Johnson Mbwambo amesema kweli!

....mawazo mgando kwamba kuna "mtoa shule" na mwingine "mpewa shule" wakati the essence ya JF ni kuelimishana na kubadilishana mawazo...

Hapo sasa umeongea kiungwana, nimeelewa hilo rekebisho na apology yako Mkuu, na sasa tusonge mbele tusahau maneno yako ya ki John Mashaka kwamba kuna vijana hapa wanakushukuru kwa kuwapa shule.

Nadhani mzee Mbwambo ni vema angetaja hao mawaziri, vinginevyo ni kama stori za vijiweni tu, udaku.
 
Hapo sasa umeongea kiungwana, nimeelewa hilo rekebisho na apology yako Mkuu, na sasa tusonge mbele tusahau maneno yako ya ki John Mashaka kwamba kuna vijana hapa wanakushukuru kwa kuwapa shule.

Nadhani mzee Mbwambo ni vema angetaja hao mawaziri, vinginevyo ni kama stori za vijiweni tu, udaku.

Wewe una visa wewe, unatoa Trojan Horse apology kwangu mie tena?

John Mashaka is a fine tanzanian by the way, where else would you get such entertainment masquerading as genuine scholarship :)
 
Last edited:
Mkuu Dilunga, nadhani una matatizo binafsi kwani umeuliza swali; Nani aliyetoa usemi huo? Ukajibiwa kuwa ni Gen.Patton, na ukaelezwa zaidi background ya mambo yalivyokuwa ili usiulize maswali zaidi. Hata hivyo unalalama kuwa swali lako lilijibiwa hukuhitaji dessertation! Sasa huko ndio kuwa na matatizo usiogope kuomba msaada.
 
Namfagilia Jonson Mbwambo,kwani ni mwandishi mahiri na mwenye maono,moja ya sababu zinazonifanye nisikose gazeti la Raia mwema ni uandishi wake,hapo nyuma kabisa ni Mbwambo huyu huyu alitahanabaisha juu ya anguko la uchumi na kushauri watawala (si viongozi)wachukue hatue madhubuti za kuweza kuepuka hilo janga,cha ajabu watawala na waziri wa fedha wakawa mbele kusema hilo anguko sisi halitatudhuru kwa sababu hatujawekeza katika hizo nchi za wakubwa zilizo kumbwa na anguko,hao ndio watwala wetu hawana vision,kwani hata kwa mimi wa std seven niliona huko mbele kuna gharika,baada ya muda yale aliyoyatolea tahadhali Mbwambo sasa ndio akapera ya viongozi,swali walikuwa wapi siku zote?watu mkubali au msikubali Mbwambo ni mwandishi aliyembele kwa kuandika makala zenye manufaa kwa wananchi wa nchi hii,yuko tofauti na waandishi ambao kila kukicha ni kuandika ya akina R an M
 
Back
Top Bottom