Si una bundle.. kamtafute..Huyu jamaa mwehu kweli badala atueleze kumuhusu huyo Joram anatuambia 2 ety n genius dah! kwel JF imekua ya onyo
Sa huyo jamaa ametuambia ili iweje au anahs wote n wahun wenzake nn maana ya JF saSi una bundle.. kamtafute..
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Kabisa mkuuJF imekuwa ya hovyo sana siku hizi.
Jamaa handsome sana anafaa kwa MATUMIZI MURUAKama ndo yule white anafanya vizuri, nimeishi nae pale kwa mwizarubi chini ya sinon 😄😄, niishie hapa...
HakikaVigezo vya kuwa genius Tanzania ni vidogo sana
Acha wivu we kenge mwitu wa chadema.Imenibidi niingie Youtube kumtafuta huyo jamaa. Inasikitisha sana kuambiwa ni genious kwa sababu anaongea kiswahili kingi na nahau
Tulia wewe DOKTA MATOLA MAVINi vigumu sana kuiondowa Ccm madarakani kama Watanzania ndio kama huyu.
matanganyika kwa wivu ni shidaAna kiswahili cha kamusi..
Sema anakijua. Na ana unique expression.
He is great kwa upande wa Lugha ya Taifa.
Asa wengi naona wana hate tu na wamejaa Wivu.
Wivu unakutesa we mtanganyika uchwara!!Msingida mmoja, maneno mengi na kujiita mtaaluma wa Kiswahili. Kama ndiye huyo niliwahi kumuona kwenye TV station moja, basi mleta mada ni chenga tupu.