Mabagala JF-Expert Member Nov 27, 2009 1,477 325 Feb 11, 2012 #1 Haka kachupa nilikanunua wakati nimeenda darisalama, leo nimeona nikafungue. karibuni, kakiisha tutaanza balimi lager Attachments me 2 058.jpg 94.7 KB · Views: 60
Haka kachupa nilikanunua wakati nimeenda darisalama, leo nimeona nikafungue. karibuni, kakiisha tutaanza balimi lager
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,175 Feb 11, 2012 #2 mbona hapo kama kwa anunty yangu au wewe ni yule mtoto wake wa kiume?
M mbongopopo JF-Expert Member Jan 24, 2008 1,611 759 Feb 11, 2012 #3 Makochi mlango michovuuuuuuuu Ukerewe ya wapi hiyo?
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,175 Feb 11, 2012 #4 duh, hawasemagi hivyo hujui ka-toil kiasi gani kufika hapo mbongopopo said: Makochi mlango michovuuuuuuuu Ukerewe ya wapi hiyo? Click to expand...
duh, hawasemagi hivyo hujui ka-toil kiasi gani kufika hapo mbongopopo said: Makochi mlango michovuuuuuuuu Ukerewe ya wapi hiyo? Click to expand...
Gurta JF-Expert Member Sep 17, 2010 2,234 531 Feb 11, 2012 #5 Kumbe India pia wanatengeneza hii makitu
BADILI TABIA JF-Expert Member Jun 13, 2011 32,772 23,163 Feb 11, 2012 #6 rusha sato kupitia bluetooth
Mabagala JF-Expert Member Nov 27, 2009 1,477 325 Feb 11, 2012 Thread starter #7 ukerewe ya mwanza nansio. kijiji kinaitwa hamkoko
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,143 16,218 Feb 11, 2012 #8 dah! Mimi nipo bukoba huku napata balimi. Karibu!
Mabagala JF-Expert Member Nov 27, 2009 1,477 325 Feb 12, 2012 Thread starter #9 Gurta said: Kumbe India pia wanatengeneza hii makitu Click to expand... yeah hii ni kitu ya india