Mgongo wa paka
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 485
- 36
Waziri wa afya wa zanzinzibar mh juma duni haji leo hi saa kumi jioni ana unguruma viwanja vya mwembe yanga. Akiongoza wanachama wa cuf na wananchi wa temeke ambao kwakawaida ni wa fuasi nguli wa cuf. Vijana wa kiume na wakike na akina mama na akina baba tayari wamefurika uwanjani.