Madikizela
JF-Expert Member
- Jul 4, 2009
- 675
- 439
Kwa niaba ya Jukwaa tukufu la sisi Wapagani tunatangaza rasmi kuanza kwa kampeni za kinyang'anyiro cha uraisi kwa upande wa Zenjibari tunataka Raisi ajaye wa Serkali ya Mapinduzi Zenjibar atoke Bara.
Na kwa upande wa Bara Raisi atoke Zenj. mapendekezo yanatokana na uhalisia kuwa Haki sawa inapaswa iwe pande zote.
Nawasilisha
JLW
Na kwa upande wa Bara Raisi atoke Zenj. mapendekezo yanatokana na uhalisia kuwa Haki sawa inapaswa iwe pande zote.
Nawasilisha
JLW