John Pombe Magufuli unatuchefua

Kisaikolojia wewe ni kwamba umebabaika sana na sasa una waya waya tu! Kila chaka lina shetani wake na Magufuli ni shetani wa chaka la mafisadi yaani magufuli ni mzee wa kudeliver na style yake ya uongozi ni kiboko kwa watu wa aina yetu huku bongo ambao hatuwezi kufanya kazi wenyewe kwa hiari yetu hadi tukaliwe kooni. Kuna step tulipitishwa haraka haraka tukadhani tumekomaa kujisimamia kumbe bado tulihitaji kusimamiwa na kuelekezwa kabla ya kusimama wenyewe. Mwenye kipaji cha kutugeuza tuwe chombo cha ku deliver ni Magufuli peke yake maana haogopi mtu yeyote kwake kazi tu na kutoa na matokeo makubwa sasa. Haogopi, hachoki, hasahau, hatanii, hapotezi muda na yuko very focused. Waulize mafisadi wametimkia chadema kwa nini? Ni kwa sababu ya utisho wa Magufuli na kwamba hawana mkono katika kupatikana kwake hivyo they can't ever control him. Hapa kazi tu hayo mengine bakini nayo huko kwenye sewage system na dampo la taka za ccm.

Kama usemayo yana ukweli ndugu yangu jaribu kumwambia mkuu wa kaya wamkate huyu fisadi wetu sielewi ni nini kinachomshinda mkuu wa kaya kumkamata na kumfunga na kurudisha hela zetu au kutaifisha mali za huyu fisadi mkuu
Yaani kama leo mi ndo nimechefuka kabisa kwenye taarifa ya habari ya saa mbili eti Magufuli anasema " umeme huu unao katika katika ni matokeo ya ufisadi wa huyu huyu mamvi" ina maana mr.mamvi ana nguvu kuliko mkuu wa kaya???? huyu mtu ana jeshi la kukodi marekani au???? kwanini kutuaminisha ni fisadi halafu serikali haiwezi kumkamata???? nachefuka kusikia uongo wa KIWANGO cha juu namna hii, Mungu ibariki Tanzania.
 
Mlete baba yako kama ataweza kazi za Magufuli kila MTU NA KIPAJI CHAKE

Acha upuuzi wewe baradhuli , hapa wanaume tunazungumzia mustaqbali wa nchi .
Ukosapo cha kuandika kafanye shughuli nyingine . Wawezatumia mda wako hata kupunguza mchicha mwilini mwako , badala ya kuufuga !
 
Kama usemayo yana ukweli ndugu yangu jaribu kumwambia mkuu wa kaya wamkate huyu fisadi wetu sielewi ni nini kinachomshinda mkuu wa kaya kumkamata na kumfunga na kurudisha hela zetu au kutaifisha mali za huyu fisadi mkuu
Yaani kama leo mi ndo nimechefuka kabisa kwenye taarifa ya habari ya saa mbili eti Magufuli anasema " umeme huu unao katika katika ni matokeo ya ufisadi wa huyu huyu mamvi" ina maana mr.mamvi ana nguvu kuliko mkuu wa kaya???? huyu mtu ana jeshi la kukodi marekani au???? kwanini kutuaminisha ni fisadi halafu serikali haiwezi kumkamata???? nachefuka kusikia uongo wa KIWANGO cha juu namna hii, Mungu ibariki Tanzania.

Hoja yako nzuri mno. Ni hivi: kila jambo lina wakati wake. Wakati wa haya mafisadi kushughulikiwa umefika. Ni lazima ujue kwamba hatuchezi na fisadi mmoja tu bali tunacheza na taasisi ya kifisadi yenye mbinu za hali ya juu ya kusimika dola ya kifisadi kupitia mikataba tena ya kisheria na ukienda vibaya inakula kwako na ndiyo maana nchi iko makini na kwa tahadhari ya juu katika kuwakamata na kuwafunga na kurejesha vyetu. Hatua ya kwanza ilikuwa ni kuwakata na wakakatwa. Hatua ya pili ni kuweka rais ambaye hawafanani kabisa kimtazamo na hatokani na msaada wa taasisi ya kifisadi na tena mwenye pumzi ya kuwatazama mafisadi machoni mchana kweupe na kuwambia hapa hapana. Hatua ya tatu ni kwamba taasisi ya kifisadi itakapokuwa hana tena influence na dola ndipo sasa access ya data zao zote zitakapokuwa huru na ndipo swala la kisheria litakapokuwa na nguvu maana ushahidi sasa utakuwepo tena huru Ndiyo maana nchi inahangaika kulibana kundi hili la taasisi ya kifisadi maana likiingia ikulu this time litashindilia mikataba ya kufa mtu na haitakaa ifutwe labda kwa vita. Hebu uwe unaangalia basi na movies za kifisadi na kimafia ili ujue jinsi ambavyo makundi haya hujijenga na kuwa taasisi na kupenya vilivyo hadi kwenye system na dola ya nchi. Huu siyo udhaifu wa siku moja bali ni likitu lilianza tangu zamani sana na walioasisi wengine ni hayo makapi yaliyohamia huko kwenu na lengo lao ni kupenya tena wakatetee walichokianzisha kwa kutumia uvivu na ushamba wa watanzania katika kufahamu operesheni za kifisadi. Funguka!
 
Mwanzoni tulijua kuwa wewe ni mtu makini kume tumekosea. Nadhani hata wanaokutumikisha wanajua kuwa wewe si makini na ndio maana wanakuwekea spidi gavana na kukuambia uache ubabe. Mwanzoni nilidhani wamekuonea kumbe walikuwa sahihi. Upo kama roboti. Nimegundua hili kutokana na matamshi na kauli zako. Barabara zote nchini unazijua wewe. Vifungu vyote vya sheria umevikariri wewe. Hizo sheria ni kwa ajili ya binadamu lakini wao/sisi sio programmed kama wewe.

Juzi hapa mkizindua barabara pale Dodoma, Pinda alikupiga dongo kuwa Rais alikupeleka uvuvi, na kule unajua idadi ya samaki nchini. Rais akaona bora akurudishe ujenzi. Tatizo lako mkuu unamtumikia ------ kupitiliza, hadi unampa kero.

Wewe ni mchapakazi sawa, lakini yawezekana huna maadili ya kazi. Hakuna mtanzania anayekuwazia urais. Wanakuwazia uwaziri tu kwa kuwa watanzania wanajua unajua kutumika.

Achana kabisa na siasa zako za maji taka. Sio kila unapotoa neno hadharani usifie chama chako na kuponda upinzani. Kwa taarifa yako, unaowahutubia ni wapinzani. Sasa unapoponda viongozi wao na harakati za upinzani, wanakuchukia kweli. Wanakuoanisha na majina yako.

Tatizo lako mkuu unatupa mawe hovyo kiasi cha kuwatwanga na wazazi wako pia. Nakufananisha na Abunuwasi kukata tawi ulilokalia. Hilo tawi ni wananchi. Mpita njia akikuambia kuwa unafanya kosa kwani utaanguka, unamkejeli. Utakapoanguka utamkimbilia aliyekuambia ukweli kumwomba utabiri zaidi, angalia asijekwambia utakufa lini.

Achana na upinzani kwani ni jeshi kubwa kwa sasa. Una kashfa nyingi tu tunazozifahamu na nyingine zitafahamika. Una kashfa ya kuuza nyumba za serikali. Una kashfa za kumpa kimada wako nyumba ya serikali. Una kashfa ya kunyanyasa staff wako kwa kuletewa majungu na wapambe wako. Una kashfa ya ubabe, n.k, n.k. Fanya kazi, kiongozi kwani huijui kesho. Kazi ya kubwabwaja mwachue nape. Kaajiriwa kwa kazi hiyo. We kazi yako miundombinu. Usiwe kama mzazi anayewapa wanae mahitaji kwa masimango. Wenzako umeshwasikia wanabwabwaja hovyo? Time will tell
Umeandika nini?
 
Ufisadi ni taasisi, ni zao la udhaifu wa miaka mingi, tena ni taasisi makini ambayo ina mvuto wa pekee kwa wasio na maono, tena ina sifa za kupenya hadi ngazi zote, hutumia watu kuibeba na kuitetea hasa watu wasiojitambua na wavivu wa kufikiri. Taasisi ya kifisadi huwa haipotezi dira tena ina specific objectives na targets. Ipo katika matabaka yooote ya jamii. Kuliangusha hili dude wanahitajika watu dizaini ya Magufuli ambaye kwake hapendwi mtu ila kazi tu. Kuanzia kupatikana kwa Magufuli ni mkono wa Mungu ule ambao umeletwa kwa ajili ya kulidondosha hili dubwana janja ambalo bila akili, ujasiri na ushujaa huliwezi. Mungu mbariki Magufuli atudondoshee hili kitu mbaya kwani anaweza
 
Acha upuuzi wewe baradhuli , hapa wanaume tunazungumzia mustaqbali wa nchi .
Ukosapo cha kuandika kafanye shughuli nyingine . Wawezatumia mda wako hata kupunguza mchicha mwilini mwako , badala ya kuufuga !

Katika wanaume wanaozungumzia mustakabali wa nchi na wewe unajihesabu umo? Kashifa ndiyo umeona inajenga acha upumbavu Magufuli huwezi ukamtukana halafu wewe usitukanwe kama una hoja ya msingi sema na siyo kukashifu watu hivi wapinzani wangemwacha kama angakuwa mchafu kama ulivodai? Wapinzani wake wote akiwemo huyo unayemshabikia ambaye ana nyenzo za kupata habari sahihi bado hajamsema vibaya Magufuli wewe mganga njaa unapata wapi data za kumsema Magufuli ? Hivi wewe unaweza kupata data kwa usahihi za waziri kuliko boss wake ambaye alikuwa waziri mkuu? Mkitumwa muwe mnawauliza usahihi wa yale mliyotumwa na siyo kukurupuka kama ulivyofanya wewe na ujinga wako.
 
Ameshajirudi usijali.
 

Attachments

  • 1444739453015.jpg
    1444739453015.jpg
    51.7 KB · Views: 557
Mwanzoni tulijua kuwa wewe ni mtu makini kume tumekosea. Nadhani hata wanaokutumikisha wanajua kuwa wewe si makini na ndio maana wanakuwekea spidi gavana na kukuambia uache ubabe. Mwanzoni nilidhani wamekuonea kumbe walikuwa sahihi. Upo kama roboti. Nimegundua hili kutokana na matamshi na kauli zako. Barabara zote nchini unazijua wewe. Vifungu vyote vya sheria umevikariri wewe. Hizo sheria ni kwa ajili ya binadamu lakini wao/sisi sio programmed kama wewe.

Juzi hapa mkizindua barabara pale Dodoma, Pinda alikupiga dongo kuwa Rais alikupeleka uvuvi, na kule unajua idadi ya samaki nchini. Rais akaona bora akurudishe ujenzi. Tatizo lako mkuu unamtumikia ------ kupitiliza, hadi unampa kero.

Wewe ni mchapakazi sawa, lakini yawezekana huna maadili ya kazi. Hakuna mtanzania anayekuwazia urais. Wanakuwazia uwaziri tu kwa kuwa watanzania wanajua unajua kutumika.

Achana kabisa na siasa zako za maji taka. Sio kila unapotoa neno hadharani usifie chama chako na kuponda upinzani. Kwa taarifa yako, unaowahutubia ni wapinzani. Sasa unapoponda viongozi wao na harakati za upinzani, wanakuchukia kweli. Wanakuoanisha na majina yako.

Tatizo lako mkuu unatupa mawe hovyo kiasi cha kuwatwanga na wazazi wako pia. Nakufananisha na Abunuwasi kukata tawi ulilokalia. Hilo tawi ni wananchi. Mpita njia akikuambia kuwa unafanya kosa kwani utaanguka, unamkejeli. Utakapoanguka utamkimbilia aliyekuambia ukweli kumwomba utabiri zaidi, angalia asijekwambia utakufa lini.

Achana na upinzani kwani ni jeshi kubwa kwa sasa. Una kashfa nyingi tu tunazozifahamu na nyingine zitafahamika. Una kashfa ya kuuza nyumba za serikali. Una kashfa za kumpa kimada wako nyumba ya serikali. Una kashfa ya kunyanyasa staff wako kwa kuletewa majungu na wapambe wako. Una kashfa ya ubabe, n.k, n.k. Fanya kazi, kiongozi kwani huijui kesho. Kazi ya kubwabwaja mwachue nape. Kaajiriwa kwa kazi hiyo. We kazi yako miundombinu. Usiwe kama mzazi anayewapa wanae mahitaji kwa masimango. Wenzako umeshwasikia wanabwabwaja hovyo? Time will tell

umemaliza, mimi siongezi kitu..
 
Hoja yako nzuri mno. Ni hivi: kila jambo lina wakati wake. Wakati wa haya mafisadi kushughulikiwa umefika. Ni lazima ujue kwamba hatuchezi na fisadi mmoja tu bali tunacheza na taasisi ya kifisadi yenye mbinu za hali ya juu ya kusimika dola ya kifisadi kupitia mikataba tena ya kisheria na ukienda vibaya inakula kwako na ndiyo maana nchi iko makini na kwa tahadhari ya juu katika kuwakamata na kuwafunga na kurejesha vyetu. Hatua ya kwanza ilikuwa ni kuwakata na wakakatwa. Hatua ya pili ni kuweka rais ambaye hawafanani kabisa kimtazamo na hatokani na msaada wa taasisi ya kifisadi na tena mwenye pumzi ya kuwatazama mafisadi machoni mchana kweupe na kuwambia hapa hapana. Hatua ya tatu ni kwamba taasisi ya kifisadi itakapokuwa hana tena influence na dola ndipo sasa access ya data zao zote zitakapokuwa huru na ndipo swala la kisheria litakapokuwa na nguvu maana ushahidi sasa utakuwepo tena huru Ndiyo maana nchi inahangaika kulibana kundi hili la taasisi ya kifisadi maana likiingia ikulu this time litashindilia mikataba ya kufa mtu na haitakaa ifutwe labda kwa vita. Hebu uwe unaangalia basi na movies za kifisadi na kimafia ili ujue jinsi ambavyo makundi haya hujijenga na kuwa taasisi na kupenya vilivyo hadi kwenye system na dola ya nchi. Huu siyo udhaifu wa siku moja bali ni likitu lilianza tangu zamani sana na walioasisi wengine ni hayo makapi yaliyohamia huko kwenu na lengo lao ni kupenya tena wakatetee walichokianzisha kwa kutumia uvivu na ushamba wa watanzania katika kufahamu operesheni za kifisadi. Funguka!

Mkuu safi sana,umeongea inavyotakiwa,I'm speechless,kudos
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom