tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,478
Huyu mzee ni mnafiki sana, shida yake urais tu utadhan kaoteshwa kuwa atashinda lol... hebu aende zake huko, mara ooh sijui kavunjika mkono kisa chama, sasa hiyo ndio tiketi ya urais?!! Ebooo, hakuna aliye juu zaidi ya chama
mi nafikiri sio vizuri kumtukana dr slaa kwani ameisidia saana CDm,pia kutofautiana kwake mawazo na viongozi wenzzake ni sehemu ya demokrasia