MAPUMA MIYOGA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 3,792
- 2,362
Mambo mengine kama uchizi atiii.
tunaona, sio lazima kuwasema watz.
tunaona, sio lazima kuwasema watz.
Looh wewe mtu wewe
Na Dunia kwa ujumla!Magu ni habari ya tz
Basi wwe unaongoza kwa kutokuwa na akili. Manake nikujuavyo hujawahi kukosa hotuba ya Mzee hata moja!Wenye upungufu wa akili ndo wanamsikiliza na wewe ukiwemo binafsi bora nikalewe au kufanya kitu cha kipumbavu kuliko kumsikiliza huyo
Kama anavyokwezwa yeye na wafuasi wake ndani ya CUF na UKAWA.Seif Hamad juzi alisema kuwa watanzania wanaweza wakakukweza wakakufikisha hadi mbinguni.
Hotoba ndo kitu gani? Ata usijisumbue huyo mtu siwezi kuacha kulala au kufanya mambo ya kijinga achilia mbali ya maana eti nimsikilize. Hicho kitu hakiwezi tokeaBasi wwe unaongoza kwa kutokuwa na akili. Manake nikujuavyo hujawahi kukosa hotoba ya Mzee hata moja!
Chama cha wahuni kinatuzungusha kama mpira sababu kuna WaTz wengi uelewa ni mdogo. Hawapendi kufikiria na kutafakari wanaamini kila wanaloambiwa. Safari bado ndefu lakini uchache wetu tusikate tamaa tuzidi kupaza sauti tutaeleweka tuMAZWAZWA ndivyo walivyo! Upumbavu wa Watanzania wengi ni mtaji mkubwa sana wa chama cha wahuni.
UsitudanganyeHotoba ndo kitu gani? Ata usijisumbue huyo mtu siwezi kuacha kulala au kufanya mambo ya kijinga achilia mbali ya maana eti nimsikilize. Hicho kitu hakiwezi tokea
Hotoba umesema wwe! Na bado miaka 7, utamsikiliza Sana. Jiandae tu kisaikolojia na ubadilishe mbinu ya maisha manake mirija yote ya kiinyonyaji imekatiliwa mbali! HahahahahaHotoba ndo kitu gani? Ata usijisumbue huyo mtu siwezi kuacha kulala au kufanya mambo ya kijinga achilia mbali ya maana eti nimsikilize. Hicho kitu hakiwezi tokea
Wewe akili zako haziko sawa Hotoba si umeandika wewe hapo au hukuona. Sasa mirija ya unyonyaji mimi inanihusu nini? . Eti bado miaka 7 sasa yeye kawa Mungu hadi useme hivyo yule ni binadamu tu kama tulivyo mimi na wewe muda wowote anaweza akafa muda mwingine tumia akili kidogo kuongea au kucomment vituHotoba umesema wwe! Na bado miaka 7, utamsikiliza Sana. Jiandae tu kisaikolojia na ubadilishe mbinu ya maisha manake mirija yote ya kiinyonyaji imekatiliwa mbali! Hahahahaha