Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Hahahahaha! Kama unapiga mpira hana shida, tigo umepata....alianza Eidur Gudjohnsen akaja Adrian Mutu, akafuatia William Gallas (?) na baadae Wayne Bridge, akamalizia John Terry! Kuna wawili pia nafikiri waligonga kabla ya Bridge, ni demu wa Chelsea! Nashangaa kwanini watu wametoa macho sana kama vile ni tukio la kwanza kwenye soka! Kila timu haya mambo yanatokea kwa sababu wachezaji wana muda wa ziada na pesa, na wasichana wanawinda wachezaji....hii sio ishu ya kwanza na haitakuwa ya mwisho kwenye ulimwengu wa EPL!
Vanessa huyu! John Terry wala hakufanya kosa hata mimi Masanilo ningeuza mechi si mchezo huyu! tiGo ipo inayolipa....
Media imechangia sana kubwagwa kwa Terry hapa. Mimi binafsi naamini captain wa timu anatakiwa awe judged kutokatana na jinsi anavyobehave na ku act anapokuwa uwanjani na kwenye dressing room. If you are a great leader, it doesnt matter how many girls you sleep with, it doesnt change a thing. Ni kama mimi na kibarua changu au wewe eti kwa kuwa umelala na demu flani- ufukuzwe kazi! Tena kwa wataliano, haya ni mambo ya kawaida, just look at their PM Mr Berluscon utajua naongea nini, na kila akigombea- kura wanampa kama kawa!
Issue hapa Terry kaoa huko nje anatafuta nini?PM wa Italia (Berlusconi) anatembea na mademu wadogo umri kama wajukuu zake. Hana morals kabisa kuanzia issue za mahusiano, za kimaadili (uongozi), za mapato (illegal sources), za matumizi mabaya ya pesa za umma... You name it.
Habari zaidi zilisema kuwa kuwa TERRY alimla huyo ex-girlfriend wa Wayne Bridge wakati akiwa amekwishaachana na Bridge, hivyo siyo issue sana kama ilivyokuzwa.
Hivi ni kosa kumla demu aliyewahi kuwa wa mfanyakazi mwenzio?
Vanessa huyu! John Terry wala hakufanya kosa hata mimi Masanilo ningeuza mechi si mchezo huyu! tiGo ipo inayolipa....