Jumba la Tajiri Bakhresa lililopo Fumba Town

Usitamani utajiri wa mwenzio ujui anayopitia ridhika na dagaa lako
Alio kwambia nimetaman nani?,wapi nimeandika nmetaman.Kiuhalisia nilishangaa maana nlijua hotel na watu maskin huwa wanaenda kuomba hela pale hasa wakati wa ramadhan ukitaka kuamin nenda mwenyewe utaona.mimi nilipitishwa na rafiki yangu anae kaa mita hiohio yaan watu wanaishi jaman achen tu
 
Ukute ana mke mmoja tu.Wenye hela wengi,kipaumbele chao siyo ngono,sisi maskini ndiyo tunaweka kipaumbele kwenye ngono.Wao(matajiri),starehe zao ni nyingi sana,sisi starehe zetu ni zile za jumla.
Ila sisi tuna enjoy ngono kuliko Wao

Unapanda kitandani unawaza Vita ya Ukraine itasababisha Ngano kuadimika sijui dola imeadimika sijui mafuta yataadimika mara TRA wanakuja kwny Tax Audit n.k

Mie napanda kitandani nawaza pambano tu mengine ntayajua hiyo hiyo asubuhi na Mwenye nyumba akinisumbia yeye ndio ataanza kupata tabu ya kunitafuta mie sitafuti mtu hovyo hovyo kwanza sijajiunga na bando la kuongea
 
Alio kwambia nimetaman nani?,wapi nimeandika nmetaman.Kiuhalisia nilishangaa maana nlijua hotel na watu maskin huwa wanaenda kuomba hela pale hasa wakati wa ramadhan ukitaka kuamin nenda mwenyewe utaona.mimi nilipitishwa na rafiki yangu anae kaa mita hiohio yaan watu wanaishi jaman achen tu
Kuomba uleta umasikini
 
Unaambiwa mifumo ya ulinzi ya hiyo nyumba ya Bakresa imeunganishwa moja kwa moja na mifumo ya usalama ya CIA huko Langley, Virginia USA... Kukitokea hata mwanga anapita usiku kutaka kumloga Mzee Bakresa basi lazima alarm iite kwenye simu ya mkurugenzi mkuu wa CIA, ambapo yeye huziamrisha ndege za kivita zisizo na rubani (drones) kuwa tayari kwa lolote. Hizo ndege huwa zimepaki pwani ya Afrika Mashariki maalum kwa kumlinda Bakresa... kilichonishangaza ni ule mfumo wa ulinzi unaoweza kunusa hatari kupitia joto la mwili na mapigo ya moyo kwa yeyote mwenye nia mbaya ndani ya nyumba ya mzee. Mtaalamu wa ulinzi alisema waliweka huo mfumo kudhibiti udokozi
 
Popote Ulaya tatizo ni pesa.
Mzee wetu hana makuu ila anaishi sana. Hili ndilo hekalu lake lililopo hapo Fumba Town.

Ni moja ya makazi rasmi ya mfanyabiashara Said Salim Awadh Bakhressa.

Jumba hilo lenye thamani ya Tshs Bilioni 30, lina kila kitu ambacho mwanadamu angetaka kutumia.

Lina vyumba vya kutosha vya kuishi, swimming pool, gym, vyumba vya kisasa vya mikutano, maktaba, Parking, Eneo la kutosha la kubarizi upepo, Vyumba vya ibada nk

Nakupa maua yako Bakhresa ingali uko hai, na hauna kelele hata kidogo.

Jengo hilo lipo sehemu ganii mana wengine Fumba town hatupajui
 
Back
Top Bottom