Uwa zuri
Senior Member
- Feb 24, 2023
- 104
- 176
Alio kwambia nimetaman nani?,wapi nimeandika nmetaman.Kiuhalisia nilishangaa maana nlijua hotel na watu maskin huwa wanaenda kuomba hela pale hasa wakati wa ramadhan ukitaka kuamin nenda mwenyewe utaona.mimi nilipitishwa na rafiki yangu anae kaa mita hiohio yaan watu wanaishi jaman achen tuUsitamani utajiri wa mwenzio ujui anayopitia ridhika na dagaa lako