao kwa nini wanataka kufanya comparison na Vatican?are they the same?Najua ili kulinganisha vitu lazima vifanane i.e kg kwa kg,meter kwa meter.Hivyo comparison wanayoiongelea sio sahihi.
2.Ingekuwa ni kukazania kujenga shule na hospitali ningewaelewa.Kitu mnachoongelea ni mahakama ya kukata watu mikono na miguu kwa kumsingizia kuwa ni Mungu.Huo ni uonevu na ukiukwaji wa haki za binadamu.Kama ni jambo la Mungu mwanadamu ni nani hata ashindane na Mungu?Basi huyo Mungu amezidiwa akili na makafiri.Hivyo basi makafiri ndiyo Mungu.
 
ubalozi wa saudia ni nchi kamili, verican sio nchi, ni sehemu ya kanisa katoliki

Unachanganya mambo mpaka unaharibu. Issue ya ubalozi wa VATICAN bado ni hoja nyepesi kwenye hii topic ya Mahakama ya Kadhi kwa kuwa haimgusi moja kwa moja mtanzania na maisha yake binafsi.
 
watanzania hawajui rasilimali zao ukristo na uislamu ni rasilimali ..museveni alikuta Idd Amin ameingiza Uganda yenye waislamu asilimia 10 kule OIC baada ya kupima pro and cons uganda imo OIC! nyie washamba uganda si kuna mashahidi wa kiroho wa kikristo mbona wako OIC? kule Ufilipino asilimia kubwa ni wakristo lakini serikali yao kwa vile inajua kuna manufaa OIC kwa kuwatumia waislamu kule Zambowanga imeomba kujiunga OIC sasa NGO ya Waislamu ambayo ina hadhi ya Ushiriki wanasema hawataki Serikali ya Ufilipino ikubaliwe kushiriki kwa vile itawanufaisha wakristo wengi badala ya wao kule Zambowanga, Msumbiji wako OIC na kule Waislamu ni kidogo! nafikiri wakristo watanzania ni wabandia na kama kuna mkristo wa kweli ni Hayati Baba wa taifa Mwalimu Nyerere! kuna wengine watarukia yeey alipinga OIC , hakupinga alipinga uasi wa Zenji kutaka kuingia kienyeji basi....! mambo ya Kadhi na OIC ni ya aina yake kuna hitajika weledi, elimu , busara na maarifa kuchangia ...sio kuorpoka mtu kama kanywa maji ya ******! kwa vile tu uko mtandaoni hatuwezi kukukamata tukakuteremshia mvua ya 'henzirani'...!
 
watanzania hawajui rasilimali zao ukristo na uislamu ni rasilimali ..museveni alikuta idd amin ameingiza uganda yenye waislamu asilimia 10 kule oic baada ya kupima pro and cons uganda imo oic! Nyie washamba uganda si kuna mashahidi wa kiroho wa kikristo mbona wako oic? Kule ufilipino asilimia kubwa ni wakristo lakini serikali yao kwa vile inajua kuna manufaa oic kwa kuwatumia waislamu kule zambowanga imeomba kujiunga oic sasa ngo ya waislamu ambayo ina hadhi ya ushiriki wanasema hawataki serikali ya ufilipino ikubaliwe kushiriki kwa vile itawanufaisha wakristo wengi badala ya wao kule zambowanga, msumbiji wako oic na kule waislamu ni kidogo! Nafikiri wakristo watanzania ni wabandia na kama kuna mkristo wa kweli ni hayati baba wa taifa mwalimu nyerere! Kuna wengine watarukia yeey alipinga oic , hakupinga alipinga uasi wa zenji kutaka kuingia kienyeji basi....! Mambo ya kadhi na oic ni ya aina yake kuna hitajika weledi, elimu , busara na maarifa kuchangia ...sio kuorpoka mtu kama kanywa maji ya ******! Kwa vile tu uko mtandaoni hatuwezi kukukamata tukakuteremshia mvua ya 'henzirani'...!

tuko bize tunafuatilia matokeo ya uchaguzi jinsi ccm ilivyobwagwa. Dont distruct us now.!!!!!
 
Tusikubali kugawanywa km mafungu ya nyanya..suala la udini Nyerere alishaliweka kando toka enzi za ujinga..kwanini tuliibue tena wakati huu watu tunajisifu tuna akili timamu? Heko Watanzania..ifikie mahali kwa pamoja tuseme..TANZANIA YETU KWANZA! Dini mbaki nazo moyoni!
 
na hivi kikwete amechakachua kura ili aingie na kutekeleza mambo ya dini yake!......................tutapiga kura ya kutokuwa na imani na kikwete iwapo ataruhusu mjadala huu wa kipumbavu ambao watz hatuko tayari waisalam waje na mambo yao na baadaye wakristo waje na mahakama yao.............rais mdini kama kikwete hatumtaki
 
Ndiyo, hata mimi sioni tatizo la waislamu kuanzisha Mahakama yao iwe ya kadhi au vinginevyo ili mradi kama wenzao wakatoliki, hawaihusishi kabisa serikali yaani kibajeti, wala utendaji wake.
Tatizo la ndugu zetu waislamu ni kutaka mahakama yao hiyo ianzishwe kwa sheria ya Bunge na igharimiwe kwa fedha za walipa kodi ambao wengi wao si waislamu. Katika hilo wasio waislamu wataendelea kupinga. Hakuna mtu atakayewazuia kama wenyewe watakaa na kuanzisha Mahakama ya kuwahukumu watakaoridhia kuhukumiwa nayo (Yaani waislamu wenzao) bila ya kuihusisha serikali kwa maana ya kutumia bajeti ya nchi. Vyovyote itakavyokuwa, Mahakama ya serikali iliyowekwa na Katiba ya nchi ndiyo itakayokuwa kimbilio la mwisho kwa wale watakaohisi kutoridhishwa na Mahakama hiyo ya Kiitikadi.
 
Back
Top Bottom