kutokana na tatizo linalowakumba wanafunzi wengi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano (tatizo la kupata joining instructions), kwa kushirikiana na mkuu wa shule ya sekondari mwendakulima ameamua kuniruhusu kupost joining ya shule ya sekondari mwendakulima iliyopo halmashauri ya mji wa kahama ili kuwarahisishia wanafunzi waliopangiwa kwenye shule yake na walioko maeneo ya mbali na shule.
Pia mada hii itakua rasmi kuweka fomu za kujiunga na shule mbalimbali nchini ama taarifa zilizopo kwenye fomu husika kama muhusika akishindwa kuiweka hapa kuwasaidia wanafunzi hasa walio mbali kujua gharama zote mpaka wanajiunga na vitu vitavyohitajika ili wafanye maandalizi wakati wanatoka nyumbani na kujua mapema wanaenda kukutana na nini mashuleni.
Karibuni
=====
benjamin mkapa joining instructions
View attachment 266225
View attachment 266226