Josephine Mushumbusi: Mwanamke aliyeota kuwa na asiye na hadhi ya kuwa First Lady

Status
Not open for further replies.
Mtoa posti mpuuzi kweli! Katiba yetu haijasema kuhusu "First Lady". Hayo ni mambo binafsi. Kuleta umbeya humu halafu mijitu imeshadidia kweli! Ni kumdhalilisha kamanda wangu Dr. Slaa kwa sababu ya ujio wa fisadi.
 
Hivi Mkuu bado unamuamini Yeriko? Juzi aliweka mada humu akieleza eti yule aliyepigwa na Job Ndugai kafariki. Tena ikawekwa kwenye hadhi ya Breaking News. Hata haijapta nusu sasa ikadhihirika ni uongo uliopitiliza. Mie nimemuweka kwenye kundi la wadau wasioaminika.

Hata mimi namuingiza rasmi kwenye kundi hilo, la wadau wasio aminika
 
Usifanye mchezo kutoka kwenye ukasisi hadi kuonjeshwa mambo ya kidunia, kama katerero na mengine kadha wa kadha.
 
Sijapenda post za watu wanajiita makamanda wa Chadema kumkashifu Dr.Slaa na familia yake.
 
Mtoa posti mpuuzi kweli! Katiba yetu haijasema kuhusu "First Lady". Hayo ni mambo binafsi. Kuleta umbeya humu halafu mijitu imeshadidia kweli! Ni kumdhalilisha kamanda wangu Dr. Slaa kwa sababu ya ujio wa fisadi.


Ujio wa nani?
 
11825921_864940273587869_584721516591045598_n.jpg
 
Slaa hawezi kuwa Rais wa nchi kwa mwenendo huo. Urais wa familia unaonekana kumshinda...
 
Huyu mama anawajua wote hawa vijana, ni yeye aliwaweka humu JF, ngoja aje awavue nguo ndio tuwajue vizuri. Hapo ndio itakua mwisho wa unafioi wa mayatima wa bavicha
 
Mkuu umepata ajira mpya ya kitengo? Upinzani wa lip service kumbe ndani una lengo la kubomoa
 
Hivi watu wengine integrity yenu ipo wapi? Mbona mpo na opportunistic behaviour kiasi hiki?

Just because of your desparation mpo tayari ku forgo hata humanity? Isnt you who raised the expectations of this couple yet you fail to consider their feelings as human-beings?

Nyinyi kweli mm niwape kura yangu? I and those of my calibre will never cast our votes to such type of team of people.... Too selfish and self seeking!

Sorry!
 
Hivi watu wengine integrity yenu ipo wapi? Mbona mpo na opportunistic behaviour kiasi hiki?

Just because of your desparation mpo tayari ku forgo hata humanity? Isnt you who raised the expectations of this couple yet you fail to consider their feelings as human-beings?

Nyinyi kweli mm niwape kura yangu? I and those of my calibre will never cast our votes to such type of team of people.... Too selfish and self seeking!

Sorry!


Leo unawakana CHADEMA?
CCM now ndio chama chako?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom