Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
watajeni hao mnaotoa sifa zao kama mwenzenu mleta hoja sio mnazungukazunguka na kusema hafai
hawa wanaolalamika hapa ndio wwazembe wa kufa mtu wazembe makazini wanapenda sana starehe kuliko kazi.