Hotuba za Rais Magufuli zimejaa masimulizi zaidi ya Mipango Mikakati na Motisha kwa Wananchi

ntemintale

JF-Expert Member
Sep 6, 2016
952
1,872
Mara nyingi huwa namsikiliza Rais Magufuli akihutubia, lakini hotuba zake zimejaa masimulizi zaidi ya mipango mikakati ya Maendeleo ya nchi Kisiasa, kiuchumi, Kijamii, n.k.

Wananchi tuhahitaji kusikia mikakati na hatua madhubuti za kukuza demokrasia, kuongeza kipato na kutoa huduma za jamii.

Masimulizi ya mambo madogo madogo yaliyotokea hatuyahitaji kuyasikia toka kwa mkuu wa nchi.

Mfano stori ya ndege, sijui walitaka kupiga, mara sijui huyu ni TISS mara hivi mara vile, hayo ni mambo ya utendaji wa ndani ambayo sisi wananchi hatuhitaji kusimuliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara nyingi huwa namsikiliza Rais Magufuli akihutubia, lakini hotuba zake zimejaa masimulizi zaidi ya mipango mikakati ya Maendeleo ya nchi Kisiasa, kiuchumi, Kijamii, n.k.

Wananchi tuhahitaji kusikia mikakati na hatua madhubuti za kukuza demokrasia, kuongeza kipato na kutoa huduma za jamii.

Masimulizi ya mambo madogo madogo yaliyotokea hatuyahitaji kuyasikia toka kwa mkuu wa nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kwa sababu hana dira. Hajui anataka nini wala anasimamia kitu gani!
 
... nadhani Mrema ndiye aliyependa sana masimulizi na sifa binafsi bahati mbaya hakupata urais. Kila akisimama ni Chavda Chavda na jinsi (yeye) alivyookoa dhahabu airport enzi zake zile; jinsi (yeye) alivyotokomeza ujambazi; jinsi (yeye) alivyopaisha bei ya kahawa huko kwao Moshi; jinsi wala rushwa watakavyomkoma (yeye); na jinsi (yeye) alivyopandishwa kuwa Naibu Waziri Mkuu cheo ambacho hakikuwepo kikatiba ila juhudi zake (yeye)! Nje ya hapo hakuwa na masterplan au ajenda yoyote ya maana ya kulipelekea taifa mbele na kujenga taasisi imara zaidi ya taaisi ijulikanayo kama "Mrema".
 
Jamaa anapenda sifa sijawahi kuona .hata kutamka air hostess hswezi eti air hostage ,kwa kupenda sifa angejua english asingeongea kiswahili ila Mungu alimjua mr misifa akafanya ulimi wake kuwa mzito kwa lugha ya malkia
 
... nadhani Mrema ndiye aliyependa sana masimulizi na sifa binafsi bahati mbaya hakupata urais. Kila akisimama ni Chavda Chavda na jinsi (yeye) alivyookoa dhahabu airport enzi zake zile; jinsi (yeye) alivyotokomeza ujambazi; jinsi (yeye) alivyopaisha bei ya kahawa huko kwao Moshi; jinsi wala rushwa watakavyomkoma (yeye); na jinsi (yeye) alivyopandishwa kuwa Naibu Waziri Mkuu cheo ambacho hakikuwepo kikatiba ila juhudi zake (yeye)! Nje ya hapo hakuwa na masterplan au ajenda yoyote ya maana ya kulipelekea taifa mbele na kujenga taasisi imara zaidi ya taaisi ijulikanayo kama "Mrema".
Ongezea na ile ya kutatua mgogoro wa KKKT huko Kaskazini
 
Jamaa anapenda sifa sijawahi kuona .hata kutamka air hostess hswezi eti air hostage ,kwa kupenda sifa angejua english asingeongea kiswahili ila Mungu alimjua mr misifa akafanya ulimi wake kuwa mzito kwa lugha ya malkia

Jamaa sijui alisomea wapi lakini ulimi kuwa mzito ni kwa sababu kama alivyosema ana kichaa dawa zake zinagandisha ulimi
 
Back
Top Bottom