Ukweli mchungu: " Dunia ya sasa haimpendi baba bora/mume bora. Hizi ndio adhabu ambazo dunia itakupa kwa " kosa" la kuwa baba/ mume bora

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,119
27,123
Baba bora ni nani? Baba bora ni yule anae wapenda, watunza na kuwajali watoto wake.

Mume bora ni nani? Mume bora ni yule anae mpenda na kumjali mke wake na familia yake kwa ujumla.

Je dunia inampenda baba bora/mume bora?

The evidence says NO.

Experience inaonyesha kwamba mwanaume ukijaribu kuwa mume bora au baba bora basi dunia itampa adhabu kwa " kosa" la kuwa mume /baba bora.

Zifuatazo ni baadhi ya adhabu ambazo dunia humpa baba/mume bora.

1. Kudhauriwa na mtu ambae ana stahili kukuheshimu/ kudharauliwa sehemu ambayo una stahili kuheshimiwa

Mtu wa kwanza atakae kudhaurau ni mwanamke ambae uta propose kumuoa. The moment umeanza kusuggest wazo la kumuoa ndio the moment atalapo anza kukudharau na siku mtakayo funga ndoa ndio siku atakayo kudharau zaidi . Kwenye ndoa ndio dharau zitakuwa pro max( hii mnaita mwanamke kutoa makucha yake baada ya kuingia kwenye ndoa)

Kwanini anakudharau;

1. Anakudharau kwa sababu she think you are a nice guy. Women don't like nice guys. Women don't respect nice guys. Because to them a nice guy means a foolish guy. Asking for her hand in marriage is you playing a nice guy card . And you being nice to her is the same as you being a foolish guy. Wanawake wanajuaga mwanaume wa ukweli hawezi kutaka kuoa mwanamke. Wazo la kutaka kuoa mwanamke haliwezi kukaa kwa mwanaume halisi. For a real man the idea of wanting to get married is a crazy idea.

Kwa wanawake walio wengi, mwanaume wa ukweli ni yule anae jua kila kitu kuhusu wanawake . Na mwanaume anae jua kila kitu kuhusu wanawake ni yule anae jua kwamba hajui chochote kuhusu wanawake. KWA sababu hii basi mwanaume huyu wa ukweli hawezi kutaka kuoa mwanamke kwa sababu hawezi kuoa kitu ambacho hakijui vizuri. Misahafu inajua vizuri kuhusu ukweli huu ndio maana imeshauriwa kwamba mwanaume akipandwa na " kichaa" cha kutaka kuoa basi aozeshwe mke mara moja kabla " kichaa" hakijashuka akaghairi.

So mwanaume unapo mwambia mwanamke unataka kumuoa anakudharau sana kwa sababu anakuona wewe ni mwanaume ambae hawajui wanawake vizuri na hujui unacho kifanya. Atakuwa na wewe kwa sababu maisha yake yanakuhitaji wewe kwa wakati huo lakini hawezi kukuheshimu. Mbaya zaidi iwe wewe mwenyewe ndio uwe umeleta wazo la ndoa na sio yeye tena kwa kukuroga na kukusumbua kwa muda mrefu .

Anakudharau kwa sababu hujamkuta akiwa bikira. Anakushangaa wewe ni mjinga kiasi gani hata uende kumuoa yeye ilihali umemkuta tayari ameshatumika. Mwanamke huyu atawaheshimu zaidi wale walio pita nae na kutembea nae kuliko wewe ambae umemuoa kabisa. Tena kama ulimkuta ana mtoto ( single mother) then ukamuoa basi ndio atakudharau mara kumi zaidi kwamba u mjinga wa wapi wewe unaenda kuoa mwanamke aliezalishwa na mwanaume mwingine na.kumuacha ila wewe ndio umemuona mke huyo.Ndio maana wanaume wengi wanao toka na single mothers wakiamini single mothers watawaheshimu huwa wanaishia kuwa disappointed na kuanza kuwaponda single mothers. Hii ni kwa sababu single mothers sio wajinga . Hata wao wanajua mwanaume wa ukweli hawezi kudili na single mothers wakati vigoli wamejaa tele. Wanajua something is missing in you ndio maana umeangukia kwao.

Anakudharau kwa kuwa ana mwanaume zaidi ya mmoja ila katika wote wewe ndio umekuwa foolish enough kufunga nae ndoa.

Umeshawahi kuambiwa na mwanamke ambae umeingia nae kwenye mahusiano " umebadilika kwa kuwa umesha kipata unacho kitaka?" Kama bado hujawahi basi tambua kwamba something is missing in you. Kama mwanamke hajaona kitu hiki kwako basi wewe una mapungufu katika uanaume wako kwa sababu ukiwa mwanaume ulie kamilika lazima uta onyesha hali ya kumkinai mwanamke ambae umesha sex nae hata awe mzuri namna gani. Wanawake wanajua vizuri kuhusu ukweli huu ndio maana ukienda kununua mwanamke wale wanao jiuza anataka umpe hela yake kwanza ndo atoe utelezi kwa sababu anajua ukisha kojoa tu thamani yake kwako itashuka na utakuwa mgumu kutoa hela.

Vivyo hivyo ndivyo wanawake wanavyo tuchukulia kwenye mahusiano. Wanajua sisi huwa tunawashusha thamani tukishawavua Chupi. Wewe unae muongezea thamani baada ya kumvua Chupi " kwa kumuoa kabisa " lazima akudharau sana kwa sababu anakuona sio mwanaume ulie kamilika.

Umeshawahi jiuliza kwanini wanawake walio olewa wanawapenda wanaume wanao tembea na wake za watu? KWA sababu wana amini wanaume wa ukweli ni waharibifu by nature, wanawachukulia wanawake kama chombo cha starehe na hawa amini katika ndoa. Wao wenyewe hawawezi kuoa wala hawaiheshimu ndoa ndio maana wanaona poa kutembea na wake za watu kwa sababu to them ndoa ni upuuzi fulani hivi... wanawake wanataka KUKUTANA na mwanaume mwenye mindset kama hii kwa sababu wana amini huyo ndio mwanaume halisi.

All women love bad guys hata wamama huwapenda zaidi watoto wao wa kiume watukutu kuliko wale ambao sio watukutu.

A woman will only stay loyal in a relationship where:

1. She knows that she can be easily replaced by another woman who is more beautiful than her.

2. Her man can break up with her at any time if she dare messing up with him.

Hivi vitu havipatikani mwenye ndoa hasa hasa ndoa ya kizungu. Ndoa ya kizungu inampa mwanamke guarangww na " guarantee " kwa mwanamke kwenye mahusiano ni adui wa uhusiano huo. Kwenye mahusiano mwanamke anatakiwa kuwa na wasiwasi muda wote. Wasiwasi wa kuachwa. Wasiwasi wa kuibiwa mume etc. Akivikosa hivi vitu kwako ataenda kuvitafuta kwa mwanaume mwingine kwa sababu asipo vipata atajiona kama vile hayupo na mwanaume.

Adhabu ya pili itakuja hivi punde
 
So unawashauri wanaume wasioe au unawashauri waoe bikra. Sasa bikra unaitoa wapi saahizi kaka?
Sishauri uoe mkuu. Ninasema kwamba dunia ya sasa haimpendi baba bora/ mume bora. Na ukijaribu kuwa mume bora au baba bora dunia itakuhukumu kwa kosa la kuwa mume/baba bora. Na baadhi ya adhabu za kuwa baba bora au mume ndizo nitakazo zianisha kwenye Uzi wangu
 
Dawa ya mwananke ni mwananke.
Kwa waislamu hii ni advantage hasa unapotaka kuoa basi piga ndoa mbili Kwa pamoja na harusi Moja.
Yaani ndege wawili jiwe Moja.
Kama Bado mambo SI mazuri weka msimamo wako mapema Kwamba utaongeza mke inshaAllah na kama akikataa basi piga chini huyo ,na hii ni Kwa masingle mother na hata kama hajazaa.
Kwa idadi ya wanawake walivyo wengi ni ajabu kuona mwanaume anateseka na mke mmoja.
Tutafute pesa Ili tusileteane dharau.
 
Baba bora ni nani? Baba bora ni yule anae wapenda, watunza na kuwajali watoto wake.

Mume bora ni nani? Mume bora ni yule anae mpenda na kumjali mke wake na familia yake kwa ujumla.

Je dunia inampenda baba bora/mume bora?

The evidence says NO.

Experience inaonyesha kwamba mwanaume ukijaribu kuwa mume bora au baba bora basi dunia itampa adhabu kwa " kosa" la kuwa mume /baba bora.


Adhabu ya pili itakuja hivi punde
Point
 
Baba bora ni nani? Baba bora ni yule anae wapenda, watunza na kuwajali watoto wake.

Mume bora ni nani? Mume bora ni yule anae mpenda na kumjali mke wake na familia yake kwa ujumla.

Je dunia inampenda baba bora/mume bora?

The evidence says NO.

Experience inaonyesha kwamba mwanaume ukijaribu kuwa mume bora au baba bora basi dunia itampa adhabu kwa " kosa" la kuwa mume /baba bora.

Zifuatazo ni baadhi ya adhabu ambazo dunia humpa baba/mume bora.

1. Kudhauriwa na mtu ambae ana stahili kukuheshimu/ kudharauliwa sehemu ambayo una stahili kuheshimiwa

Mtu wa kwanza atakae kudhaurau ni mwanamke ambae uta propose kumuoa. The moment umeanza kusuggest wazo la kumuoa ndio the moment atalapo anza kukudharau na siku mtakayo funga ndoa ndio siku atakayo kudharau zaidi . Kwenye ndoa ndio dharau zitakuwa pro max( hii mnaita mwanamke kutoa makucha yake baada ya kuingia kwenye ndoa)

Kwanini anakudharau;

1. Anakudharau kwa sababu she think you are a nice guy. Women don't like nice guys. Women don't respect nice guys. Because to them a nice guy means a foolish guy. Asking for her hand in marriage is you playing a nice guy card . And you being nice to her is the same as you being a foolish guy. Wanawake wanajuaga mwanaume wa ukweli hawezi kutaka kuoa mwanamke. Wazo la kutaka kuoa mwanamke haliwezi kukaa kwa mwanaume halisi. For a real man the idea of wanting to get married is a crazy idea.

Kwa wanawake walio wengi, mwanaume wa ukweli ni yule anae jua kila kitu kuhusu wanawake . Na mwanaume anae jua kila kitu kuhusu wanawake ni yule anae jua kwamba hajui chochote kuhusu wanawake. KWA sababu hii basi mwanaume huyu wa ukweli hawezi kutaka kuoa mwanamke kwa sababu hawezi kuoa kitu ambacho hakijui vizuri. Misahafu inajua vizuri kuhusu ukweli huu ndio maana imeshauriwa kwamba mwanaume akipandwa na " kichaa" cha kutaka kuoa basi aozeshwe mke mara moja kabla " kichaa" hakijashuka akaghairi.

So mwanaume unapo mwambia mwanamke unataka kumuoa anakudharau sana kwa sababu anakuona wewe ni mwanaume ambae hawajui wanawake vizuri na hujui unacho kifanya. Atakuwa na wewe kwa sababu maisha yake yanakuhitaji wewe kwa wakati huo lakini hawezi kukuheshimu. Mbaya zaidi iwe wewe mwenyewe ndio uwe umeleta wazo la ndoa na sio yeye tena kwa kukuroga na kukusumbua kwa muda mrefu .

Anakudharau kwa sababu hujamkuta akiwa bikira. Anakushangaa wewe ni mjinga kiasi gani hata uende kumuoa yeye ilihali umemkuta tayari ameshatumika. Mwanamke huyu atawaheshimu zaidi wale walio pita nae na kutembea nae kuliko wewe ambae umemuoa kabisa. Tena kama ulimkuta ana mtoto ( single mother) then ukamuoa basi ndio atakudharau mara kumi zaidi kwamba u mjinga wa wapi wewe unaenda kuoa mwanamke aliezalishwa na mwanaume mwingine na.kumuacha ila wewe ndio umemuona mke huyo.Ndio maana wanaume wengi wanao toka na single mothers wakiamini single mothers watawaheshimu huwa wanaishia kuwa disappointed na kuanza kuwaponda single mothers. Hii ni kwa sababu single mothers sio wajinga . Hata wao wanajua mwanaume wa ukweli hawezi kudili na single mothers wakati vigoli wamejaa tele. Wanajua something is missing in you ndio maana umeangukia kwao.

Anakudharau kwa kuwa ana mwanaume zaidi ya mmoja ila katika wote wewe ndio umekuwa foolish enough kufunga nae ndoa.


Umeshawahi kuambiwa na mwanamke ambae umeingia nae kwenye mahusiano " umebadilika kwa kuwa umesha kipata unacho kitaka?" Kama bado hujawahi basi tambua kwamba something is missing in you. Kama mwanamke hajaona kitu hiki kwako basi wewe una mapungufu katika uanaume wako kwa sababu ukiwa mwanaume ulie kamilika lazima uta onyesha hali ya kumkinai mwanamke ambae umesha sex nae hata awe mzuri namna gani. Wanawake wanajua vizuri kuhusu ukweli huu ndio maana ukienda kununua mwanamke wale wanao jiuza anataka umpe hela yake kwanza ndo atoe utelezi kwa sababu anajua ukisha kojoa tu thamani yake kwako itashuka na utakuwa mgumu kutoa hela.

Vivyo hivyo ndivyo wanawake wanavyo tuchukulia kwenye mahusiano. Wanajua sisi huwa tunawashusha thamani tukishawavua Chupi. Wewe unae muongezea thamani baada ya kumvua Chupi " kwa kumuoa kabisa " lazima akudharau sana kwa sababu anakuona sio mwanaume ulie kamilika.

Umeshawahi jiuliza kwanini wanawake walio olewa wanawapenda wanaume wanao tembea na wake za watu? KWA sababu wana amini wanaume wa ukweli ni waharibifu by nature, wanawachukulia wanawake kama chombo cha starehe na hawa amini katika ndoa. Wao wenyewe hawawezi kuoa wala hawaiheshimu ndoa ndio maana wanaona poa kutembea na wake za watu kwa sababu to them ndoa ni upuuzi fulani hivi... wanawake wanataka KUKUTANA na mwanaume mwenye mindset kama hii kwa sababu wana amini huyo ndio mwanaume halisi.

All women love bad guys hata wamama huwapenda zaidi watoto wao wa kiume watukutu kuliko wale ambao sio watukutu.

A woman will only stay loyal in a relationship where:

1. She knows that she can be easily replaced by another woman who is more beautiful than her.

2. Her man can break up with her at any time if she dare messing up with him.

Hivi vitu havipatikani mwenye ndoa hasa hasa ndoa ya kizungu. Ndoa ya kizungu inampa mwanamke guarangww na " guarantee " kwa mwanamke kwenye mahusiano ni adui wa uhusiano huo. Kwenye mahusiano mwanamke anatakiwa kuwa na wasiwasi muda wote. Wasiwasi wa kuachwa. Wasiwasi wa kuibiwa mume etc. Akivikosa hivi vitu kwako ataenda kuvitafuta kwa mwanaume mwingine kwa sababu asipo vipata atajiona kama vile hayupo na mwanaume.


Adhabu ya pili itakuja hivi punde
Tample run
 
Sikubaliani na maoni ya mtoa mada katika maeno kadhaa

Maeneo hayo ni kama Ifuatavyo.

1. Suala la mke kutomheshimu mume anayetaka kumuoa.

My take : ukioa mwanamke malaya lazima akudharau,ila ukioa mwanamke aliyejitunza basi atakuheshimu.

Hivyo sio kwamba dunia ndio haimheshimu baba bora hapana,bali sisi wanaume tunashindwa kuchagua wake ambao watatufanya tuwe waume na mababa bora.

HAUWEZI KUWA MUME/BABA BORA MBELE YA MWANAMKE MALAYA ASIYEJIHESHIMU.


2. Nice guy.

mwanamke malaya pekee ndio atakayekudharau na kukuona nice guy pale unapotaka kumuoa,na sio mwanamke alyejitunza mwenye adabu zake.

My take : tutafute wanawake wanaojiheshimu(wapo) ili tukiwatangazia ndoa wasituone ni akina mr nice guys.

3 . mke kumpenda mwanaume anayetembea na wake za watu.

mwanamke sio kwamba anampenda mwanaume anayetembea na wake za watu hapana,mwanamke anampenda mwanaume mwenye wanawake wengi awe MKE wa mtu au asiwe mke wa mtu.



LEngo la mtoa mada ni kudhoofisha ndoa watu wasioe

yaani mtoa mada anajaribu kutuaminisha na kutuambia kwamba kwa nini unaoa wakati huyo mkeo atagongwa na wanaume wengine kama ilivyo asili tu ?

,lakini kiuhalisia tutafute wake wenye maadili waliostaarabika kisha tuwaoe,ukitafuta mshenzi utagongewa tu ila ukipata mstaarabu atatulia na ataheshimu.

Kitu cha msingi ambacho mtoa mada amekiacha ni kuueleza umma kwamba mambo yote aliyoyataja yanatokana na MALEZI ya huyo mwanamke.

Na malezi ni kila alichokiona mtoto kinamuathiri katika malezi.
Kila alichokisikia kinamuathiri katika malezi.
Kila alichokifanya kinamuathiri katika malezi.

Mwanamke ambaye amekulia huku akiona na kusikia matukio ya ajabu ya wanaume au baba yake na huku mama yake huyo akivumilia matukio hayo,basi tutarajie huyu mtoto akikua lazima ataona kwamba huyo ndio mwanaume wa kweli kwa sababu wakati anakua yeye aliona wanaume wa aina hiyo

Na ndio maana kuna wanawake wakikufuma umechepuka wanakuacha kwa sababu hawakukulia katika mazingira ya kuintertain uchepukaji.

Lakini wapo wanawake ukichepuka wataendelea kuwa na wewe kwa sababu walikulia katika mazingira hayo na kuona jambo la kawaida sasa huyu atakuachaje na kwake ni ishu ya kawaida ?

Hivyo mtoa mada alitakiwa aseme kwamba kuna aina fulani ya wanawake ndio wanafiti katika utafiti wake,na wala sio wanawake wote.

Hivyo mtoa mada alitakiwa akubali kwamba yote aliyoyasema yanatokana na aina fulani ya wanawake na sio wanawake wote.

kwa msingi hio mtoa mada alitakiwa akataze wanaume kuoa aina fulani ya wanawake na sio wanawake wote.


Hivyo basi : NDOA NI MBAYA IKIWA UTAOA AINA FULANI YA WANAWAKE,NA WALA SIO KWA WANAWAKE WOTE.

mwanamke utakayemuoa ndio dunia yako,hivyo ukichagua vizuri atakuheshimu na dunia itakuheshimu,na ukochagua vibaya atakudharau na dunia itakudharau.
 
Back
Top Bottom