Joseph Mbilinyi aka Sugu aitangaza Fiesta

Gamba Jipya

JF-Expert Member
Apr 16, 2011
401
80
Habari zilizo nifikia hivi punde ni kuwa,
Kama ilivyotarajiwa hatimaye mbunge wa mbeya mjini kwa tiketi ya CDM bwana Sugu sasa ameanza kampeni rasmi ya kulisifia na kulitangaza tamasha la Fiesta tofauti na alivyokuwa analipinga siku chache zilizopita, siku nzima ya leo sugu amekuwa anarushwa kwenye matangazo kadhaa akiipa sifa fiesta na kuwaahidi washabiki wa fiesta kuwa baada ya muda mrefu bila yeye kuperfom kwenye fiesta sasa wakati umewadia.

Hii ndiyo misimamo ya wanasiasa wa CDM.
 
Mkuu, wanachofanya Clouds ni uhuni, nakumbuka Sugu aliwahi kuongea na hawa jamaa kuhusu fiesta ya mwaka 2007 akiwa USA, na ndiyo sauti wanayotumia leo kutangazia wakazi wa mbeya..... Pia wamechukua sauti ya Mwenyekiti wa chadema mkoa wa mbeya akiwasihi wananchi wajitokeze kesho.... Hii yote ni kampeni ya kutaka wakazi wa Mbeya wauzurie kwenye hilo onyesho ambalo Sugu alisema hatafanya kila njia lisifanyeke kwenye mkoa wake wa Mbeya.....

Hii ni vita nyingine kati ya Sugu na Jamaa wa Cloudsfm, nadhani Sugu anaweza kuwafungulia kesi hawajamaa kwa kutumia sauti yake kwa maslahi ya kujinufaisha wao pasipo kumshirikisha.
 
Ngoja tuone.
Mkuu, wanachofanya Clouds ni uhuni, nakumbuka Sugu aliwahi kuongea na hawa jamaa kuhusu fiesta ya mwaka 2007 akiwa USA, na ndiyo sauti wanayotumia leo kutangazia wakazi wa mbeya..... Pia wamechukua sauti ya Mwenyekiti wa chadema mkoa wa mbeya akiwasihi wananchi wajitokeze kesho.... Hii yote ni kampeni ya kutaka wakazi wa Mbeya wauzurie kwenye hilo onyesho ambalo Sugu alisema hatafanya kila njia lisifanyeke kwenye mkoa wake wa Mbeya.....Hii ni vita nyingine kati ya Sugu na Jamaa wa Cloudsfm, nadhani Sugu anaweza kuwafungulia kesi hawajamaa kwa kutumia sauti yake kwa maslahi ya kujinufaisha wao pasipo kumshirikisha.
 
Mkuu, wanachofanya Clouds ni uhuni, nakumbuka Sugu aliwahi kuongea na hawa jamaa kuhusu fiesta ya mwaka 2007 akiwa USA, na ndiyo sauti wanayotumia leo kutangazia wakazi wa mbeya..... Pia wamechukua sauti ya Mwenyekiti wa chadema mkoa wa mbeya akiwasihi wananchi wajitokeze kesho.... Hii yote ni kampeni ya kutaka wakazi wa Mbeya wauzurie kwenye hilo onyesho ambalo Sugu alisema hatafanya kila njia lisifanyeke kwenye mkoa wake wa Mbeya.....

Hii ni vita nyingine kati ya Sugu na Jamaa wa Cloudsfm, nadhani Sugu anaweza kuwafungulia kesi hawajamaa kwa kutumia sauti yake kwa maslahi ya kujinufaisha wao pasipo kumshirikisha.

hawa clouds wana uchokozi sana na wana mambo ya kitoto if this is the case: Hata leo kipindi cha Power Breakfast, PJ kanisononesha sana eti anaringanisha sauti za wabunge wa CDM kama vyura the way wanavyolalamika bungeni bila mpangilio.

Kweli CCM inawalipa watu wengi sana.
 
Habari zilizo nifikia hivi punde ni kuwa,
Kama ilivyotarajiwa hatimaye mbunge wa mbeya mjini kwa tiketi ya CDM bwana Sugu sasa ameanza kampeni rasmi ya kulisifia na kulitangaza tamasha la Fiesta tofauti na alivyokuwa analipinga siku chache zilizopita, siku nzima ya leo sugu amekuwa anarushwa kwenye matangazo kadhaa akiipa sifa fiesta na kuwaahidi washabiki wa fiesta kuwa baada ya muda mrefu bila yeye kuperfom kwenye fiesta sasa wakati umewadia.

Hii ndiyo misimamo ya wanasiasa wa CDM.

Nimeisoma katiba na manifesto ya CHADEMA hakuna neno FIESTA.......kwa hiyo huo ni msimamo wake Sugu kama ni kweli amesema
 
hawa clouds wana uchokozi sana na wana mambo ya kitoto if this is the case: Hata leo kipindi cha Power Breakfast, PJ kanisononesha sana eti anaringanisha sauti za wabunge wa CDM kama vyura the way wanavyolalamika bungeni bila mpangilio.

Kweli CCM inawalipa watu wengi sana.

Mkuu. Toka asubuhi nilipo msikia jamaa aliyejitambulisha kama sijui mwenyetiki wa CHADEMA mkoa wa Mbeya kama sijakoseha cheo alichojitambulisha naocho, hapo ndipo nilipatwa na hofu na kujiuliza mwenyewe inakuwaje hii kitu ifanywe hivi ingali ili swala linajulikana kabisa juu ya utata wa Sugu na hawa jamaa... Kwenye mida ya mchana hivi nikasikia sauti ya Sugu ya miaka ya nyuma ikizungumzia fiesta ndipo nilipata picha kamili juu ya uhuni wa hawa jamaa wa CloudsFM
 
Nimeisoma katiba na manifesto ya CHADEMA hakuna neno FIESTA.......kwa hiyo huo ni msimamo wake Sugu kama ni kweli amesema

Mkuu, ni kwamba Sugu hajuazungumza chochote kuhusu FIESTA kwa kipindi hiki, zaidi cloudfm wamechukua sauti yake ya kipindi cha nyuma wakati akizungumzia FIESTA, na ndio wanaitumia leo kuwahamasisha wakazi wa Mbeya.
 
Nimeagiza bwana mdogo alirecord hilo tangazo mapema, nimelisikia leo clouds majira ya saa saba.
 
Sheria imekaa vizuri sana juu ya hii issue, halafu uzuri kwenye background wameweka ile promo ya fiesta 2011. Tia mahakamani hawa jamaa mapema sana.
 
Sheria imekaa vizuri sana juu ya hii issue, halafu uzuri kwenye background wameweka ile promo ya fiesta 2011. Tia mahakamani hawa jamaa mapema sana.

Mahakama Ni wafuasi wa MAGAMBA, na washtakiwa ni wana MAGAMBA, nadhani ilii swala ni kubwa mno na nina wasi wasi haya mambo ya kawa makubwa na kufikia kuleta umarekani (Kupigana shaba tu hakuna cha zaidi hapo )
 
ni uongo mtupu, hizo nyimbo zimechakachuliwa. sugu kamwe hawezi kujihujum alichotangaza ni kampeni zake maeneo mawili na show ya muzik siku ya jmos viwanja vya luanda nzovwe. ingia kwa profile yake facebook kaweka hilo tangazo jana ucku
 
Nimeongea na mtu kutoka Mbeya ameniambia kwamba kesho kutakuwa na burudani mbili. Fiest katika uwanja wa Sokoine kiingilio 3000 na Onesshe lingine litatumbuizwa na wakongwe kama Sugu,Mkoloni,Gsolo , Mchii mox na wengine katika viwanja vya shule ya msingi Rwanga Nzovwe kiingilio ni bure
 
Nikweli kabisa kesho kuna show mbili yani fiesta ya sokoine ambayo itaanza sa 5 asubui mpaka sa 12 jion af na sho aloanda mh Sugu ya buure kabisa wakiwemo akina Adili mapacha soggy sugu mwenyewe mox nawengineo kwa mujibu wa radio moja hapa jijin show inaanza saa 4 asubui mpaka saa 6 usiku.
 
Back
Top Bottom