kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 17,683
- 14,868
Baada ya prof. jay kujiunga na CHADEMA.
Taarifa zilizopo ni kuwa msanii mwingine maarufu,
Juma Kasim (Juma Nature) naye yuko mbioni kufanya hivyo.
Karibu sana Nature!
Vijana sasa wanabadilika kwa kasi..hadi 2015!
CHADEMA itakuwa sehemu nzuri sana...
Source: Juma Nature mwenyewe..
Taarifa zilizopo ni kuwa msanii mwingine maarufu,
Juma Kasim (Juma Nature) naye yuko mbioni kufanya hivyo.
Karibu sana Nature!
Vijana sasa wanabadilika kwa kasi..hadi 2015!
CHADEMA itakuwa sehemu nzuri sana...
Source: Juma Nature mwenyewe..