mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Kwani waliomwua Mawazo walikuwa vichaa?
Ukishaonja damu "nyama" ya mtu huwezi kuacha...
Kuituhumu serikali au CCM kwa mauaji inaweza kuleta madhara kwenye jamii zaidi ya mafanikio ya kisiasa chadema wanayotarajia kuyapata
Wauaji ni wauaji tuu huwa hawaangalii Chama. Kusema kwamba wanachama wa chama hiki wanaua wanachama wa chama kile haisaidii ila inazidi kupandikiza chuki kwenye jamii. Viongozi watoe elimu ya siasa bila chuki kwa wanachama wao ili watambue kwamba siasa sio uadui, siasa sio matusi wala ugomvi na mwanachama ana uhuru wa kuchagua chama anachokiamini.
Wapo wanachama wa CCM wanauwawa na makada wa chadema pia lakini sidhani kama kuna kiongozi wa chama anaweza tuma wanachama waende kuua
Aliyekuwa Katibu Mwenezi wa CCM Sumbawanga auawa kwa kupigwa risasi
Ametambuliwa kwa jina la Benedict Chapewa, ni Katibu Mtendaji, Mwandui.
www.mwananchi.co.tz
Wawili mbaroni kufuatia kifo cha mwana CCM Iringa | East Africa Television
Kuna maisha nje ya CHADEMA na CCM