masatujr1985
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,980
- 780
Joining Instruction ya Mwalimu Nyerere (Msalala) ama namba ya Mkuu wa Shule
jaman naomba mnisaidie mm ni mkazi wa dar niliyehitimu kidato cha nne na nimechaguliwa mambwe school so naomba mniambie shule ipo wapi ,ipo vipi na chochote mnachokijua kuusu mambwe high skul
Ipo sumbawanga vijijini, karibu sana, mlale uli awe ningo sante kalesa!
mweny joining instruction ya kondoa girls anisaidie
wale wa umbwe jamani j.instruction mkipata naomben 0718263515 au dacommerciala@gmail.com
thanks bro kwakujitolea kutujuza about kwiro high sec lakin nikijalbu kudownload joining instruction uliyopost haiopen why wakat zingine zinafunguka nisaidie ndugu.
Jamani naombeni mnisaidie Tukuyu high School wanavaaje tafadhal naomba mnisaidie
wavulana wanavaa suruali, mashati na viatu.
Naombeni msaada wa Joining instruction ya kidato cha Tano mwaka huu, ya shule ya Wasichana Loleza Mbeya.
Thanks.
Hongera kwa kwenda hapo. Mtoto ajiandae kwenda na sickle. Ream moja. Ndoo ya bati moja. Mengine nimesahau nimesoma 5yrs bt nahis hizo zitakufaa kuanzia