Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
Lile wimbi la Wanachama wa chadema Kuhama chama hicho limeendelea leo baada ya Mwanachama mwingine wa Chama cha Democrasia na maendeleo Juju Martin ambaye alivuliwa nyadhfa pamoja na David kafulila nae ameamua kujiondoa chadema na kuporomosha madongo mazito kwa Mwenyekiti wa chama hicho Bwana Freeman Mbowe .
http://groups.google.com/group/wanabidii/t/8dd2901b748ea8e?hl=sw
http://groups.google.com/group/wanabidii/t/8dd2901b748ea8e?hl=sw