Julius mtatiro: Bora cuf tubadilike tuwe kama chadema.

MAGAMBA MATATU

JF-Expert Member
Jul 2, 2011
646
1,174
Mtatiro ni naibu katibu mkuu wa CUF ambaye ni kiongozi pekee aliyeamua kuwashauri viongozi wa CUF kubadilika na kufuata misingi ya utawala bora, Mtatilo aliamua kuwashauri wabunge na viongozi wa CUF kuamua kumfuata Rais KIKWETE ili aweze kuruhusu mabadiliko ya sheria ya ya ktunga katiba,

Mtatilo aligundua kuwa kile walichokiamua wabunge wa CUF bungeni kwa kupitisha huu mswaada wa sheria ya kutunga katiba ni kwa sababu hawakuona madhara yake kwa baadaye nahapo ndoo akaamua kuitisha kikao na viongozi wenzake wa CUF ili warudi nyuma japo walikosea, Mtatilo alisema kuwa ''KUFANYA KOSA SI KURUDIA KOSA, TUFANYE KAMA WALIVYOFANYA WENZETU CHADEMA ILI TUJINUSURU NA HII KASHFA YA KUITWA CCM B,"

Kiujumla simpingi Mtatilo kwani wabunge wake hawakukaa na kutafakali kwanza kitu ambacho kiliwafanya wapitishe maamzi yasiyokuwa na tija kwa taifa, kiufupi nawapongeza CUF kwa kugungua kosa jambo ambalo limenifanya nikiamini tena hiki chama changu,

CUF NGANGALI
 
Wameishalewa urojo wa pale Malindi. Mtatiro ni kama bendera anafuata tu upepo pale CUF, nina uhakika yuko pale kwa vile siasa kwake ni ajira. kama akipata ajira nyingine yenye maslahi kwa elimu yake sidhani kama ataendelea na siasa za kujidhalilisha za CUF. Baada ya kuaibika kule Igunga na sera zao za kuisakama CDM aliomba msamaha wa kushindwa kwao lakini inaonyesha hawataki japo kutumia akili kidogo kujua kuwa tatizo kubwa kwao ni kucheza ngoma ya CCM. 2015 natabiri kifo cha CUF Tanzania bara. Wamekuwa wanajisifia kuwa walishapeleka rasimu ya katiba na JK aliwasifu wakati anaongea na wazee wenye njaa wa mkoa wa Dar, sasa wanaenda kwa mazungumzo gani? Kwa nini wasisubiri tu usiku wafanye mazungumzo kwa kuwa wanalala kitanda kimoja.
 
Mtatiro ni naibu katibu mkuu wa CUF ambaye ni kiongozi pekee aliyeamua kuwashauri viongozi wa CUF kubadilika na kufuata misingi ya utawala bora, Mtatilo aliamua kuwashauri wabunge na viongozi wa CUF kuamua kumfuata Rais KIKWETE ili aweze kuruhusu mabadiliko ya sheria ya ya ktunga katiba,

Mtatilo aligundua kuwa kile walichokiamua wabunge wa CUF bungeni kwa kupitisha huu mswaada wa sheria ya kutunga katiba ni kwa sababu hawakuona madhara yake kwa baadaye nahapo ndoo akaamua kuitisha kikao na viongozi wenzake wa CUF ili warudi nyuma japo walikosea, Mtatilo alisema kuwa ''KUFANYA KOSA SI KURUDIA KOSA, TUFANYE KAMA WALIVYOFANYA WENZETU CHADEMA ILI TUJINUSURU NA HII KASHFA YA KUITWA CCM B,"

Kiujumla simpingi Mtatilo kwani wabunge wake hawakukaa na kutafakali kwanza kitu ambacho kiliwafanya wapitishe maamzi yasiyokuwa na tija kwa taifa, kiufupi nawapongeza CUF kwa kugungua kosa jambo ambalo limenifanya nikiamini tena hiki chama changu,

CUF NGANGALI
Magwanda at work.
 
Mtatiro ni naibu katibu mkuu wa CUF ambaye ni kiongozi pekee aliyeamua kuwashauri viongozi wa CUF kubadilika na kufuata misingi ya utawala bora, Mtatilo aliamua kuwashauri wabunge na viongozi wa CUF kuamua kumfuata Rais KIKWETE ili aweze kuruhusu mabadiliko ya sheria ya ya ktunga katiba,

Mtatilo aligundua kuwa kile walichokiamua wabunge wa CUF bungeni kwa kupitisha huu mswaada wa sheria ya kutunga katiba ni kwa sababu hawakuona madhara yake kwa baadaye nahapo ndoo akaamua kuitisha kikao na viongozi wenzake wa CUF ili warudi nyuma japo walikosea, Mtatilo alisema kuwa ''KUFANYA KOSA SI KURUDIA KOSA, TUFANYE KAMA WALIVYOFANYA WENZETU CHADEMA ILI TUJINUSURU NA HII KASHFA YA KUITWA CCM B,"

Kiujumla simpingi Mtatilo kwani wabunge wake hawakukaa na kutafakali kwanza kitu ambacho kiliwafanya wapitishe maamzi yasiyokuwa na tija kwa taifa, kiufupi nawapongeza CUF kwa kugungua kosa jambo ambalo limenifanya nikiamini tena hiki chama changu,

CUF NGANGALI

Ngangali wakati kinapelekwa kama bendera inavyopelekwa na upepo. Ccm wakisema hili mnawafuta na cdm wakisema hili mnawafuata ni bora mmwe na msimamo kama wanaume
 
Mtatiro ni naibu katibu mkuu wa CUF ambaye ni kiongozi pekee aliyeamua kuwashauri viongozi wa CUF kubadilika na kufuata misingi ya utawala bora, Mtatilo aliamua kuwashauri wabunge na viongozi wa CUF kuamua kumfuata Rais KIKWETE ili aweze kuruhusu mabadiliko ya sheria ya ya ktunga katiba,

Mtatilo aligundua kuwa kile walichokiamua wabunge wa CUF bungeni kwa kupitisha huu mswaada wa sheria ya kutunga katiba ni kwa sababu hawakuona madhara yake kwa baadaye nahapo ndoo akaamua kuitisha kikao na viongozi wenzake wa CUF ili warudi nyuma japo walikosea, Mtatilo alisema kuwa ''KUFANYA KOSA SI KURUDIA KOSA, TUFANYE KAMA WALIVYOFANYA WENZETU CHADEMA ILI TUJINUSURU NA HII KASHFA YA KUITWA CCM B,"

Kiujumla simpingi Mtatilo kwani wabunge wake hawakukaa na kutafakali kwanza kitu ambacho kiliwafanya wapitishe maamzi yasiyokuwa na tija kwa taifa, kiufupi nawapongeza CUF kwa kugungua kosa jambo ambalo limenifanya nikiamini tena hiki chama changu,

CUF NGANGALI

CUF ni kama mgonjwa mahututi asiyejua kuwa yupo mahututi na anaomba dawa huku DR akijua kuwa hawezi pona....
 
Siku zote wa mbili havai moja,tusishangae sana kila zama na wakati wake na sababu zake.Watanzania hawadanganyiki hata kama utatumia nini.Laiti kama moto walioanza nao visiwani enzi zile kwa kutumia nguvu ya umma wana wa magamba wangekuwa wapi hivi sasa?
 
Siku zote wa mbili havai moja,tusishangae sana kila zama na wakati wake na sababu zake.Watanzania hawadanganyiki hata kama utatumia nini.Laiti kama moto walioanza nao visiwani enzi zile kwa kutumia nguvu ya umma wana wa magamba wangekuwa wapi hivi sasa?

ila ninachoamini kuwa kama CUF wameamua kubadilika basi inabidi waitishe maandamano kuhusu hili suala kwani wanakuwa kama wanatudanganya sie wanachama wao...
 
MTATIRO HAYUKO PEKE YAKE KATIKA USINGIZI HUU ULIOTUTANDA KWINGI JUU YA 'MUSWADA WA MAKINDA' KUCHUKUA MIMBA HARAMU NA SASA KUZAA 'SHERIA PROJECT-MEMBE'

Wala Katibu Mkuu Msaidizi wa CUF, Julius Mtatiri si peke yake kati ya watu ambao hadi hivi sasa wamesoma huu muswada wa Makinda, kuelewa undani wake na mapungufu hatarishi kwa usalama wetu kama taifa na hivi sasa wenyewe kwa wenyewe kuanza KUJIHOJI NAFSI ZAO juu ya kitu gani walichokipitisha Bungeni Dodoma, watu hawa ni wengi mno nchini na pengine watakapobaini ukweli wa mambo huenda wakaageuka mbogo zaidi kuliko hata sisi hivi sasa.

Si Mtatiro Juliasi tu ndiye anaayeamka na kutambua madhara yaliomo kwenye huu mchakato uliotekwa na ikulu huku wachache wakijiandaa kutuchomolea katiba yao toka mfuko wa nyuma na kuimwaga mezani mara baada ya geresha mbili tatu hivi, japo hawasemi kwa kinywa kipana hadi sasa hivi ila ukweli wa mambo ni kwamba hata baadhi ya wabunge wa CCM hivi sasa wameanza kulia na kusema walicholetewa bungeni ni tofauti kabisa na kile Kashilila lichokipeleka Magogoni.

Mara baada ya kumwagiwa hela za Jairo wao walichokifanya ni kuwasonya wabunge wa CHADEMA na kuwaita majina yote duniani bila kujua kwamba mwisho wa siku mambo ndio kama haya ya 'Muswada wa Makinda' kugeuka ghafla na kuwa sheria ya Project-Membe.
 
Ndo mmeshauriwa ivyo na jk kt ziara yenu ikulu?? It is too late na hatudanganyiki, subirini pigo jingine mpaka mfanane na UMD, hata mkijisahihisa vipi hatuwasamehi, mtatiro heri uamie CDM chama sawia cha kinachotumikia pia kuadress matatizo ya wananchi na uachane na kazi ya Uccm "b"
 
lini watasema walichozungumza ikulu? walisema mara baada ya mazungumzo watasema ajenda zilizowapeleka nashangaa mpaka leo kimya? Bado naendelea kusubiri.
 
ngumu kumeza ccmagamba + cufunwa ndo faida u-shabiki maandazi,wapo kinafiki zomea yao then wanalalama nini?wasituchoshe na ndoa yako
 
Wameishalewa urojo wa pale Malindi. Mtatiro ni kama bendera anafuata tu upepo pale CUF, nina uhakika yuko pale kwa vile siasa kwake ni ajira. kama akipata ajira nyingine yenye maslahi kwa elimu yake sidhani kama ataendelea na siasa za kujidhalilisha za CUF. Baada ya kuaibika kule Igunga na sera zao za kuisakama CDM aliomba msamaha wa kushindwa kwao lakini inaonyesha hawataki japo kutumia akili kidogo kujua kuwa tatizo kubwa kwao ni kucheza ngoma ya CCM. 2015 natabiri kifo cha CUF Tanzania bara. Wamekuwa wanajisifia kuwa walishapeleka rasimu ya katiba na JK aliwasifu wakati anaongea na wazee wenye njaa wa mkoa wa Dar, sasa wanaenda kwa mazungumzo gani? Kwa nini wasisubiri tu usiku wafanye mazungumzo kwa kuwa wanalala kitanda kimoja.

lukokwitanga umenifurahisha!hawacuf mshua kasha wapa supu ya pweza nini!kama wameshindwa jieleza sebuleni huko chumbani ni miguno ya ndio ndio ndio,aksante mzee!
 
lukokwitanga umenifurahisha!hawacuf mshua kasha wapa supu ya pweza nini!kama wameshindwa jieleza sebuleni huko chumbani ni miguno ya ndio ndio ndio,aksante mzee!

Mtatiro ndiyo Kichwa cha CUF na ninaamini kabisa Hakupendezwa na Kitendo cha Wabunge wao kuungana na CCM kupitisha ule Muswada Feki ambao hauuingwi Mkono hata na Wazenj wenyewe
 
Back
Top Bottom