The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 37,961
- 82,822
Ni zaidi ya wiki sasa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere International Airport air condition hazifanyi kazi, hasa kipindi hiki cha joto kali Dar es Salaam, hivi wahusika wanafikiria nini? Je, ni hujuma?
Mama Kizimkazi anajua? Na kama anajua amechukua hatua gani? Na kama hajui kwa nini hajui? Alafu tuna ndoto za kupata watalii zaidi, utawapata wapi wakati wakija tu Dar hali ni mbaya kila eneo mpaka airport, ule uwanja kwa sasa umekuwa ni jehanam, kuna baadhi ya watalii walipoingia tu Dar kesho yake wakageuza kurudi, mana walipofika hali ni mbaya, joto kali airport mpaka mtaani.
Nauliza swali, je, hii hali itaisha lini mana hakuna anayejali kabisa, na watanzania kama kawaida yao wamekaa kimya.
Mama Kizimkazi anajua? Na kama anajua amechukua hatua gani? Na kama hajui kwa nini hajui? Alafu tuna ndoto za kupata watalii zaidi, utawapata wapi wakati wakija tu Dar hali ni mbaya kila eneo mpaka airport, ule uwanja kwa sasa umekuwa ni jehanam, kuna baadhi ya watalii walipoingia tu Dar kesho yake wakageuza kurudi, mana walipofika hali ni mbaya, joto kali airport mpaka mtaani.
Nauliza swali, je, hii hali itaisha lini mana hakuna anayejali kabisa, na watanzania kama kawaida yao wamekaa kimya.