Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
- Thread starter
- #21
Ni kweli....wewe vipi huendi au utaenda misa ya watoto? maana naona muda unaenda na wewe bado umekomaa na JF Hahahahaaaaaaaa
Mie nilitangulia kwenda Ijumaa mkuu...
Ni kweli....wewe vipi huendi au utaenda misa ya watoto? maana naona muda unaenda na wewe bado umekomaa na JF Hahahahaaaaaaaa
Mi nlienda ijumaa pia Mtaly...
Teh sawa mkuu pamojaMie nilitangulia kwenda Ijumaa mkuu...
Amy hujambo? Umeamkaje mumy.....
Happy to hear uko poa....Mi mzima dia.. Nimeamka so fresh as usual! Leo church hakuna mahubiri yaliyokugusa?
Happy to hear uko poa....
Church mahubiri yamenigusa sana....padre anasema tumtumikie Mungu kwa maisha baada ya kifo...Tukumbuke hakuna anayeishi duniani kwa miaka mingi....lazma tutakufa tu so je tukifa tutaenda wapi???? Tafakari Chukua hatua Amy...
Sana ila Mungu hanaga shida na mtu...ukimkosea ukamrudia anakusamehe kabsaaaaaaaaaaa na hakumbuki ya nyumaMh..kweli lakini.. Wakati mwingine tunajisahau sana..
Sana ila Mungu hanaga shida na mtu...ukimkosea ukamrudia anakusamehe kabsaaaaaaaaaaa na hakumbuki ya nyuma
Je ukirudia makusudi?
Asante sana Mtalingolo kwa baraka zako za Jumapili....ndo nimetoka zangu misa ya kwanza niko zangu naangalia wana JF ambao hawajaenda church na walipaswa kwenda na hawakumbuki kuwa hii ni kwaresma na hata majivu hawajapaka hadi leo.....Nimewaombea woteeeeee
Kama ukitudia kwa makusudi hakusamehi...basi hakuna ambaye angeiona mbingu coz dhambi nyingi ni za kujirudia tena makusudi
Jumapili njema wooooooote. Na nawaombea........
Mtakuwa na macho lakini hamtaona..mtakuwa Jf lakini hamtaelewa...thewengine hatuelewi mpaka mfano...tupe hapo...
Hahaaaaaa hakuna kitu...mi nakula tu...mbona kuku na nguruwe wanakulaga hadi mafi sembuse mimi Kula zangu bagah...lolaya ricky kula tu...ungejua maana ya hili jina hata usingesema "unakula bagah"...ppprrrriiii
namshukuru Mungu ibada ilikua nzuri
"Wamama jeshi kubwa"