mwananyiha
JF-Expert Member
- Mar 11, 2008
- 248
- 43
Wanajamvi nimekuwa nikifuatilia majukwaa mbalimbali kama vile siasa, uchumi, technologia na mengine ndani ya JF. Katika majukwaa yote hayo nimekuta hoja zikitolewa ama kama mtu anahitaji ufafanuzi wa suala fulani hoja na ufafanuzi wa nguvu vimekuwa vikitolewa. Lakini katika jukwa hili la learned brothers/sisters imekuwa tofauti kwani jukwa limepooza sana mpaka nimeanza kujiuliza je, halina wanasheria au ni uchoyo wa kutaka wengine wasijue kile wenyewe wanachokijua au ni uvivu wa the learned kuchukua hatua au......