KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
i currently endorse Mashaka as the new chairman of CHADEMA !! uchumi inaelekea anaujua, na hatokopa na kushindwa kulipa kama current chairman !
MTANZANIA ANAYEISHI MAREKANI BWANA JOHN MASHAKA AMEKUWA KWENYE VYOMBO VYA HABARI HASA BLOGS MBALIMBALI KUWA NI MTU ATAYEWEZA KUISAIDIA NCHI YETU KWA KIASI KIKUBWA AKIWA MBUNGE 2010.
IKIWA ATAFANIKIWA KUUKWA UBUNGE BASI WATANZANIA TUTAKUWA NA KICHWA KINGINE TOKA MAREKANI BAADA YA AMANI WALID KABOUR MBUNGE WA AFRICA MASHARIKI KWA SASA.
TUNAOMBA MAONI YETU JEE KIZAZI CHA DIASPORA KINA UWEZO MZURI WA KULIKOMBOA TAIFA LETU?
KABOUR ALILETA MABADILIKO YA KWELI?
INTERVIEW YA MASHAKA IKO MICHUZI BLOG AU INAPATIKANA HAPA.
http://issamichuzi.blogspot.com/2008/04/john-mashaka.html#comments
i currently endorse Mashaka as the new chairman of CHADEMA !! uchumi inaelekea anaujua, na hatokopa na kushindwa kulipa kama current chairman !
Ufisadi wa EPA, Richmond wadhalilisha Watanzania Marekani
Na James Magai (Mwananchi)
Mashaka alisema, Watanazania waishio Marekani, wameridhika na juhudi za Rais Jakaya Kikwete kuboresha maisha ya wananchi na kuweka Tanzania katika ramani nzuri.
Na hakuna fisadi yeyote aliyengolewa as always too much talk and no action. Mafisadi wameketi tu upande wa kushoto wakiendeshwa na dereva anayesubiri maelekezo kutoka kwao.Pia, alielezea kuridhishwa na jinsi wabunge wa chama tawala na vyama vya upinzani, walivyoungana na kushirikiana katika sakata la Richmond na kufanikiwa kuwang'oa mafisadi.
Ungetuambia umepewa ngapi kwa debe hili ndani ya JF halafu tuendelee na mjadala vinginevyokutumbia mtu yupo marekani anataka kuja kugombea ubunge bongo So?
nenda kijijini kwake au jimbo analotarajia kugombea mkadanganye watu its nothing 2 do with us
Tumeshavamiwa tayari...!
Raya yangu ni kuwa, JF ina vichwa hatari hata mtu angekujana mbwembwe nyingi kiasi gani... ataelezwa mbwembwe zake.
I like/love you guys!
Kama mheshimiwa haelekei kuelewa, mwelekezeni blogs za kampeni, mbona pia zipo!
Hapa tuko kazini actively, sio kisiasa. mpaka ukachaguliwe, ukarudishe gharama zako, na kujiweka sawa kama wengine, ndipo utukumbuke sisi tutakuwa wap? marekani, marekani, mnajua wengine tuliko lakini? Siku hizi sio dollar tena ni...! wajanja wanajua wala sio Pound..!
Nataka tutumie mjadala huu kunoa vichwa vyetu.mara nyingi watu toka nje huwa wanatuleta habari za kujikweza zaidi kuliko uhalisia wa mambo.
Bwana Jack Pemba alisema anakuja kusaidia vipaji vya mpira wa miguu matokeo yake sasa hivi anashinda Twanga Pepeta au Akudo Impact.
Jack Pemba ni mwana DIASPORA..
chama cha Mapinduzi.Asante sana Bwana Gembe, atagombea kwa Chama gani?
Mwanakijiji unamjua mheshimiwa Mashaka? ikiwezekana mfanyie interview tumjue zaidi.
makala nyingine inasema kuwa MASHAKA ni mfano wa kuigwa click hapa chini,
http://issamichuzi.blogspot.com/2008/03/mashaka-ni-mfano-wa-kuigwa.html
Vizuri tujue wapi kasaidia kama alivyosema mjumbe mmoja kuwa MAMA THEREZA alikuwa akijitolea na tunajua wapi alisaidia kama vile Mburahati kituo cha Yatima.
haitoshi kwa Mashaka kusema anajitolea ila hataki kusema wapi kapeleka lakini kutokea kwenye mitandao hakatai.
Tanzania kuna NGO karibu elfu hamsini zote zinasema zinasaidia masikini lakini hatujui wapi zinafanya kazi.
turudi kwenye swali la msingi kizazi cha DIASPORA kinaweza kutuongoza?
Tumeshavamiwa tayari...!
Raya yangu ni kuwa, JF ina vichwa hatari hata mtu angekujana mbwembwe nyingi kiasi gani... ataelezwa mbwembwe zake.
I like/love you guys!
Kama mheshimiwa haelekei kuelewa, mwelekezeni blogs za kampeni, mbona pia zipo!
Hapa tuko kazini actively, sio kisiasa. mpaka ukachaguliwe, ukarudishe gharama zako, na kujiweka sawa kama wengine, ndipo utukumbuke sisi tutakuwa wap? marekani, marekani, mnajua wengine tuliko lakini? Siku hizi sio dollar tena ni...! wajanja wanajua wala sio Pound..!
Habari zenu wazee wa Jambo Forum?
Ama Hakika Mmeniangusha sana hamjamjua Mashaka ni Mwanakijiji, yeye anacheka kuona Kada Mpinzani ameshindwa kumtambua.
Mwanakijiji kama nilivyosema siku za nyuma huko ni kijana toka mkoa wa Musoma na amekuwa akivutiwa sana na Mwalimu Nyerere, kwenye mada hii amechangia kwa kumuunga Mkono Mashaka ambaye ni yeye Mwenyewe.
Ushahidi wa wazi inapotokea mjadala kama huu angeingia na majina yake mengine lakini amekuwa kimya kuona upepo uko vipi.
Kila siku watu wanasema kuwa JF ni mwisho wa yote kwanini mmeshindwa kumjua Senior member wetu?
Mwanakijiji
Naona saa yako ya ukombozi imefika karibu sana mwaka jana alikuja live Kitila Mkumbo na 2008 umekuja live, nani atakupa ubunge labda Mbowe na Chadema, huna shule wala nini.
naona Jambo Forum imekuua macho kiasi cha kuvaa miwani kama kobe,ulitegemea nini unakesha kwenye computer 24 hrs hizo ndizo disadvantages za Computer bwana M.M. MWANAKIJIJI=MASHAKA MASUMBUKO MWANAKIJIJI ameanza kuharibiwa macho.
jina la John amekuwa akilitumia kama John Almas kwenye redio yake.
sasa utagombea jimbo gani?
Jamani ujumbe wa hii thread uko hapo juu! mbona mnapindisha mada? wana diaspora mko wapi..twambieni mnakuja kuchangia haya maendeleo ya taifa kivipi? tupeni mikakati yenu...maana tunaambiwa nyinyi ndugu zetu mlio nje mna exposure, kizungu kinapanda (ambacho ndo wawekezaji wanataka) na mengineyo...jamani tupeni insights basi. Ni kweli kwamba tuna mengi ya kujifunza kwenu, labda mnaweza mkaja na MUAROBAINI WA MATATIZO YETU maana juhudi za akina KADA na wenzake tulio hapa mjini hali ni ngumu!!!! We need you guys....
Mi nawasubiri wana wa diaspora waje watupe vitu hapa na mikakati yao....kwa wenye mpango wa kurudi bongo.
Kuhusu Mashaka sina comment..ila sasa naona wana diaspora wenzake wamemgeuka kwamba hawakumtuma kumpongeza Kikwete..kazi ipo...