Borakufa
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 1,503
- 390
sisi kama raia hatuna namna zaidi ya kuingia barabarani kwasababu najua tukiomba tukutane na JK (Jua Kali) hatakubali
Great! sasa tunajipangaje maana imezoeleka kwama cdm ndo siku zote wanaorganise maandamano u see! tufanye maandamano yasiyofungamana na part yoyote tena tumebeba mabango na bendera ya taifa! tatizo ni vipi tutayafaya!