Young fadson
JF-Expert Member
- Nov 6, 2017
- 733
- 773
Hakika aiseeBwana wanawake wasikutishe hata awe amesoma kiasi gani😂
Hakika aiseeBwana wanawake wasikutishe hata awe amesoma kiasi gani😂
Actualy kauli yake ni kama anatangaza uadui na wanaume wkt wanaume hao ndio wamempa nafasi ya kufika hapo. Kwa kauli hii inaonyesha wanawake wa kitanzania hawako vizuri in leadership at allinaweza kuwa alikua na hoja ila uwasilishaji wake sio mzuri, bado wanawake wanataji msingi mkubwa wa uongozi hapa walipo sasa wako kwenye msingi dhaifu sana.
na ujumla wa yote mwanamke hakuundwa kuwa kiongozi, isipo kuwa wachache sana na ambao hutokea kwa nyakati maalumu pekee.
Mpaka akili zile za kisomi na exposure zimeyeyuka....Maisha yanaenda kasi kweli Amekua lishangazi skuhizi
This is the real Jokate I know. An empty headed womanI never would have thought she was this dumb!
A dunderhead.This is the real Jokate I know. An empty headed woman
hawapo vizuri kabisa, si katika leadership pekee hata katika mambo mengine, hudhani adui yao ni mwanaume wakishafanikiwa hatua fulani , huashau pia waliowafikisha hapo ni wanaume.Actualy kauli yake ni kama anatangaza uadui na wanaume wkt wanaume hao ndio wamempa nafasi ya kufika hapo. Kwa kauli hii inaonyesha wanawake wa kitanzania hawako vizuri in leadership at all
Mkuu, Jokate amezaliwa Marekani. Lakini, amesoma na kuhitimu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (2010)Yaani hapa kajitahidi sana anaona kaongea pointi......huyu tunaambiwa ana Degree ya Marekani
Asante kwa usahihiMkuu, Jokate amezaliwa Marekani. Lakini, amesoma na kuhitimu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (2010)
So apewe kura kisa mwanamke. Ndo hiki walicho lilia wanaume kupewa fursa kwa sababu ya uanaume wao ( waliita mfumo dume) , je wao wanataka waje na mfumo jike.Huo ni Ubaguzi wa Kijinsia huyu Msichana anawazimu?!
View attachment 2927475
"Tutakwenda kuhakikisha tunaongeza ushiriki wa Wanawake kwenye hizi chaguzi kwa Wanawake wenyewe kugombea. Ufike mwisho wakati wa Wanawake kuwa ndugu watazamaji na wasindikizaji na ifike mwisho Wanawake kuwa ni sehemu ya kuwapigia kura Wanaume wakati ninyi mna uwezo wa kugombea".
Jokate Mwegelo
Katibu Mkuu- Umoja wa Wanawake Tanzania, CCM (UWT)
Mwandishi wa Biblia na Qur'an hakua Mjinga, ushawahi ona imamu Mwanamke au Shekhe mkuu Mwanamke au Padrii Mwanamke au Paroko Mwanamke au Askofu Mwanamke? Kwanini hakuna?Kwa kauli hii inaonyesha wanawake wa kitanzania hawako vizuri in leadership at all
Ni mwanasiasa, wenye mambo yao wenyewe wapo vyumbani mwao, private.