.....yaani Professa Jumanne Magembe anatekeleza maagizo ya form six wa Shonza na Nape?
Hakika hata mimi nimeona kabisa, ni dhahiri Chama kinachokuwa madarakani hakiwezi kufanya kazi bila ya chama pinzani.
Yaani serikali ya Tanzania inayoongozwa na chama cha CCM ni sawa na yule dogo hapa home mpaka niseme ovyo au ni mshikie fimbo ndipo afanye Home Work!
Anayajua ya Makabe, CCM ni wabaya sana, wameharibu jiji. Sasa watalijua jiji.Mnyika pitia makabe fanya mobilization hata kwa kuchangia maana bado wanategemea malori. Hakuna hata mabomba hamna kisima. Wananchi wa wasiomudu matanki wanauziwa ndoo sh mia tano. Karibu uku mbunge wetu.